IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,362
- 6,274
Habari zenu, mko poa? Kwa nini mnalalama wakati mlisema hamtaki ubingwa hata table baadhi ya wachezaji wenu hawaangalii msimamo? Punguzeni ku jam maana mmeshasema nyie mpo mpo tu kwenye ligi hamna malengo yoyote. Wachangamsha ligi fc, nawatakiwa sikukuu njema.