We mseng£ ,yaani wewe kwa akili zako unaamini maneno ya wapumbavu hao wa serikalini wasiowajibika ? ,Ulitarajia wakubali makosa na uzembe huo ?
Wewe kwa kutumia akili yako unaona huyo anayeishi vyombo kameet statndards za hygiene kama inavyotakiwa ,medical tools zinaoshwa kiseng£ hivyona kutandazwa chini , hospitali hamna hata sehemu ya kuoshea vyombo vya upasuaji ,vyombo vinauzwa kama mamantilie wa Buguruni anavyoosha vyombo vya chakula .
Huwezi kutumia akili kuona kwamba kuna makosa makubwa hapo kwenye suala la utakatishaji wa hivyo vifaa tiba wewe taahira ?