Yaani tunacheza kama hatuna namba 9 mbele.Kwamba kupoteza mipira hovyo ni bahati mbaya au uwezo duni? Felix bado anacheza mpira wa chandimu ile umsubiri mtu umpige tobo sasa hayo mambo kwenye EPL hakuna
Nkuku naye kama analazimisha aonekane mwisho wa siku anaondoka kwenye eneo lake na anajikuta kama LW
Ni kweli mpira hauko hivyo kwetuMpira haupo hivyo kijana
Alifanya hv kwa Southampton labla akadhani na leo mambo yataenda kama hy siku 😂Wala si uchawi..
Kocha leo kawa msenge msenge. Anaanza na kikosi cha hovyo kabisa.
Tushawambwa msalabani ,kudadekiMbona kama mnapigwa kweli
Nilitegemea baada ya ht aje na mabadiliko...Alifanya hv kwa Southampton labla akadhani na leo mambo yataenda kama hy siku 😂
H mechi tumeshalambwa, jana nilisema humu kuwa hawa madogo watatushangaza na kweli wametulamba 😭Nilitegemea baada ya ht aje na mabadiliko...