Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

formation kaka, formation! ...mkicheza tena 9-1-0 angalau mnaweza kwenda mpaka extra minutes kisha penalti,....

lakini mkibadili tu formation, let say mkacheza zile za kawaida 4-4-2 au 4-3-3 mmekwisha...! Unaona Real Madrid walivyofanyiwa juzi ndani ya Bernabeu?...au Bayern Munich?....

'Kiyama' chenu kinakuja!

Wewe subiria kichapo chako leo (sna hakika upo timu gani but nahisi arsenal) then utafute kiti kirefu upoze machungu. Subiri wanaume wafanye kweli pale darajani Stanford.

Huwezi ktufananisha na Real Mad au Beyern; hao wote kwa sasa ni marehemu, utawala wao ktk soka la uhakika umekufa sasa wanabahatisha; au hujasikia wanavyo fukuzana???

Ukiona Ze Blues wanakukera saaana, chukua ushauri wa bure kutoka kwa man Massa (saga chupa changanya na gogo/maji ya rangi ya mende unywe taratiibu kwa raha zako)
 
Chelsea wenzenu wamenyolewa nanyi kaeni mkao wa "tayari" there is no way out - mnyolewe na akina messi au mnyolewe fainali "tena"
 
Chelsea gemu ya kesho inabidi isiwaige Arsenal kujifanya wanatanua na kutandaza samba a.k.a total football. Wakijifanya wanashambulia tu Izraili atabisha hodi.

Salama yao ni kucheza formation yao ileile ya gemu ya kwanza ya 1-10-0 na kusubiria penati ..lol
 
Chelsea wenzenu wamenyolewa nanyi kaeni mkao wa "tayari" there is no way out - mnyolewe na akina messi au mnyolewe fainali "tena"

Chelsea gemu ya kesho inabidi isiwaige Arsenal kujifanya wanatanua na kutandaza samba a.k.a total football. Wakijifanya wanashambulia tu Izraili atabisha hodi.

Salama yao ni kucheza formation yao ileile ya gemu ya kwanza ya 1-10-0 na kusubiria penati ..lol

Sisi hatuna wasiwasi na game ya leo tunajua tunafanya nini; arsenal tulishajua wametolewa tangu juma4 iliyopita, jana ilikuwa ni kukamilisha ratiba tu.

Chama letu ni la hatari; TUTASHINDA GAME YA LEO NA TUTAWANYOA KICHWA KIKAVU.

Hebu sikiliza maneno haya hapa: -

MOURINHO said:
... ''Did I like how Chelsea played or not? I don't know. It's my old team and for me it's difficult to judge".

''What I can say is that it is the strongest team in the world in physical terms.

''Certainly they didn't do anything to score, but if (Guus) Hiddink is confident they can win at home that result they got will be a great result.''...
 
Wanachelsea

Leo inabidi gemu tuanze makini, jamaa wasije maliza mchezo within 10 min kama yaliyowakuta Gooners

Lets containing 4-1-4-1 with Malouda, Essien, Lampard, Ballack accross the middle, and Mikel sweeping in front of the back four. Cole on Messi, Bosingwa on the right. Alex and Terry in the centre. This should enable us to survive a nervy first 30-40 minutes. Tukicontrol game anaingia Anelka for Mikel and we switch to 4-4-2 kwa counter attacks maana jamaa watachanganyikiwa watatushambulia Drogba na Anelka watawamaliza, ukizingatia hawana reliable central defender

My prediction

Chelsea 2 Barca 1

Masa & Bellies
 
Chelsea will remain standing....lakini the Battle of tonight is not of this world!
 
Wanachelsea

Leo inabidi gemu tuanze makini, jamaa wasije maliza mchezo within 10 min kama yaliyowakuta Gooners

Lets containing 4-1-4-1 with Malouda, Essien, Lampard, Ballack accross the middle, and Mikel sweeping in front of the back four. Cole on Messi, Bosingwa on the right. Alex and Terry in the centre. This should enable us to survive a nervy first 30-40 minutes. Tukicontrol game anaingia Anelka for Mikel and we switch to 4-4-2 kwa counter attacks maana jamaa watachanganyikiwa watatushambulia Drogba na Anelka watawamaliza, ukizingatia hawana reliable central defender

My prediction

Chelsea 2 Barca 1

Masa & Bellies

...hapo kwenye 4-1-4-1 si mpaka ikubaliane na 4-3-3 ya Barca...

huwezi cheza 4-1-4-1 wakati Barca wana Mesi, Eto'o na Henry pale mbele... inabidi uvunje tu ubakie na 4-4-2, au uzibe na 4-5-1 😀 te he he heee,...angalau vidonda vyangu (vya jana) vimeanza kukauka kidogo kidogo!
 
...hapo kwenye 4-1-4-1 si mpaka ikubaliane na 4-3-3 ya Barca...

huwezi cheza 4-1-4-1 wakati Barca wana Mesi, Eto'o na Henry pale mbele... inabidi uvunje tu ubakie na 4-4-2, au uzibe na 4-5-1 😀 te he he heee,...angalau vidonda vyangu (vya jana) vimeanza kukauka kidogo kidogo!

Kamanda

Kule kwao tulicheza hiyo 4-1-4-1, tukawabana...Messi atakuwa kama hayupo leo maana Cole anamdhibiti...Henry na Etoo wapo akina Terry, Alex na Mikel....sijui lakini Guus anawaza nini...ila utakuwa mpira mgumu kwa pande zote

Chelsea 2 Barca 1
 
Kamanda

Kule kwao tulicheza hiyo 4-1-4-1, tukawabana...Messi atakuwa kama hayupo leo maana Cole anamdhibiti...Henry na Etoo wapo akina Terry, Alex na Mikel....sijui lakini Guus anawaza nini...ila utakuwa mpira mgumu kwa pande zote

Chelsea 2 Barca 1

...no bana, mngecheza hiyo 4-1-4-1 kule spain angalau mngeibuka na several shots towards their goal. Ukiniambia hiyo formation ilichezwa 1st 8-10 minutes sawa. the rest ilikuwa '...yaaaaaaaaaaawwwwwwwwwn!'
 
...no bana, mngecheza hiyo 4-1-4-1 kule spain angalau mngeibuka na several shots towards their goal. Ukiniambia hiyo formation ilichezwa 1st 8-10 minutes sawa. the rest ilikuwa '...yaaaaaaaaaaawwwwwwwwwn!'


Trying to avoid humiliation maana wale scoring record kwao inatisha waulize Bayen ama Lyon....and of latest Madrido
 
Wanachelsea

Leo inabidi gemu tuanze makini, jamaa wasije maliza mchezo within 10 min kama yaliyowakuta Gooners

Lets containing 4-1-4-1 with Malouda, Essien, Lampard, Ballack accross the middle, and Mikel sweeping in front of the back four. Cole on Messi, Bosingwa on the right. Alex and Terry in the centre. This should enable us to survive a nervy first 30-40 minutes. Tukicontrol game anaingia Anelka for Mikel and we switch to 4-4-2 kwa counter attacks maana jamaa watachanganyikiwa watatushambulia Drogba na Anelka watawamaliza, ukizingatia hawana reliable central defender

My prediction

Chelsea 2 Barca 1

Masa & Bellies

Keep Dreaming ....Leo usikimbie hapa jamvini. "We will never walk alone"

Mechi ya Baca Jumapili inajirudia leo hapo Darajani.
 
Leo BJ Lazima mpaka mapumziko utakuwa umeshaaamia kwa Messi. Tena natumaini ushanunua 'Uzi' wa MESSI kabisaaaaa tayari kwa sherehe huku darajani. Bacca Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee! wamebana wameachia malizia basi hicho kibwagizo...
 
Keep Dreaming ....Leo usikimbie hapa jamvini. "We will never walk alone" Mechi ya Baca Jumapili inajirudia leo hapo Darajani.

Teh Teh teh teh teh tutakuwepo pedeshee wala usijali kufungwa na kushinda ni sehemu ya mchezo.....!
 
Wanachelsea

Leo inabidi gemu tuanze makini, jamaa wasije maliza mchezo within 10 min kama yaliyowakuta Gooners

Lets containing 4-1-4-1 with Malouda, Essien, Lampard, Ballack accross the middle, and Mikel sweeping in front of the back four. Cole on Messi, Bosingwa on the right. Alex and Terry in the centre. This should enable us to survive a nervy first 30-40 minutes. Tukicontrol game anaingia Anelka for Mikel and we switch to 4-4-2 kwa counter attacks maana jamaa watachanganyikiwa watatushambulia Drogba na Anelka watawamaliza, ukizingatia hawana reliable central defender

My prediction


Chelsea 2 Barca 1

Masa & Bellies

Masanilo!nimekupata !ila nina presha sana gemu ya leo...mimi mwenyewe naamini tunashinda hili gemu ila wale vicheche 3 wa Barca watakuwa wameshatupandisha sana persha na kushusha kabla hatujawaua kabisa.leo ndio dunia itatambua kwanini last tuesday Hiddink aliamua kukaba tu bila kushambulia.na watu wataamini Mwandiko mzuri darasani hauna maana kama hujui kitu.watacheza shoo gemu yao kufurahisha watazamaji.ila mimi naamini kutakuwa na goli nyingi kuliko ulizotabiri hapo juu.May be 5-4 0r 4-3.
 
Teh Teh teh teh teh tutakuwepo pedeshee wala usijali kufungwa na kushinda ni sehemu ya mchezo.....!

Ila kitu kimoja, mnakocha mzuri sana. Guus amerudisha amani kambini ila naye kisha anza kusema ameipenda 'filosophy' ya Baca. Tutaonana hapo saa nane EAT.

Msalimie BJ mbwambie asisaahu kubeba 'bisi' nasikia mnaziita 'popo corn'.

Till then, Tchao!
 
Ila kitu kimoja, mnakocha mzuri sana. Guus amerudisha amani kambini ila naye kisha anza kusema ameipenda 'filosophy' ya Baca. Tutaonana hapo saa nane EAT.

Msalimie BJ mbwambie asisaahu kubeba 'bisi' nasikia mnaziita 'popo corn'.

Till then, Tchao!


Kweli Big Phil alitulostisha sana...Bellies anakusoma hapa, atakujibu mwenyewe...hahahahaha haya mazee....tunapenda njungu siye

Kila laheri
 
Leo BJ Lazima mpaka mapumziko utakuwa umeshaaamia kwa Messi. Tena natumaini ushanunua 'Uzi' wa MESSI kabisaaaaa tayari kwa sherehe huku darajani. Bacca Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee! wamebana wameachia malizia basi hicho kibwagizo...


Shadow!
Usinitanie mapema kumbuka jana! Anyway leo ni shughuli, Messi simtoi leo labda Barca wafungwe na chelsea.
Tupo pamoja leo Chelsea ila akikatiza na mpira Messi nashabikia kotekote...
Imba kabisa maana mkisambaratishwa wimbo utakuwa haupandi..he he
 
Masanilo!nimekupata !ila nina presha sana gemu ya leo...mimi mwenyewe naamini tunashinda hili gemu ila wale vicheche 3 wa Barca watakuwa wameshatupandisha sana persha na kushusha kabla hatujawaua kabisa.leo ndio dunia itatambua kwanini last tuesday Hiddink aliamua kukaba tu bila kushambulia.na watu wataamini Mwandiko mzuri darasani hauna maana kama hujui kitu.watacheza shoo gemu yao kufurahisha watazamaji.ila mimi naamini kutakuwa na goli nyingi kuliko ulizotabiri hapo juu.May be 5-4 0r 4-3.


I am optimistic tutadefend na kuwashambulia, we might got them in the middle...Guus hatakuwa mjinga afate tune ya Barca....My prediction remain...Henry hatocheza dak 90 hata Messi

Chelsea 2 Barca 1.....God bless Chelsea
 
Ila kitu kimoja, mnakocha mzuri sana. Guus amerudisha amani kambini ila naye kisha anza kusema ameipenda 'filosophy' ya Baca. Tutaonana hapo saa nane EAT.

Msalimie BJ mbwambie asisaahu kubeba 'bisi' nasikia mnaziita 'popo corn'.

Till then, Tchao!

Shadow!
Salamu zimefika, asante sana!..Naanda hivyo kivafunwa kabisaa(bisi bisi) maana wakati wa mechi ni full concentration kwenye mechi ya leo.
Uwepo baadae jamvini kumalizia presha za jana kama siyo BP au Total, ha ha ha!..
 
Shadow!
Usinitanie mapema kumbuka jana! Anyway leo ni shughuli, Messi simtoi leo labda Barca wafungwe na chelsea.
Tupo pamoja leo Chelsea ila akikatiza na mpira Messi nashabikia kotekote...
Imba kabisa maana mkisambaratishwa wimbo utakuwa haupandi..he he

BJ, naona tugange yajayo. Jana nilikubali yaishe si unajua asiyekubali kushindwa....but it was my worst night believe me.

Leo natumaini lazima ball possession tufikishe 70%. Magoli yatafungwa na Niesta na Beki mmoja wa Baca kwenye set pieces, kwa sababu The Bluez watakuwa wakiangalia the trio wakicheza samba na kujisahahu.
 
Back
Top Bottom