Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ndgu yangu Chash money, kumbuka hii ni derby na derby huwa zinafuata historia
Chelsea wanapokutana na Derby na Fulam huwa ni ushindi tu. Leo Chelsea wako full nondo na nawaona Fulam wakijihami zaidi kuliko kucheza mchezo wao

-------------Jackson-----------------

Neto ----------Palmer----------Sancho

----Enzo----------------Caicedo-----

Cucurella ----Colwill----Tosin----Gusto

--------------Sanchez --------------
Mmegongwa MAKENGE nyie😂😂
 
Tusisahau pia Fulam wazuri sana kwenye kupress na kukimbia uwanjani, wako kila mahali. Ni gamu gumu hili ila najua tutashinda
Hadi sasa Sancho hache vizuri
Kwa upande wa mabeki, Tosin anaendelea kung'ara, hadi sasa ameshamnyang'anya Fofana nafasi ile ya RCB
Mmeshinda ngapi MAKENGE nyie
 
Yamepigwa kama ngoma😁😁😁😁
kitu nachopenda chelkenge mkifungwa lazima tushinde.
1703666666204.jpg
 
Baada ya matokeo ya sare na Everton, hii mechi na Fulham nilikuwa naiogopa sana. Nikasema kama Everton walitusumbua basi Fulham atatukera

Fulham ametoa draw na Arsenal & Liverpool ambazo ni team bora zaidi yetu.

THE BLUES ikicheza mashabiki wake duniani kote wanapita mtaani wakiomboleza, bingwa wa dunia amewambwa msalabani
 
Ndgu yangu Chash money, kumbuka hii ni derby na derby huwa zinafuata historia
Chelsea wanapokutana na Derby na Fulam huwa ni ushindi tu. Leo Chelsea wako full nondo na nawaona Fulam wakijihami zaidi kuliko kucheza mchezo wao

-------------Jackson-----------------

Neto ----------Palmer----------Sancho

----Enzo----------------Caicedo-----

Cucurella ----Colwill----Tosin----Gusto

--------------Sanchez --------------
Ndugu yangu umenipa matumaini ya uwongo, Ahsante kwa kuharibu bajeti yangu. Baada ya ushauri wako nikaagiza kuku choma na kinywaji baridi nikaanza kujipongeza kwa ushindi tutakaopata.
 
Nyie Kenge mshaanza na nyinyi kuleta Unyumbu au hua mnatuona tunafaidi?
Sisi Nyumbu dua zetu zote tunazielekeza kwenu mchukue Epl msimu huu ili mtuepushie fedheha ya kutwaa ubingwa watesi wetu Liverpunda au ile misukule ya Tetea lakini naona mnaleta utoto.
Sasa mnafungwaje goli na mchaga anaitwa Munisi?
 
Kenge zimetolewa damu.

Eti mnajifanaisha na team inayoweza kuchukua ubingwa mbele ya Liverpool.

Kenge maji kabisa nyie.
 
Tumefungwa na Fuham kwa makosa makuu mawili kwanza kumtoa Jackson ambae anadefend na kuweka Nkunku kosa la pili Neto alichoka mapema na kocha kashindwa kumuondoa na kumueka madueke goli zote zimepita kwa Neto.

Enzo hawezi kumudu midfield tunahitaji Lavia arudi wakiwa na Coicedo kati kati tunakua vizuri sanaa, tumekua dhaifu sanaa kati kati ya uwanja.
 
Dah ,wakuu ,tumewambwa msalabani , tumeshenyentwa kiufupi mamaee
Hii game inaniuma sana
Mliongalia game mtupe mrejesho game ilikuwaje ?
 
Najua Arsenyetoz huko wanachekelea chooni mamaeee ,yatakuja kutujazia nzi humu mpaka basi ,we ngoja tu .🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom