Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Filip Jorgensen ananifanya niumwe tumbo kila anapoanzisha mpira. Anazubaa na akipasi anatoa pasi mbaya kweli na karudia hivyo karibia mara nne tano. Nilikuwa namtetea ila sasa basi. Mjinga sana ananikumbusha badiashile anapokaa na mpira hadi anashi9ka kiuno. Mashabiki wanampigia kelele za kumzomea, na inaonekana hajagundua hilo hadi pale Colwill alipomlazimisha kuanza ili kupunguza mvutano wa mashabiki.
Wewe huwa unajizima data kila kitu unatetea tu utafikiri chawa wa ccm na chama chao
 
Aston Villa wamefungwa
Bournemouth wamefungwa nao
Leo Man City atafungwa na Spurs kama kawaida yao
Newcastle atabigizwa magoli na Liverpool
Neto on fire
Enzo Fernadez ameula
George assist
Colwill ndiye John Terry anayefuata
Nkunku wetu karudi kwenye ubora wake na ni bora kuliko Salah
Tumerudi kwenye top 4
Cucurella ni Beki thabiti EPL
Clean sheet ya Jorgensen
Chelsea Tumerudi
Tunashinda ligi😀😀😀😀😀😀😀
 
Je, tutapata pointi ngapi ili kumaliza hii biashara top-four msimu huu?
Chelsea imesalia na mechi 11
  1. Sun Mar 9 Leicester City (Home)
  2. Sun Mar 16 Arsenal (Away)
  3. Wed Apr 2 Tottenham Hotspur (Home)
  4. Sat Apr 5 Brentford (Away)
  5. Sat Apr 12 Ipswich Town (Home)
  6. Sat Apr 19 Fulham (Away)
  7. Sat Apr 26 Everton (Home)
  8. Sat May 3 Liverpool (Home)
  9. Sat May 10 Newcastle United (Away)
  10. Sun May 18 Manchester United (Home)
  11. Sun May 25 Nottingham Forest (Away)
 
Mjue kwamba Chelsea imeboronga kweli mwaka huu wa 2025

1740650254760.png
 
Je, tutapata pointi ngapi ili kumaliza hii biashara top-four msimu huu?
Chelsea imesalia na mechi 11
  1. Sun Mar 9 Leicester City (Home)
  2. Sun Mar 16 Arsenal (Away)
  3. Wed Apr 2 Tottenham Hotspur (Home)
  4. Sat Apr 5 Brentford (Away)
  5. Sat Apr 12 Ipswich Town (Home)
  6. Sat Apr 19 Fulham (Away)
  7. Sat Apr 26 Everton (Home)
  8. Sat May 3 Liverpool (Home)
  9. Sat May 10 Newcastle United (Away)
  10. Sun May 18 Manchester United (Home)
  11. Sun May 25 Nottingham Forest (Away)
Leicester City - WIN
Arsenal - LOSE
Tottenham Hotspur - DRAW
Brentford - WIN
Ipswich Town - WIN
Fulham - LOSE
Everton - DRAW
Liverpool - LOSE
Newcastle United - DRAW
Manchester United - DRAW
Nottingham Forest - WIN
 
Leicester City - WIN
Arsenal - LOSE
Tottenham Hotspur - DRAW
Brentford - WIN
Ipswich Town - WIN
Fulham - LOSE
Everton - DRAW
Liverpool - LOSE
Newcastle United - DRAW
Manchester United - DRAW
Nottingham Forest - WIN
Baada ya kushindwa hivi karibuni, kundi la wachezaji wakubwa wa Chelsea walianzisha mkutano wa timu huko Cobham.
Katika mkutano huo — kwa mujibu wa vyanzo vingi, maneno makali walibadilishana. Baadhi ya mambo muhimu yaliyotajwa yalikuwa kwamba viwango vya mafunzo vilihitaji kuboreshwa, wachezaji walihitajika kuwa makini zaidi na kushirikiana, na kwamba ubinafsi na ego binafsi lazima yawekwe pembeni kwa manufaa ya timu.

Source: @liam_twomey & @SJohnsonSport

Sasa tutashindaje kama hali sio nzuri kule dressing room?

Hatutaweza kushinda mechi za timu hizi labda huo mkutano waliokaa ulete manufaa
Brentford
Forest
Everton watatufunga na

Kwa ufupi

Leicester City - WIN
Arsenal - LOSE
Tottenham Hotspur - DRAW
Brentford - DRAW
Ipswich Town - WIN
Fulham - LOSE
Everton - LOSE
Liverpool - LOSE
Newcastle United - DRAW
Manchester United - DRAW
Nottingham Forest - LOSE

Jumla ya points 10/33

Jumla ya point msimu mzima 56
Nafasi ya 8
UECL tunaweza kushinda kama akiwekea maanani na kufaulu kwenda Europa kupitia huko
 
Cole Palmer has created 35 chances in his last 14 Premier League matches without registering a single assist 🤯❌

Huyu ndo tuliaminishwa yupo daraja moja na kina Jude, Lamine, Jamal nk ! Ule msimu aliotea tu kwa zile numbers,,,, ! Cole wa kawaida sana, mpaka kocha ameanza kumtetea, imani inapotea
 
Baada ya kushindwa hivi karibuni, kundi la wachezaji wakubwa wa Chelsea walianzisha mkutano wa timu huko Cobham.
Katika mkutano huo — kwa mujibu wa vyanzo vingi, maneno makali walibadilishana. Baadhi ya mambo muhimu yaliyotajwa yalikuwa kwamba viwango vya mafunzo vilihitaji kuboreshwa, wachezaji walihitajika kuwa makini zaidi na kushirikiana, na kwamba ubinafsi na ego binafsi lazima yawekwe pembeni kwa manufaa ya timu.

Source: @liam_twomey & @SJohnsonSport

Sasa tutashindaje kama hali sio nzuri kule dressing room?

Hatutaweza kushinda mechi za timu hizi labda huo mkutano waliokaa ulete manufaa
Brentford
Forest
Everton watatufunga na

Kwa ufupi

Leicester City - WIN
Arsenal - LOSE
Tottenham Hotspur - DRAW
Brentford - DRAW
Ipswich Town - WIN
Fulham - LOSE
Everton - LOSE
Liverpool - LOSE
Newcastle United - DRAW
Manchester United - DRAW
Nottingham Forest - LOSE

Jumla ya points 10/33

Jumla ya point msimu mzima 56
Nafasi ya 8
UECL tunaweza kushinda kama akiwekea maanani na kufaulu kwenda Europa kupitia huko
Wanasema Maresca ni mkali inakuwaje dressing room wanavurugana?
 
Cole Palmer has created 35 chances in his last 14 Premier League matches without registering a single assist 🤯❌

Huyu ndo tuliaminishwa yupo daraja moja na kina Jude, Lamine, Jamal nk ! Ule msimu aliotea tu kwa zile numbers,,,, ! Cole wa kawaida sana, mpaka kocha ameanza kumtetea, imani inapotea
Tufanye ni mchezaji mbaya haya leta takwimu za hao uliowataja wenye msimu mzuri Tufanye comparison
 
Chelsea kwa sasa hawana mpango wa kusajili golikipa mpya katika majira ya joto. Robert Sanchez, Filip Jorgensen na Djordje Petrovic watachuana kuwania golikipa nambari 1 msimu ujao. Kipa wa Genk Mike Penders atajiunga na majira ya joto na anazingatiwa kuwa na ubora wa hali ya juu sana.
 
Chelsea kwa sasa hawana mpango wa kusajili golikipa mpya katika majira ya joto. Robert Sanchez, Filip Jorgensen na Djordje Petrovic watachuana kuwania golikipa nambari 1 msimu ujao. Kipa wa Genk Mike Penders atajiunga na majira ya joto na anazingatiwa kuwa na ubora wa hali ya juu sana.
Mechi inayofuata baada ya soton ni lini?
 
Cole Palmer has created 35 chances in his last 14 Premier League matches without registering a single assist 🤯❌

Huyu ndo tuliaminishwa yupo daraja moja na kina Jude, Lamine, Jamal nk ! Ule msimu aliotea tu kwa zile numbers,,,, ! Cole wa kawaida sana, mpaka kocha ameanza kumtetea, imani inapotea
Umeelewa kwanza kilichoandikwa??
 
Hawa mbwa si wamrudishe Petrovic aisee , Sanchez ni pazia ,hafai kuwa kipa number moja wala kuvaa jezi ya Chelsea
 
Back
Top Bottom