Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chance tunazopata na kushindwa kuzitumia zitaendelea kututafuna.

Maresca hiv karibun amekuwa muoga sana kufanya mabadiliko.
Kocha kumkataa Nkunku ni kosa kubwa sana
Mimi ningeendelea kumpanga Nkunku no 10 na Palmer RW. Nkunku kakosewa hesjhima kabisa. Angecheza mfululioz tangu mwanzo sasa hivi angekuwa anafukuzana na akina Palmer kwa idadi ya magoli na hivyo Chelsea ingekuwa na uhakika wa Top 4
 
Aliyesema jackson takataka namuunga mkono
Ipo siku humu tutaongea lugha moja, huwezi kuwa na striker anayehitaji nafasi4 kufunga goli moja useme utapata chochote, hata top 4 tu itakua mtihani.

Unaambiwa uzuri wa Jackon anapress na kukaba!!!, wakat kazi y striker ni kufunga magoli. Eti next Drogba hahahaha

Nimeangalia mechi ya Brentford, kuna hao watu wanaitwa Mbeumo na Wissa, aisee wanacheza kiutu uzima, sio kina Jackson mamameee
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Lile piga nyeto Palmer jana limetoa boko

Uliona wapi pep akaacha mchezaji bora

Kocha amempa majukumu machache uwanjan ila makosa kibao

Chezaji hata kupiga shoot haliwez 😀😀😀😀

Nyeto Palmer 😀😀😀😀😀😀😀😀



Kenge nyie nyeye nyenye ubingwa 😀😀😀😀
 
He is good ila siyo namba moja EPL. Hata kwenye timu yenu siyo namba moja
Niambie defensive midfilder yupi kwa pale EPL amemzidi Caicedo kwa performance au unampima kwa kiwango cha team kwa sasa sio individual?
 
Hata tukishauri haisaidii Kocha wetu ana kichwa kigumu na misimamo ya kijinga. Acha tuendelee kupoteza points.
Tatizo la Marseca akizidiwa habadiliki, ana watu wa mgongoni na wale wa matakoni

Soma tu majibu anayotoa wakati anafanyiwa interview na @BobbyVincentFL

Enzo Maresca: "Pedro was very good, Jadon was good, Nico was good, Cole was good, Enzo was good, Moi [Caicedo] was good, Levi was good, Josh [Acheampong] was good... make change for change, I don't like."

EM: “Let me ask you, who you change today?
”B: “You had Nkunku and Felix on bench”
EM: “Yeah, but for who?”
B: “I dunno”
EM: “I know that’s my job sometimes, but when we do changes it’s because one is not good enough or one is tired not pressing good. Today I think the 11 on the pitch were good”
 
Niambie defensive midfilder yupi kwa pale EPL amemzidi Caicedo kwa performance au unampima kwa kiwango cha team kwa sasa sio individual?
Namjudge kwa kukumbuka tangu yupo Brighton.

Ila kabla hatukafika mbali sana tukubaliane kwamba kuna baadhi ya stats zitakua nzuri kwa baadhi ya mchezaji wa ulinzi kulinganisha na mwingine wa nafasi hiyo hiyo ya ulinzi na biggest factor ni urahisi wa timu mojawapo kushambuliwa.

Mfano Onana atakua ameface shots nyingi kuliko Becker, Raya au Ederson hii haimaanishi yeye ni mzuri kuzidi hao watatu.

Caicedo kafanya tackles nyingi ukimlinganisha na midfielders wengine. Ila ana interceptions chache. Kiungo wa ulinzi cha kwanza ni kuintercept, akifeli ndiyo anaresort kwenye tackling. So hizi stats mbili ziko sahihi kwamba hawezi kuintercept so inabidi afanye tackling.

Kutokana na kufanya sana tackling, Caicedo anaongoza kwa kusababisha faulo kwa kumlinganisha na midfielders wenzake.

Caicedo anaongoza kwa touches na passes. Lakini pass inahesabiwa hata back pass au sideway pass hapa Caicedo hata kwenye assists anarank sawa au anapitwa na ambao hawapo hata kwenye tano bora ya touches au passes.
 
Namjudge kwa kukumbuka tangu yupo Brighton.

Ila kabla hatukafika mbali sana tukubaliane kwamba kuna baadhi ya stats zitakua nzuri kwa baadhi ya mchezaji wa ulinzi kulinganisha na mwingine wa nafasi hiyo hiyo ya ulinzi na biggest factor ni urahisi wa timu mojawapo kushambuliwa.

Mfano Onana atakua ameface shots nyingi kuliko Becker, Raya au Ederson hii haimaanishi yeye ni mzuri kuzidi hao watatu.

Caicedo kafanya tackles nyingi ukimlinganisha na midfielders wengine. Ila ana interceptions chache. Kiungo wa ulinzi cha kwanza ni kuintercept, akifeli ndiyo anaresort kwenye tackling. So hizi stats mbili ziko sahihi kwamba hawezi kuintercept so inabidi afanye tackling.

Kutokana na kufanya sana tackling, Caicedo anaongoza kwa kusababisha faulo kwa kumlinganisha na midfielders wenzake.

Caicedo anaongoza kwa touches na passes. Lakini pass inahesabiwa hata back pass au sideway pass hapa Caicedo hata kwenye assists anarank sawa au anapitwa na ambao hawapo hata kwenye tano bora ya touches au passes.
Ndg, stats inategemea unatumiaje au numechukuwaje!
Mfano shots kipimio kizuri ni perntage na sio idadi
Kipa mwenye idadi nyingi ya shots stopage anaweza kuwa ni kipa mbovu ukibadili kwenda kwenye asilimia
Ninamaanisha
Kipa asipopigiwa mashuti nitajuaje mzuri
Beki asipopelekewa mashambulizi nitajuaje ni mzuri
Factors zote zinatumika. kipa mzuri lazima perntage ya shots stopage, cleansheets, conceedeed goals and blaa blaa zitumike kumpima

Jambo la pili kwenye kila nafasi kuna aspects ambazo ni muhimu na zingine sio muhimu
mfano tackle, clearance, interceptions, duels won, ball recoveries ni vipimio vya muhimu sana kwa DM na beki kuliko idai ya magoli aliyofunga

Attacking Midfielder, vif=gezo vyake muhimu ni goals scored, assists, chances created nk

Kwa sababu hivi vigezo ni vingi sana na sio kila aspectr mchezaji mmoja atakuwa kinara kuliko wengine ndio maana tunachuku8a average. Caicedo kwa wastani anaongoza EPL kwa hizo aspect za CM/DM. Unaweza mwenye kwenda kucheki kwenye tovuti ya EPL
 
Ndg, stats inategemea unatumiaje au numechukuwaje!
Mfano shots kipimio kizuri ni perntage na sio idadi
Kipa mwenye idadi nyingi ya shots stopage anaweza kuwa ni kipa mbovu ukibadili kwenda kwenye asilimia
Ninamaanisha
Kipa asipopigiwa mashuti nitajuaje mzuri
Beki asipopelekewa mashambulizi nitajuaje ni mzuri
Factors zote zinatumika. kipa mzuri lazima perntage ya shots stopage, cleansheets, conceedeed goals and blaa blaa zitumike kumpima

Jambo la pili kwenye kila nafasi kuna aspects ambazo ni muhimu na zingine sio muhimu
mfano tackle, clearance, interceptions, duels won, ball recoveries ni vipimio vya muhimu sana kwa DM na beki kuliko idai ya magoli aliyofunga

Attacking Midfielder, vif=gezo vyake muhimu ni goals scored, assists, chances created nk

Kwa sababu hivi vigezo ni vingi sana na sio kila aspectr mchezaji mmoja atakuwa kinara kuliko wengine ndio maana tunachuku8a average. Caicedo kwa wastani anaongoza EPL kwa hizo aspect za CM/DM. Unaweza mwenye kwenda kucheki kwenye tovuti ya EPL
Hapa sasa ndiyo nikasema stats zinaweza mfavour mchezaji fulani kwa kumlinganisha na mwingine kutegemea na timu aliyopo.

Pia lazima ujue the higher the number the higher the percentage. This means mwenye idadi kubwa atakua na asilimia kubwa and vice versa.

Mfano Mustafi alikua ana stats nzuri defensively ukimlinganisha na Virgil, lakini hii ni kwakua kipindi hicho Liverpool walikua wanapossess mpira mpaka 80% so Virgil hakutani sana na mashambulizi. Same logic inaenda kwa kipa kama Onana ambaye anaface shots nyingi kuliko makipa wengi (kuna stats ziliwahi tumwa)

Kila nilichoandika ni sawa. Unless kama kuna kitu kipya unataka kushare
 
Back
Top Bottom