Cheka sana, kula raha sana, Ruka sana, Tamba sana, Jirushe sana, Fanya starehe sana ila Omba ukiugua usije kupatiwa Matibabu kwenye Hospitali zetu!

Cheka sana, kula raha sana, Ruka sana, Tamba sana, Jirushe sana, Fanya starehe sana ila Omba ukiugua usije kupatiwa Matibabu kwenye Hospitali zetu!

Pole Sanaa ndugu, wife alipata miscarriage nusla nipige nesiii! Wife anateseka amwangalia tu.Mungu mwema jaribu Hilo lilipita ingawa mpaka Leo nawenge na hospital zetu.
Kwa hospitali zetu, matibabu bila pesa jiandae kufa mkuu...nliwahi kumpoteza dada yangu kusa kukosekana damu wakati akijifungua.nMungu ni mwema, mtoto alibaki.
 
Mada muhimu mno ila inachangiwa na watoto wa form 2,Tanker imeteketea kwa moto pale Igawa, kisa hakuna huduma za wazima moto, ila kuna fedha za kununua V8 ya mkuu wa wilaya,mbunge,DED etc, yes mkuu nasisitizia Tanzania pesa, usijikute umelazwa kwenye hizi nyumba zilizopewa jina la hospital's wakati hazina viwango vya kuitwa hospital's
 
inaonekana kwenu mnakufa na magonjwa ya zinaa na pombe, imekuuma hadi umekuja kutujazia wosia JF, ukidhani wote wanao umwa ni sababu ya starehe mbaya 🤣😅 tafuta pesa uishi maisha mazuri ili usionee wivu watu na starehe zao
Subiri ufie hapo Bongo na vipesa vyako uchwara ndio utajua upo third world country
 
Mkuu kuna nchi masikini lakini huduma zao za afya ni bora sana,sasa kama Tanzania vitu vya upasuaji vinaoshwa kwa maji baridi na sabuni tena na mfanyakazi asiye na glovsi hilo pia ni umasikini.
Mzee unataka tu ku-justify hoja yako. Hayo mambo ya vitu vya upasuaji kuoshwa na maji ya baridi kwa sasa hayapo. Hizi sio zile enzi za kuchemsha vifaa. Kifaa kikitumika kinatupwa. Waambie watu watumie hela zao vizuri waondokane na umaskini. Tuko kwenye ubepari hakuna huruma kabisa.
 
Mzee unataka tu ku-justify hoja yako. Hayo mambo ya vitu vya upasuaji kuoshwa na maji ya baridi kwa sasa hayapo. Hizi sio zile enzi za kuchemsha vifaa. Kifaa kikitumika kinatupwa. Waambie watu watumie hela zao vizuri waondokane na umaskini. Tuko kwenye ubepari hakuna huruma kabisa.
Angalia video nimekuwekea hapo
 
Mada muhimu mno ila inachangiwa na watoto wa form 2,Tanker imeteketea kwa moto pale Igawa, kisa hakuna huduma za wazima moto, ila kuna fedha za kununua V8 ya mkuu wa wilaya,mbunge,DED etc, yes mkuu nasisitizia Tanzania pesa, usijikute umelazwa kwenye hizi nyumba zilizopewa jina la hospital's wakati hazina viwango vya kuitwa hospital's
Pointi kubwa mno!
 
Mzee unataka tu ku-justify hoja yako. Hayo mambo ya vitu vya upasuaji kuoshwa na maji ya baridi kwa sasa hayapo. Hizi sio zile enzi za kuchemsha vifaa. Kifaa kikitumika kinatupwa. Waambie watu watumie hela zao vizuri waondokane na umaskini. Tuko kwenye ubepari hakuna huruma kabisa.
Unaishi wapi ?
 
inaonekana kwenu mnakufa na magonjwa ya zinaa na pombe, imekuuma hadi umekuja kutujazia wosia JF, ukidhani wote wanao umwa ni sababu ya starehe mbaya 🤣😅 tafuta pesa uishi maisha mazuri ili usionee wivu watu na starehe zao
Huna akili
Hao wenye pesa hawaumwi?
Mbona kaongea jambo la maana?
 
Kama umeshawahikuingia kwenye wodi ya waliopata ajali ya pikipiki kwenye hospitali yoyote ya umi, unaweza uwache kupanda au kuendesha pikipiki kwa mbwembwe .
Sijui wanakulaje chakula na Ile harufu.
 
Kimsingi KATAA UMASKINI. Tutazilaumu hospitali ila chanzo cha yote ni umaskini. Umaskini ni janga
kweli umaskini kitu kibaya sana nakumbuka wakati fulani tulishindwa kuutoa mwili mochuari kisa 3.5m tunadaiwa we acha br kichwa kilitaka kupasuka ila namshukuru Mungu tulipambana kama wanafamilia mpaka kwenye vikoba tukautoa
 
We mtoa mada nikuulize kwani hivyo vyombo huwa vinaoshwa kwa nini?

Labda kwa faida ya wengine.

Kwenye kuandaa hivyo vyombo kuna hatua kadhaa za mfuatano.

1. Kuosha kwa maji( maji ya kawaida)

2. Kuosha kwa maji ya sabuni.

3.kuviweka kwenye maji yenye Chlorine kwa Dk 10.

4.kuosha kwa maji yenye sabuni.

5. Una malizia kwa maji yasiyo na sabuni.

Then vyombo vinakaushwa, kufungwa na kupelekwa Sterilization.

Huyo kwenye picha alikuwa anafanya hatua namba 5.
 
Back
Top Bottom