Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,523
Nitashukuru ila tutakuwa watatu yaani na Masa..
Yo Yo kwanza wewe ni mshabiki wa timu gani hasaaa??
Oyaaah maana huyu mhhh hakiwii kuweka uchawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitashukuru ila tutakuwa watatu yaani na Masa..
Yo Yo kwanza wewe ni mshabiki wa timu gani hasaaa??
Hahah huyo Ade tukimletea Beyonce uwanjani lazima miguu iishiwe na nguvu aanze kutetemeka.
Kesho na wewe usije ukapotea mkuu, si unajua man utd wakifungwa wananywea kweli. Kila la kheri
lol......mmatumbi yule katoka mbali kaenda kutafuta ajira ulaya hataki mchezo....beyo hata aje kaava kile kivazi cha single ladies...Hahah huyo Ade tukimletea Beyonce uwanjani lazima miguu iishiwe na nguvu aanze kutetemeka.
mie timu yenye skills.....EPL nilikuwa bolton alipohama okocha nikahama namimi....ila kwa sasa naoan the gunaz ndio wanaweza kunichukulia muda wangu kuwaangalia...Yo Yo kwanza wewe ni mshabiki wa timu gani hasaaa??
Mbu
Halafu hizo 4-4-2-2 sijui namba gani zinajipangaje kwakweli hata sizielewi. Mimi naangaliaga chenga, pasi na magoli.
Inabidi nizifahamu vizuri hizo staili za kupanga wachezaji kwenye mechi.nitakufundisha freeee
Ohh sweetie, nitakuelewasha tukiwa kitandani tunajadili siku ilikuwaje!
Mbu
Halafu hizo 4-4-2-2 sijui namba gani zinajipangaje kwakweli hata sizielewi. Mimi naangaliaga chenga, pasi na magoli.
Inabidi nizifahamu vizuri hizo staili za kupanga wachezaji kwenye mechi.
lol......mmatumbi yule katoka mbali kaenda kutafuta ajira ulaya hataki mchezo....beyo hata aje kaava kile kivazi cha single ladies...
tehe tehe lakini mkuu mambo yale guu guu kweli kweli hayana msimamo....ade ni binadamu aliekamilika.....lol lewis anakimbiza si utani..Hana lolote angalia alichosema,
"For me that must be something special. It is like a boy being told Beyonce is looking for them." Lakini kwa jinsi lile toto lilivyonona sitomlaumu si unaona akina Hamilton wanajilia akina Nicole Scherzinger.
Hahah huyo Ade tukimletea Beyonce uwanjani lazima miguu iishiwe na nguvu aanze kutetemeka.
unamaana gani mkuu!?tombe uzima
unamaana gani mkuu!?
Wanatafuta goli la dakika za mwisho mwisho.
Chelsea wizi mtupu, haiwezekani timu ambayo mchezaji wa bei ya chini ni pauni 15 mil (Mike Obi) icheze vile kama Hull City, hii ni dhuluma kwa fedha ya watazamaji. Mshambualiaji mmoja na wengine wote kuzuia, this is not fair especially for neutrals. Najuta kuangalia game ya jana!