Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hapa sasa ndiyo nikasema stats zinaweza mfavour mchezaji fulani kwa kumlinganisha na mwingine kutegemea na timu aliyopo.

Pia lazima ujue the higher the number the higher the percentage. This means mwenye idadi kubwa atakua na asilimia kubwa and vice versa.

Mfano Mustafi alikua ana stats nzuri defensively ukimlinganisha na Virgil, lakini hii ni kwakua kipindi hicho Liverpool walikua wanapossess mpira mpaka 80% so Virgil hakutani sana na mashambulizi. Same logic inaenda kwa kipa kama Onana ambaye anaface shots nyingi kuliko makipa wengi (kuna stats ziliwahi tumwa)

Kila nilichoandika ni sawa. Unless kama kuna kitu kipya unataka kushare
Sijakataa nimeongezea tu
Mfano kipa anaweza akawa mzuri sana kwenye kustop mashuti kweli kweli lakini pale timu inamtegemea aibebe anaiangusha, save moja ya kipa huyu inaweza kuwa bora sana kuliko save 5 za kipa yule

Kwa upande mwingine kuna mchezaji anan kuwa best kwenye mfumno mzuri na anakuwa worst kwenye mfumo mbovu na kuna wachezaji iwe mfumo ni mbovu au mzuri wao ni top muda wote

Mimi ningetolea mfano wa Kante, yeye alikuwa hategemei anacheza na nani, akina Jorginho walionekana wazuri kwa sababu8 Kante aliwabeba
 
Tuna wakuregenz wa michezo wa hovyo sana ni kama kuna mda hawajui walifanyalo.
 
Chelsea wamejadili nia ya kumnunua Marc Guehi kutoka Crystal Palace na pia wamejadili kukatiza mkopo wa Trevoh Chalobah. Msimu uliopita Palace walitaka paun i mil 70 kwa Guehi. Sasa miezi sita imeshapita na amebakiwa na miezi 18 kwenye mkataba wake. Chelsea wakitaka kumnunua kuna sell clause ya mil 20 kwa hiyo kuna uwezekan o Chelsea wakampata Guehi kwa mil 40 bila Swap deal na Chalobah
1736197628586.png
1736197897579.png
 
Kuna mda Maresca ni kama haishi na maneno yake, sio mara moja au mara mbili ashasema Felix,Palmer,Madueke,Nkunku hawawezi kuanza pamoja kwa sababu wote sio wakabaji

Kingine nikuendelea kujitoa akili kukchezesha Disas kama right back wakat una Achaempong ambae ni rb halis

Katika game 3 zilizopita Maresca amezingua maana hata ukiangalia sub zake nizakuchelewa na si kama hapo mwanzo unakuta mchezaj ashazingua tangu first half ila unakuta 2nd half bado anaendelea

Game ya Fulham-Sancho game ilikuwa ishamkataa ila Neto ndie aliyetolewa na Sancho akamaliza dakika 90

Game ya Ipswich disasi game ishamkataa ila kaja kutolewa dakika ya 77 huko
Toka mechi ya Everton kiongozi...Sancho alishakata moto Ila analazimishwa kuendelea
 
Timu inamtegemea sancho, madueke , palmer na Jackson eti ibebe EPL , mmelogwa ? Mtalima sana lami na hakuna hata kikombe cha chai
 
Dirisha dogo ili la usajili ungependa tajiri miluzi asajili mshambuliaji gani kati ya isak au Gyokeres ambaye anaweza kuendana na mfumo wetu
 
Dirisha dogo ili la usajili ungependa tajiri miluzi asajili mshambuliaji gani kati ya isak au Gyokeres ambaye anaweza kuendana na mfumo wetu
Tunacheza conference league, isitoshe ni katikati ya msimu ni ngumu kuvutia quality player
Mchezaji wa £60mil ukija na shida zako utaambiwa £90 hivyo usitegemee kupata proven quality player
 
Back
Top Bottom