Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Usikasirike.Kweli hata mie sancho hakuna mchezaji mjinga kama yule
We nae jiheshimu basi halafu heshimu wapinzani wako tena kuwa na aibu
Ww kocha wako yupo na wachezaji ss ni mwaka wa 5 hana anachokifanya zaidi ya kucheza cheza kama mjina na hajui anataka nni hakuna mafanikio zaidi ya kushika top 4 watu wanakuja kufanya na kuchukua makombe ww na timu yako na mtaani mcheza chela hovyo ona aibu basi hata kma kutania muda mwingine ongea ki mpira timu yako mbovu Chelsea ni bora sana kwa muelekeo unaokwenda
Mtu akija kuongea kwa hoja hua naongea kwa hoja akija kwa utani same treatment inakuja.
By default hakuna shabiki wa Chelsea anakuja jukwaa la Arsenal akaanza kujenga hoja. No way you should expect any.
Now kama unataka tuone ikiwa kweli chelsea ni bora leta facts. Usikasirike