Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

This is unfished bussiness yet....tunawasubiri tena Stamford Bridge....Essien was terrific...was Gerald on the pitch?
 
Fernando-Torres-Liverpool-Chelsea-Champions-L_2131689.jpg


Fernando Torres is left grounded as Chelsea ease past Liverpool


Branislav-Ivanovic-Liverpool-Chelsea-Champion_2131360.jpg


In the 39th minute Branislav Ivanovic gets up to meet a corner...


Branislav-Ivanovic-Liverpool-Chelsea-Champion_2131362.jpg


...and heads home to bring the two sides level


Branislav-Ivanovic-Liverpool-Chelsea-Champion_2131487.jpg


On the hour Ivanovic heads home the second to put Chelsea in the driving seat.

Branislav-Ivanovic-Liverpool-Chelsea-Champion_2131508.jpg


The Serbia and Montenegro international wheels away after scoring, the Anfield crowd is left stunned

Didier-Drogba-Liverpool-Chelsea-Champions-Lea_2131530.jpg


Five minutes later Liverpool are delt a second blow as Drogba slides in to meet a low cross from Kalou...


Didier-Drogba-Liverpool-Chelsea-Champions-Lea_2131560.jpg


...the Ivory Coast striker guides the ball home to put Chelsea 3-1 up.
 
This is unfished bussiness yet....tunawasubiri tena Stamford Bridge....Essien was terrific...was Gerald on the pitch?

Kipigo bado kipo tu.Si walikua wanatuzomea...sisi 'apana Man U tafadhali!!!
 
Kipigo bado kipo tu.Si walikua wanatuzomea...sisi 'apana Man U tafadhali!!!

Yaani nina raha sana...was in a pub sipping while watching da game...nilikuwa peke yangu na damu ya Chelsea, tulipopigwa la kwanza baada ya Alex kuzembea kusafisha....was like taking a cold shower in Winter....nilijipa moyo jamaaa wametanguli na baiskeli ya miti....Ivanovic na Didier walinipa raha....


Well done Guus! happy days
 
Watani hongereni, ila si mnajua kama kawaida vita ya panzi(mechi yenu na liverpool) furaha ya kunguru...Ila nashukuru mmewafunga mdomo Kops maana duh waliongea sana uchafu jana.
 
Yaani nina raha sana...was in a pub sipping while watching da game...nilikuwa peke yangu na damu ya Chelsea, tulipopigwa la kwanza baada ya Alex kuzembea kusafisha....was like taking a cold shower in Winter....nilijipa moyo jamaaa wametanguli na baiskeli ya miti....Ivanovic na Didier walinipa raha....


Well done Guus! happy days

Masanilo,

Ndio moyo wakizalendo huo. Mwenzio nilikua na wasi wasi baada ya
bao la kwanza lakini si unajua kuna ile spirit ya "never say die"...

Viva Chelsea, We still believe!!!!
 
Watani hongereni, ila si mnajua kama kawaida vita ya panzi(mechi yenu na liverpool) furaha ya kunguru...Ila nashukuru mmewafunga mdomo Kops maana duh waliongea sana uchafu jana.

Asante kwa hongera zako mtani wangu.Leo tumewafyata watu
midomo kweli especially after being written off.Bado tupo mkuu!
 
KWa kweli mimi sikuamini! Tatu! Timu ambayo ilikuwa imebaki pekee kufungwa nyumbani. Mimi walivyowafunga Man Utd 4,nikajua sasa na sisi cha moto tutakiona,maana hawa kwenye CL ni wakali zaidi kuliko kwenye ligi.

Kumbe tatizo letu lilikuwa kocha,hawa wasingetufunga kabisa katika hizo mara mbili walizotufma kama Guus angekuwepo toka mwanzo.
Leo Scolari lazima angempanga Anelka badala ya Drogba na Fereira angecheza instead of Ivanovich! Na moto tungeuona!
 
Hongereni, mi mwana man u lakini chelsea wamenipa raha sana leo! Liver wajue chelsea sio man wala madrid! Essien kazi yake ilikuwa na Gerrald tu, weeeeee
 
Mmmh jamani Essien, Drogba, Kalou, Malouda, Lampard........were terrific last night kwa kweli! Vijana walitupa raha ya kweli watazamaji.....hongereni!
 
Hongereni sana Chelsea nahisi huenda Hidink akasaini mkataba wa kudumu ,hawa jamaa walishaanza dharau game ijayo wapigeni 3 nyingine
 
This is unfished bussiness yet....tunawasubiri tena Stamford Bridge....Essien was terrific...was Gerald on the pitch?

Ni kweli tunawasubiria nyumbani, tuwawekee welding ktk midomo yao maana walikuwa wanaongea pasi na kipimo utafikiri mpira wanaucheza wao dunia nzima!!! Walisahua msemo wa mfalme wa soka duniani ya kuwa mpira ni magoli pekee yanayoamua mshindi.

Gerald aliwekwa mbavuni kama hakuwepo vile; juzi usiku MALOUDA alipohojiwa kasema Lampard ni bora zaidi ya Gerald na jan hilo limethibitika.

Viva, viva, viva la Chelsea!!!
 
Hongereni sana Chelsea nahisi huenda Hidink akasaini mkataba wa kudumu ,hawa jamaa walishaanza dharau game ijayo wapigeni 3 nyingine
Hahaha,

L'pool walikuwa wanaanza kuota mapembe! Naona tulitakiwa kuwarudishia yale waliyowapa Man U ili wafahamu "Mpira unadunda". I see, nilifurahi sana game la jana.

...😱 eeeeeeh?!! mungu wangu! nilijua mkishashinda patakuwa hapatoshi hapa, Chelski bana!

haya, uwanja wenu huu leo, haya
hongereni!
msije sema sijawapongeza bureee!
Hiyo 'Hongereni' ni ndogo sana... Lakini poa tu, ishakuwa babangu!

Masanilo,

Ndio moyo wakizalendo huo. Mwenzio nilikua na wasi wasi baada ya
bao la kwanza lakini si unajua kuna ile spirit ya "never say die"...

Viva Chelsea, We still believe!!!!
Kabla mechi haijaanza nilimwambia jamaa yangu wa karibu kuwa kabla ya dakika ya 10 L'pool watakuwa na goli lakini nikamsisitizia kuwa pamoja na kuwa tutafungwa mwanzo bado Drogba ana goli na mwingine nisiyejua atakuwa nani atawashtua L'pool kwa kutomdhania. As if niliotea, ikawa vile!

Ni kweli tunawasubiria nyumbani, tuwawekee welding ktk midomo yao maana walikuwa wanaongea pasi na kipimo utafikiri mpira wanaucheza wao dunia nzima!

Hahaha, interesting... "You will never walk alone" jana walionekana kubaki midomo wazi.

Mwonja huonjwa!
 
Hahaha,

L'pool walikuwa wanaanza kuota mapembe! Naona tulitakiwa kuwarudishia yale waliyowapa Man U ili wafahamu "Mpira unadunda". I see, nilifurahi sana game la jana.


Hiyo 'Hongereni' ni ndogo sana... Lakini poa tu, ishakuwa babangu!


Kabla mechi haijaanza nilimwambia jamaa yangu wa karibu kuwa kabla ya dakika ya 10 L'pool watakuwa na goli lakini nikamsisitizia kuwa pamoja na kuwa tutafungwa mwanzo bado Drogba ana goli na mwingine nisiyejua atakuwa nani atawashtua L'pool kwa kutomdhania. As if niliotea, ikawa vile!



Hahaha, interesting... "You will never walk alone" jana walionekana kubaki midomo wazi.

Mwonja huonjwa!
Invisible iam HAPPY to see you again in this forum usikimbie
 
Invisible iam HAPPY to see you again in this forum usikimbie

...umeona eeeh/ dah!? tena wapo wengi kweli...

wameibuka kama kumbikumbi kwenye mashimo yao 😀😀😀... nishawahesabu, next match nitawakalia kooni mpaka kieleweke...

BTW; tarehe 18/April muweke kwenye Diaries zenu tunakutana pale Wembley.

'washika bunduki'!
 
...umeona eeeh/ dah!? tena wapo wengi kweli...

wameibuka kama kumbikumbi kwenye mashimo yao 😀😀😀... nishawahesabu, next match nitawakalia kooni mpaka kieleweke...

BTW; tarehe 18/April muweke kwenye Diaries zenu tunakutana pale Wembley.

'washika bunduki'!


Mbu,

Weye acha zako maana tumo mumu humu ata iweje!
 
Nilikuwa nna hamu sana kuwepo katika mjadala wote huu sema bahati mbaya majukumu yanatukimbiza mbali kabisa na mitandao...lakini jana ulikuwa ni usiku wenye burudani na raha zake... yaani murua!!! Wanasema ati watakuja darajani well ni kwamba The Fat Lady will sure sing this time!!!
 
Mbu,

Weye acha zako maana tumo mumu humu ata iweje!

...dah, hata mzozo wa mizozo naye kaibuka! ...can't wait til tuesday Mascherano, Alonso na Gerrard watapokutana tena pale kwenye midfield halafu muone zile lobs zilizowatoa aibu Man U...

BTW, pengo la JT ataliziba nani vile?, msithubutu kumweka Obi Mikel! 😀

Nilikuwa nna hamu sana kuwepo katika mjadala wote huu sema bahati mbaya majukumu yanatukimbiza mbali kabisa na mitandao...lakini jana ulikuwa ni usiku wenye burudani na raha zake... yaani murua!!! Wanasema ati watakuja darajani well ni kwamba The Fat Lady will sure sing this time!!!
 
Wazee mimi nimepita hapa kuwasalimu tu. Na nasindikiza salam zangu kwa kibao hicho hapo naambatanisha!😀
 

Attachments

Back
Top Bottom