Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Left back atacheza nani?EXCLUSIVE: Juventus agree deal with Chelsea to sign Renato Veiga, here we go!Loan deal for €5m loan fee until June, no buy option clause — and then player back to Chelsea at the end of June for Clubs’ World Cup.Veiga, expected to play as CB at Juventus.
View attachment 3210569
Nadhani yupo dogo mmoja wa timu ya vijanaLeft back atacheza nani?
Cucu akiumia yupo Ishe Samuels-Smith au Gusto hata JamesLeft back atacheza nani?
Tuna SD waajabu sanaKipindi hiki tunahitaji mchezaji huyu?
Wakati yule khvicha alikuwa sokoni na anauwezo wa kufunga hatukuangaika mpaka kaenda PSG
Timu inauhaba na centre forward na beki kiongozi lakini SD bado wananunua raw players
Ishe Samuels-SmithNadhani yupo dogo mmoja wa timu ya vijana
Wanawake ni 0 kabisa tamaaaa tuMykhailo Mudryk aachwa na mchumba wake (Violetta Bert ambaye ni mwanamitindo wa nchini Urusi) baada ya Mudryk kufungiwa na FA kwa muda usiojulikna kucheza kandanda nchini Uingereza. Mwanamitindo huyo ambaye aliamua kwenda likizo na mpinzani wake wa zamani wa Premium League.
Kulingana na Game, Set & Match, Bert amehama kumuacha Mudryk na sasa anachumbiana na kiungo wa Juventus, Weston McKennie.
Imeripotiwa kuwa Bert na McKennie waliondoka kwa ndege wakiwa pamoja, huku wawili hao wakichapisha picha za kituo maarufu cha kuteleza kwenye theluji cha Ufaransa, Courchevel, wakiwa wameanza kufuatiliana kwenye mitandao ya kijamii mwezi Oktoba.
View attachment 3212435
Hakuna mkufunzi paleHizi quotes za Maresca sidhan kama zina afya naona na yeye amekuwa mbwabwatukaj tu.
Sisi hatuna tofauti na Wolves, hata city wakiwa pungufu watatushindaLeo tutashinda