Hospitari zetu ni kama video vya polisi, hakuna ubinadamu, wagonjwa wanachukuliwa kama kelo tu, Kuna siku niliienda muhimbili kuangalia mgonjwa,nikasikia wale wahudumu kwenye wodi wanazungumza, haki ya Mungu nilitoka na stress, w alikuwa wanamzungumzia mgonjwa aliyefariki"Aaah si Yule mgonjwa aliye kuwa anakunya kunya Jana, amefariki"
Nilichoka, pembeni kulikuwa kuna mgonjwa mtu mzima Sana, amevalishwa pampasi,kijana wake akawa ana taka ampeleke chooni kumbadilisha,pambasi likaanguka, mapumbu yote nje, pale kwenye wodi walikwepo wadada wanafanya usafi, hata kusema tutoke kidogo, huyu mzee asitiliwe, waaapi, wamekomaa sura zimewekwa ndita,
Kwa mazingira Yale ya uchafu ukifanya kazi mle wodini,inabidi uwe na roho mbaya,wodi imejaa mbu kibao,