Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mechi hii itakuwa safi,Chelsea lazima wa work hard,Barcelona si mchezo, kina Messi,Chavi,Henry na Etto vs Drogba,Lampard,Maluda,Anelka,Essien,Kalou na Ballack,kweli ni enterntainment safi sana...Hivi sasa game ndo kwanza dk ya 14 na Barcelona wanaonekana kutawala mchezo kwa kiasi kikubwa,tusubiri tuone kama blues watafanya mambo....Kila la Kheri Blues..
 
Mechi hii itakuwa safi,Chelsea lazima wa work hard,Barcelona si mchezo, kina Messi,Chavi,Henry na Etto vs Drogba,Lampard,Maluda,Anelka,Essien,Kalou na Ballack,kweli ni enterntainment safi sana...Hivi sasa game ndo kwanza dk ya 14 na Barcelona wanaonekana kutawala mchezo kwa kiasi kikubwa,tusubiri tuone kama blues watafanya mambo....Kila la Kheri Blues..

Mkuu Mushi, hiyo ball possession ya 65-35 inanitisha
 
Mkuu Mushi, hiyo ball possession ya 65-35 inanitisha

Chelsea naona bado wanaendelea kuwasoma kwasabab kama wanakuwa wanadefend tuu.Tusubiri tuone,lakini wafahamu kuwa kina Messi,Henry na Etoo hawakosi mara nyingi,watakaosa lakini si mara nyingi,kwa kuanza na Mikel Obi utagunduwa kuwa Chelsea wamenza kwa kujihami.
 
Chelsea naona bado wanaendelea kuwasoma kwasabab kama wanakuwa wanadefend tuu.Tusubiri tuone,lakini wafahamu kuwa kina Messi,Henry na Etoo hawakosi mara nyingi,watakaosa lakini si mara nyingi,kwa kuanza na Mikel Obi utagunduwa kuwa Chelsea wamenza kwa kujihami.

Mushi, huyu messi naona anaweza kuwaliza leo the Bluez
 
kuna majirani wana roho mbaya kudadadeki......game kuanza anasema anataka kulala....
 
Balack anapata yellow card
Alex naye amekuwa booked hapo kabla
 
Ballack na Alex tayari wana yellow cards na hii ni dk ya 29 tu! Nadhani Essien hayuko fit kama ilivyokuwa kabla ya injury yake,amecheza vizuri kwenye game kadhaa za premier league,so lets wait and see.
 
Mushi, huyu messi naona anaweza kuwaliza leo the Bluez

Uwezekano huo ni mkubwa kwasababu uchochoro utakuwa kwa Alex ambaye tayari ana yellow...Unless Hidinks abadili strategies na inaoenekana wamepania kwenda ku defend tu...Uzuri mtu kama Drogba naye hutumia nafasi chache kama akipata.
 
Golikipa wa baca kafuta mara mbili. naona Chelsea sasa wameanza kuamka kidogo kidogo
 
Hiyo nafasi aliyoikosa Drogba itamfanya acheze kwa bidii zaidi iii kufuta makosa kwani nafasi ya wazi na alipata two opportunities kwani kipa aliutema na yeye badala ya kusukumiza tena kwa shuti akataka kumpiga chenga kipa,kosa,kipa akaifuta.
 
Naona dkk ya 45 milango bado migumu leo. Chelsea wamejitahidi kudefend vizuri.
 
mbona kimya?

Muda wote mpira wako nao Barcelona na mara kadhaa hapa na pale ni Chelesea na Drogba alikosa baada ya beki kurudisha mpira kwa kipa bila kuwa makini na Drogba akauwahi.
 
Back
Top Bottom