Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ndugu yangu mimi sina wasi wasi sana kama game la kwanza....anyway chochote kinaweza tokea ...nina homa za vipindi naweza nisingalie pia kipindi cha pili

Masanilo, pole sana na hizo homa za vipindi. Ila naomba uiangalie hiyo video hapo juu inaweza kukuliwaza kidogo. Unaweza kupata mbinu kutoka kwa Legend Messi na ukamsaidia Mr.Guus.

Invisible, nilifikiri wewe ni the Gooners duh haya see you this weekend kwenye EPL.
 
Kwa uchokozi sikuwezi, yote hii ni kuhakikisha Invisible na Masanilo wanakuwa roho juu...

Leo nilishakuahidi kuwa 1st half naweza kuwa mgonjwa hivyo itategemea na dawa nilizomeza 🙂

Mpwa,

Mi tumbo nasikia linacheza! Itakuwa ni ushindi mkubwa kwa Chelsea au ndo tuseme..........!?

Mkuu nakumbuka last season kipindi kama hiki tunakiputa na Barca, nilikuwa sina amani especially baada ya Ronaldo kukosa penalty ndani ya Nou Camp.

Mkitaka kushinda baneni tuu kama tulivyofanya ila msiogope kushambulia mnaweza kuambulia goli moja dakika za mwanzo mwanzo alafu mkalinda mpaka mwisho wa gemu.

 
Mkuu hata Man U sidhani kama mnaombea kukutana na hawa Barca, ni gharika kukutana na mijamaa hii. Lkn mpira huwa ni wa ajabu, unaweza kukuta tunamaliza gemu tukiwa meno nje teh teh teh.

Leo mashambulizi HAYAKWEPEKI! Labda kama wachezaji wamepatwa na ganzi...
 

Icadon,

wewe wape nondoz lakini mpira unadunda pamoja na hizo mbinu unazowapa. wewe unafikiri mpaka sasa Baca nao hawajasoma namna ya kufumua huo ukuta. Subiri hapo darajani lazima el nino na la nina vishuke. Muulizeni binamu yenu Real Madrid.
 
Exaud imekuwaje leo hujatumia herufi kubwa?

Chelsea 2 Barca 1

MASILANO.
LEO NINA RAHA SANA BAADA YA KUUMIA JANA.
BELINDA na ICADON Walinishawishi NIKAWA MGUMU.
Leo najisalimisha mapema.
Timu yangu halisi ni chelsea na watashinda.
SHADOW,BELINDA,ICADON,MBU.TUSKER,INVISIBLE,KANA KA NSUNGU..... mpo??????????????????????????????????????????????
 
Chelsea v Barcelona: Xavi talks tough ahead of Champions League semi-final tie

Barcelona midfielder Xavi claims that the Catalans will not be intimidated by the physical challenge waiting for them when they take on Chelsea in the second leg of their Champions League semi-final clash. [source: the Telegraph]
 
haya huyu anawapoza kidogo. Masa hii angalau inaweza punguza homa yako ya vipindi.



Alan Hansen: Missing Defenders Could Swing Barcelona Tie In Chelsea's Favour

The national pundit gave his verdict on Wednesday evening's Champions League tie between Chelsea and Barcelona.

6 May 2009 15:53:17


Photo Gallery
Zoom


Victor Valdes keeps Didier Drogba at bay with a double save in Chelsea's 0-0 draw at Barcelona (Marca)
Related Links

This evening's concluding leg of Chelsea and semi final Champions League clash at Stamford Bridge is finely balanced at 0-0, and national pundit Alan Hansen - a European Cup winner with Liverpool - expects Guus Hiddink to maintain his containing tactics, and cites Barcelona's missing defenders as a cause of concern for Pep Guardiola.

"Guus Hiddink is no fool," Hansen explained to 4TheGame. "He won't play an open attacking tonight as he knows Barcelona have the players to take any side apart if they do. If you allow players like Xavi, Lionel Messi and Thierry Henry room to manoeuvre then you will get turned over.


"Barcelona are missing a few defenders for this one so that's a weakness Chelsea will be looking to exploit as is the power of Didier Drogba. Gerard Pique faces a tough ride at Stamford Bridge keeping the big man quiet but a lot will depend on what Chelsea can muster.

"I'd be very surprised if Nicolas Anelka played as Hiddink will want to keep his midfield unit tight so Drogba is likely to play up front on his own with Frank Lampard supporting him," he said.

"If Chelsea can keep it tight, they will always pose a threat from set-pieces against a relatively small Barca side. However, keeping Barcelona quiet is going to be difficult with the confidence they've gained from the weekend.

"That's the beauty of this tie which really could go either way," he concluded.

Alan Dawson, Goal.com
 
Leo ni Blues kuchezeshwa lambada kama siyo kwata au 'macarena' teh teh teh
Barca Oyeeeeeeeeeeeeeee!

Shadow!

Utabiri wa jana ulikuwa rahisi kidogo ila leo mmh!..

Lambada itachezwa kama siyo bluez..huh!
 
Icadon,

wewe wape nondoz lakini mpira unadunda pamoja na hizo mbinu unazowapa. wewe unafikiri mpaka sasa Baca nao hawajasoma namna ya kufumua huo ukuta. Subiri hapo darajani lazima el nino na la nina vishuke. Muulizeni binamu yenu Real Madrid.

Hehehe, mkuu naona leo mifrustration yako yote unataka iishie kwa Chelsea lol, Ze Bluez wacheze kama Sunderland walivyocheza na Arsenal tuu lazima Barca wawe frustrated sasa hapo ndio unapowalima kimoja tuu.
 
Shadow!

Utabiri wa jana ulikuwa rahisi kidogo ila leo mmh!..

Lambada itachezwa kama siyo bluez..huh!

Sincerely, I hope mechi itakuwa nzuri isiyo na kadi nyekundu na filimbi kibao. Najua The Bluez wakiiga milindimo ya waspaniola wamekwisha. Leo Beki za Baca ndo zitakazofungua milango ya Chelsia.
 

Mie nilikwambia angalia dakika 90 kwanza ndio uchague timu mwishoni lakini ukawa mbishi. Pole lakini.
 
Kwa uchokozi sikuwezi, yote hii ni kuhakikisha Invisible na Masanilo wanakuwa roho juu...

Leo nilishakuahidi kuwa 1st half naweza kuwa mgonjwa hivyo itategemea na dawa nilizomeza 🙂

Invisible!

Naomba tu leo usichanganyikiwe maana shughuli ipo kubwa!...
Na mshinde vinginevyo nitawachokoza mpaka msilale leo,ukifunga macho uwaone Barca wanashangilia tu..ha ha ha
 
Chelsea coach Guus Hiddink insists his side will not be running scared when they play Barcelona in the second leg of their Champions League semi-final
Hapo vipi?
 
Hehehe, mkuu naona leo mifrustration yako yote unataka iishie kwa Chelsea lol, Ze Bluez wacheze kama Sunderland walivyocheza na Arsenal tuu lazima Barca wawe frustrated sasa hapo ndio unapowalima kimoja tuu.

Mkuu Icadon, kwanza Ongera sana jana profesa hakuweza ata kudesa kwa mtafuna big G. Sikutegemea SAF atakuja na style ya kujaza viungo.

Pili najua unataka ukutane na the Bluez ili ndoto yako itimie ya kuretain kombe. Unajua kabisa kwamba kama ukikutana na Baca ni kiama.

Baca Oyeeeeeeeeez Henry hureeeeeeeeee
 
Hapo vipi?

Nimekupata, mbio zitaanza baada ya goli kuingia. Hapo ndo utaona emotions zinaover run mental capacity na uwezo wa kufikiri na kumsikiliza kocha upotea na matokeo yake ni gharika la magoli.
 

SHADOW,
Leo mimi na wewe tuko parallel.
 
Bellies you cant stop amazing me....nifanyaje....Love you more!

Masa, relax my dear!..he he, utafikiri ni Taifa stars inacheza maana hata presha haipandi hivi..Ukubali tu matokeo ili kulalike leo lasivyo nitashindwa nikusaidiaje!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…