haya Manabii! Tungoje tuone
Hawa nadhani ndio wale Manabii wa Uongo. Maana wametabiri sivyo. Poleni wazee wa Darajani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya Manabii! Tungoje tuone
Bandugu nimepita humu darajani, nawatafuta ndugu zangu BJ na Masanilo. Sijui wamesalimika na kuvunjika kwa daraja la kuelekea Roma.
Shadow..
Naona unalipiza uchokozi alioufanya Masanilo wakati wa mechi ya arsenal na manure..Tumesalimika ila bado hali haijawa nzuri, kama mshabiki hali ni hivi sijui kina Drogba,Essien na wenzao hali zao zikoje!!
Inshalaah hatujambo,kipigo kinasikiliziwa tu bado hakijasahaulika...
Shadow..
Naona unalipiza uchokozi alioufanya Masanilo wakati wa mechi ya arsenal na manure..Tumesalimika ila bado hali haijawa nzuri, kama mshabiki hali ni hivi sijui kina Drogba,Essien na wenzao hali zao zikoje!!
Inshalaah hatujambo,kipigo kinasikiliziwa tu bado hakijasahaulika...
The teams line up in a packed Camp Nou before kick-off
Oh that is good to know, BJ.
Manake nilishaanza kuwatafuta si unajua tena nawajali. Hasa homa za vipindi. I hope na Invinsible naye amesalimika na anaendeleza libeneke kama kawaida. Enjoy lambada to Rome!
Ciao.
...mmeamkaje???
mwambie masanilo life goes on bana, ...mbona mimi nimekubali matokeo? najua inauma kunyang'anywa tonge mdomoni, lakini sasa utafanyaje?
Drogba nilishasema anachangia sana ushindi au kufungwa kwa CHELSEA! Game ya Nou Camp alipoteza open chances za kuua game, jana pia hivyo hivyo! ...Jana pia 'aliuza' mechi.
...halafu akajifanya kaumia utadhani wamemuitia Ambulance! nashangaa baada ya final whistle anakuja mbio (tena bila wheelchair) kutaka kumtoa macho Ref! Come on, what a shame?!
Tuseme Chelsea wangekuwa wameshinda kagoli kamoja hako wangemlaumu bado Refa?
Kama masanilo hajiwezi kiasi hicho ABRAMOVICH anajisikiaje? Life goes on,
Jumapili, EPL;
ARSENAL vs CHELSEA
Nilikubali mpira ni mwisho wa mechi.
Bj,shadow,babu................nimekubali kushindwa.
Najitoa rasmi kushabikia timu za majuu.
Nitakuwa tu namsindikiza rafiki yangu belinda.
Nabakia na timu yangu ya CHUO CHA POLISI MOSHI.
Nilikubali mpira ni mwisho wa mechi.
Bj,shadow,babu................nimekubali kushindwa.
Najitoa rasmi kushabikia timu za majuu.
Nitakuwa tu namsindikiza rafiki yangu belinda.
Nabakia na timu yangu ya CHUO CHA POLISI MOSHI.
Nilikubali mpira ni mwisho wa mechi.
Bj,shadow,babu................nimekubali kushindwa.
Najitoa rasmi kushabikia timu za majuu.
Nitakuwa tu namsindikiza rafiki yangu belinda.
Nabakia na timu yangu ya CHUO CHA POLISI MOSHI.
Exaud!
Pole sana, ndo hivyo wabongo tunasema huna 'kismati' yaani bahati!lol
Kila timu uliyojikita 1/2 fainali umeambulia machungu..Ila easy,ni mpira tu!.
Haya unisikilize mimi, fainali nitakwambia ushangilie timu gani!!!!
Mie mwenyewe timu yangu ya Polisi Dodoma ni damu,hata majimaji haioni ndani..ha ha
Icadon,
Najua unafurahi mmekosa kipigo, we will meet FA! Umecheki nembo kwenye gari ya kaputeni wetu JT?
![]()
Kwa niaba ya wenzako...Mkuu AB-TCHAZ pole sana!...am glad hujajinyo$%#@&^*....i mean U HAVEN'T GIVE UP!..
Hahahaha,Poleni Ze blues.....the likes of Masanilo & Bellies, Shadow et al!