Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,523
mkuu mbona ni ya kulipia hii link..
Sorry mimi hapa nacheki bure!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu mbona ni ya kulipia hii link..
jaribu iraqgoals.net,hostream.net,nkora.net.mkuu mbona ni ya kulipia hii link..
haya tupo tutaona.hapa wenger akijipanga vizuri msimu wetu unaonekana na liverpool labda.
mkuu mbona ni ya kulipia hii link..
jaribu kupitia http://www.myp2p.eu/ ina options nyingi tu na ni free, bad you need fast internet
Amen, bwana awe nawenimeuma mnoooo!!! mungu ibariki chelsea mungu nibariki mimi
kwanza tushatandikwa moja sina hamu ya kuangalia pressure inapanda pressure inashuka
Eeeh Mungu hebu ipendelee Chelsea katika mechi hii pliiiiiiiiizzzzz!Amen, bwana awe nawe
Yeah,Tujipe moyo Dak 45 huenda kukawa na mabadiliko
Chelsea 2 Man utd 1 in 90 min
Tuendelee kujipa moyo, inaweza hata ikawa chelsea 3 man u 1Tujipe moyo Dak 45 huenda kukawa na mabadiliko
Chelsea 2 Man utd 1 in 90 min
Mkuu, hawa ni wetu leo, hawana ujanja, ushindi wao ni drooYeah,
Bosingwa ndani ya nyumba...
Naanza kupata moyo, tutawalaza tuuu
Kweli una pressure mpwa... Bado bana!mhhh nasikia kelele nini tena Chelsea wamesawazisha au tumepigwa la pili
ndo nini tena hiyo?wakuu kama mna nafasi jiungeni na jamiiforum fantasy league