Kipi usichokielewa?
Kwani wewe hutaki timu ya Everton ipate nafasi adhimu sana ya kukutana na mtakatifu sana asiyejaribiwa?Mpka sas hivi kwa upande wangu umenifurahisha sana kwa kumuachia Waziri husikia kushughulika na hawa macho bluu Everton, na ningefarijika zaidi kama ukiendelea na likizo yako na usiikatize kwa ajili ya kuonana nao, Waziri wetu wa Michezo na Sanaa Mwakyembe anatosha, hivi ndivyo inavyopaswa kuendeshwa kwa maoni yangu, ...
Magufuli ni original Jioni Kisomo.
Hata lile Jina John wanamuita, jina lake ni Jioni Kisomo.
Sasa Jioni Kisomo ma Everton wapi na wapi.
Hapo angekuwepo mwenyewe JK hata dhifa wangefanyiwa Ikulu.
Sent from my Kimulimuli
Kwani wewe hutaki timu ya Everton ipate nafasi adhimu sana ya kukutana na mtakatifu sana asiyejaribiwa?
Mpka sas hivi kwa upande wangu umenifurahisha sana kwa kumuachia Waziri husikia kushughulika na hawa macho bluu Everton, na ningefarijika zaidi kama ukiendelea na likizo yako na usiikatize kwa ajili ya kuonana nao, Waziri wetu wa Michezo na Sanaa Mwakyembe anatosha, hivi ndivyo inavyopaswa kuendeshwa kwa maoni yangu, ...
Macho bluu bluu ni nani?Na huo ndiyo upuuzi nisoupenda, kwa hili naungana na Raisi wangu, binafsi nilikuwa sifagilii kabisa haya mambo ya kuwatukuza macho bluu!
Kwa hiyo wangekuwa weusi poa tu rais kwenda kuwalaki?
Kwani Hua anakosea?Mpka sas hivi kwa upande wangu umenifurahisha sana kwa kumuachia Waziri husikia kushughulika na hawa macho bluu Everton, na ningefarijika zaidi kama ukiendelea na likizo yako na usiikatize kwa ajili ya kuonana nao, Waziri wetu wa Michezo na Sanaa Mwakyembe anatosha, hivi ndivyo inavyopaswa kuendeshwa kwa maoni yangu, ...
Hata huu mtandao wa internet unaoutumia umeanzishwa na hao macho bluu, kwa hiyo upotezee tu kama kweli huwapendi.Ndiyo!
Hata huu mtandao wa internet unaoutumia umeanzishwa na hao macho bluu, kwa hiyo upotezee tu kama kweli huwapendi.
Kenya hawana uwanja wa mpira wa maanaKwa nini wachezee Tz sio Kenya? Nauliza tu! Hhaahhhh MK254 etc macho yamewatoka kumeza ngumu. Karibuni wageni wetu mjionee Tz yetu. Mchezo mwema!
Mpka sas hivi kwa upande wangu umenifurahisha sana kwa kumuachia Waziri husikia kushughulika na hawa macho bluu Everton, na ningefarijika zaidi kama ukiendelea na likizo yako na usiikatize kwa ajili ya kuonana nao, Waziri wetu wa Michezo na Sanaa Mwakyembe anatosha, hivi ndivyo inavyopaswa kuendeshwa kwa maoni yangu, ...
"Baniani mbaya, kiatu chake dawa"ndicho unachofanya hapa.Hoja dhaifu umeleta!
"Baniani mbaya, kiatu chake dawa"ndicho unachofanya hapa.
Hoja dhaifu unaipinga kwa kuonyesha udhaifu wake.
Ukisema tu "hoja dhaifu" wewe unakosa hata hoja ya kuipinga hoja dhaifu na kujionyesha una udhaifu kuliko mwenye hoja dhaifu, kama kwelihoja yakeni dhaifu.
Zaidi,inawezekana tu hoja haina udhaifu wowote, umeshindwa kuijibu,ukajiandikia tu "hoja dhaifu".
Kitu ambacho kichaa yeyote anaweza kuandika.