Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hao viwete Arsenal mbona tunaweza kushinda vizur tu. Nyie Arsenal sijui mnawaonaga wakali sana eeh? Mechi ngumu kwetu ni hao akina Everton, Nottingham na fulham.
Kama tulishindwa kwa city, sahau kuhusu Arsenal timu iko soft mno haiwezi shinda big match, mentality ya relegation imejazwa na kocha kwa wachezaji dirty game hatuwezi kabisa
 
mchezaj bora wa chelsea msimu huu
🤗🔥🔥🔥🤗
 

Attachments

  • 20241202_232623.jpg
    20241202_232623.jpg
    110.1 KB · Views: 1
Hao viwete Arsenal mbona tunaweza kushinda vizur tu. Nyie Arsenal sijui mnawaonaga wakali sana eeh? Mechi ngumu kwetu ni hao akina Everton, Nottingham na fulham.
Tatizo la Maresca hajui kuweka gameplan ya low bloc ambayo ndio sumu ya Arsenal
Chelsea hatuwezi kuhimili agresiveness ya Arsenal watasababisha mabeki wetu wafanye tu makosa
 
Bora yule myahudi arudi kuchukua timu yake , ulikuwa ni upuuzi wa FA kumnyang'anya mali yake
 
Niwakumbushe tu kwamba pamoja na kujikongoja kwa Chelsea na matatizo na uchanga wa Chelsea bado ipo nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi na baada ya mechi 28

Kwa hizi mechi kumi zilizobaki usishangae tukadinda na kumaliza wa nne au watatu
Wesley Fopfana karudi yuko kikosini
Romeo Lavia Yuko na karudi kikosini
Nicolas Jackson anakuja kuungana na Cole Palmer baada ya mapumziko ya kimataifa
Madueke anarudi naye kama Jackson -kumbuka baada ya Palmer na Enzo Fernandez, Madueke ndie anafuatia kwa kutengeneza nafasi Chelsea.
Reece James kapteni yuko fiti na anacheza vizuri na kufunga magoli kama mfano wa kuigwa
Enzo Fernandez yuko kwenye form ya hali ya juu
Moises Caisedo jembe, haugui wala hapati majeraha wala hachoki
Pedro Neto huyo kasemwa semwa akaamua sasa kupress uwanja mzima mwenyewe
Jadon Sancho form inarudi kwa kasi
Marc Cucurela ndio sina la kuongeza Jembe na beki bora EPL
Levi Colwill na Tosin wameamua hapiti mtu kule nyuma
Wachezaji wote na kocha wamesema top 4 ni ya lazima na kushinda UECL ni ya lazima pia
Mechi hizi 10 zilizobaki zitakuwa ngumu sana sio kwetu bali kwa wapinzani wetu
Top 4 tunatinga na onyo tunatoa mwakani tupo kwenye mbio za ubingwa watake wasitake kwanza kwa sababu Liverpool watakuwa goigoi sana baada ya Mohamed Salah na Virgil van Dijk kuondoka.
Arsenal ni ile ile haibadiliki hata wakiwa kwenye form ya hali ya juu wao ni wasindikizaji tu
Man City ujenzi wa nyumba mpya unaanza mwakani, hii ya sasa haikaliki imechoka sana
Nani atatuzuia ubingwa mwakani?

1741636181205.png
 
Pesa zilizomwagwa kwenye usajili zaidi ya £1.6B halafu kikosi bado cha kuunga unga kwa soletepu. Basi sajili zinatosha, tumekubali hatujui kufanya usajili.

Sasa pesa zote zielekezwe kwenye kujenga uwanja wa kisasa. Tunajiita club kubwa wakati uwanja wetu ni kiberiti.
London_Stamford_Bridge.jpg
 
Niwakumbushe tu kwamba pamoja na kujikongoja kwa Chelsea na matatizo na uchanga wa Chelsea bado ipo nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi na baada ya mechi 28

Kwa hizi mechi kumi zilizobaki usishangae tukadinda na kumaliza wa nne au watatu
Wesley Fopfana karudi yuko kikosini
Romeo Lavia Yuko na karudi kikosini
Nicolas Jackson anakuja kuungana na Cole Palmer baada ya mapumziko ya kimataifa
Madueke anarudi naye kama Jackson -kumbuka baada ya Palmer na Enzo Fernandez, Madueke ndie anafuatia kwa kutengeneza nafasi Chelsea.
Reece James kapteni yuko fiti na anacheza vizuri na kufunga magoli kama mfano wa kuigwa
Enzo Fernandez yuko kwenye form ya hali ya juu
Moises Caisedo jembe, haugui wala hapati majeraha wala hachoki
Pedro Neto huyo kasemwa semwa akaamua sasa kupress uwanja mzima mwenyewe
Jadon Sancho form inarudi kwa kasi
Marc Cucurela ndio sina la kuongeza Jembe na beki bora EPL
Levi Colwill na Tosin wameamua hapiti mtu kule nyuma
Wachezaji wote na kocha wamesema top 4 ni ya lazima na kushinda UECL ni ya lazima pia
Mechi hizi 10 zilizobaki zitakuwa ngumu sana sio kwetu bali kwa wapinzani wetu
Top 4 tunatinga na onyo tunatoa mwakani tupo kwenye mbio za ubingwa watake wasitake kwanza kwa sababu Liverpool watakuwa goigoi sana baada ya Mohamed Salah na Virgil van Dijk kuondoka.
Arsenal ni ile ile haibadiliki hata wakiwa kwenye form ya hali ya juu wao ni wasindikizaji tu
Man City ujenzi wa nyumba mpya unaanza mwakani, hii ya sasa haikaliki imechoka sana
Nani atatuzuia ubingwa mwakani?

View attachment 3266149
Umeandika kuchekesha genge
 
Conor Ghallagher anakichafua huko , Dogo litakuwa beast mno chini ya Simeoni .
Linakaba kisenge
 
Niwakumbushe tu kwamba pamoja na kujikongoja kwa Chelsea na matatizo na uchanga wa Chelsea bado ipo nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi na baada ya mechi 28

Kwa hizi mechi kumi zilizobaki usishangae tukadinda na kumaliza wa nne au watatu
Wesley Fopfana karudi yuko kikosini
Romeo Lavia Yuko na karudi kikosini
Nicolas Jackson anakuja kuungana na Cole Palmer baada ya mapumziko ya kimataifa
Madueke anarudi naye kama Jackson -kumbuka baada ya Palmer na Enzo Fernandez, Madueke ndie anafuatia kwa kutengeneza nafasi Chelsea.
Reece James kapteni yuko fiti na anacheza vizuri na kufunga magoli kama mfano wa kuigwa
Enzo Fernandez yuko kwenye form ya hali ya juu
Moises Caisedo jembe, haugui wala hapati majeraha wala hachoki
Pedro Neto huyo kasemwa semwa akaamua sasa kupress uwanja mzima mwenyewe
Jadon Sancho form inarudi kwa kasi
Marc Cucurela ndio sina la kuongeza Jembe na beki bora EPL
Levi Colwill na Tosin wameamua hapiti mtu kule nyuma
Wachezaji wote na kocha wamesema top 4 ni ya lazima na kushinda UECL ni ya lazima pia
Mechi hizi 10 zilizobaki zitakuwa ngumu sana sio kwetu bali kwa wapinzani wetu
Top 4 tunatinga na onyo tunatoa mwakani tupo kwenye mbio za ubingwa watake wasitake kwanza kwa sababu Liverpool watakuwa goigoi sana baada ya Mohamed Salah na Virgil van Dijk kuondoka.
Arsenal ni ile ile haibadiliki hata wakiwa kwenye form ya hali ya juu wao ni wasindikizaji tu
Man City ujenzi wa nyumba mpya unaanza mwakani, hii ya sasa haikaliki imechoka sana
Nani atatuzuia ubingwa mwakani?

View attachment 3266149
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Lembu nipigieni kwanza huyo Arsenyani goli za kutosha hio jumapili, halafu ndio niamini hiki unachokisema ni serious au ulikua umevimbiwa zako tu makande ukawa unaropokwa hovyo.
 
Jackson na Noni Madueke sio wachezaji wa hali ya juu sana lakini kwa squad ya Chelsea ya sasa, pengo lao baada ya kwenda majeruhi ni kubwa mno. Natumaini watarudi baada ya International break na kuipa timu nguvu zaidi wakati huu muhimu wa kuelekea mwishoni mwa ligi ya uingereza na coference league.
Kwa uwepo wa Nicolas Jackson, Romeo Lavia, Noni Madueke, Reece James, Wesley Fofana naona Chelsea inaweza ikajitutumua na kushinda Uefa Europa Conference league na top four
 
Chaloba na gudiashile naona wameimarika wanapiga pasi za mbele za kueleweka.
 
Back
Top Bottom