Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tukubali wakuu Nkukuu formation imemshinda au hana bahati kwa Chelsea, kila akipewa nafasi ndiyo anazidi kujificha kiasi kwamba uoni impact yale uwanjani.
Nkukuu, Falcao, Gonzalo Higuani, Alvaro Morata walipofika Chelsea walikuwa kama wamerogwa vile...wanatangatanga tu uwanjani bila faida.
Mtu pekee anaeweza kuichalange nafasi ya Jackson pale Chelsea ni mtu anaetumia nafasi kwa ajili ya kufunga tofauti na hapo bora Jackson abaki aendelee kubahatisha japo anawapa mabeki kashikashi.
Japo sijaelewa sababu ya kuwatoa wote Ugonchuku na Chukuemeka alafu unamtela tena vijana wa miaka 19.
Uwezi kuchukua kombe na watoto chini ya miaka 25 na wala zaidi ya miaka 33...
Nkunku kocha ndie ametuaminisha kuwa Nkunku haendani jna mfumo wake na wewe ukawa miongoni mwa waliomuamini. Preseason Nkunku ndiye alikuwa miongoni mwa waliofanya vizuri kwa taarifa yako
 
Kocha ameshinda hii mechi kwa kufanya maamuzi sahihi ya subs za mapema. Natumai sasa Maresca anaelewa umuhimu wa kuwa na wachezaji wenye athari kutoka benchi.
 
Nkunku kocha ndie ametuaminisha kuwa Nkunku haendani jna mfumo wake na wewe ukawa miongoni mwa waliomuamini. Preseason Nkunku ndiye alikuwa miongoni mwa waliofanya vizuri kwa taarifa yako
Kuna mmoja either Nkunku au kocha ndio kichwa ngumu mfano leo Nkunku kaingia lakini wakati wa kushambulia nashangaa Cucurella yupo ndani ya box alafu Nkunku yupo nje ya box kama wing back sasa najiuliza ni mfumo wa kocha au ni mchezaji anakosa skills za kuwa sehemu sahihi kwa wakati sahihi
 
Kuna mmoja either Nkunku au kocha ndio kichwa ngumu mfano leo Nkunku kaingia lakini wakati wa kushambulia nashangaa Cucurella yupo ndani ya box alafu Nkunku yupo nje ya box kama wing back sasa najiuliza ni mfumo wa kocha au ni mchezaji anakosa skills za kuwa sehemu sahihi kwa wakati sahihi
Hata Palmer alikuwa saa nyingien anakabia kwenye wing ya kushoto kwa Cucurella. Mfumo unahitaji wachezaji kuwa dynamic. Ni wachezaji wachache ndio hawahami maeneo yao na wengi wao wakiwa mabeki
 
Kuna mmoja either Nkunku au kocha ndio kichwa ngumu mfano leo Nkunku kaingia lakini wakati wa kushambulia nashangaa Cucurella yupo ndani ya box alafu Nkunku yupo nje ya box kama wing back sasa najiuliza ni mfumo wa kocha au ni mchezaji anakosa skills za kuwa sehemu sahihi kwa wakati sahihi
Cucu muda mwingi alikua kwenye box toka 1st half, na yupo vizuri kwnye kurud kwnye nafasi yake. Nkuku sidhani kama aliingia kama striker. Alipokwepo ndipo alitakiwa awepo.
 
Cucu muda mwingi alikua kwenye box toka 1st half, na yupo vizuri kwnye kurud kwnye nafasi yake. Nkuku sidhani kama aliingia kama striker. Alipokwepo ndipo alitakiwa awepo.
Nkunku
Cucurela
Madueke
Sancho
Felix
Neto
Palmer

Biashara nzuri. Tutapiga faida kubwa dirisha lijalo la usajili.
 
Cucu muda mwingi alikua kwenye box toka 1st half, na yupo vizuri kwnye kurud kwnye nafasi yake. Nkuku sidhani kama aliingia kama striker. Alipokwepo ndipo alitakiwa awepo.
Beki namba tatu wa man city mara nyingi uwa utamuona kwenye eneo la kushambulia hiyo itakuwa ni mbinu mpya ya mpira wa kisasa kufanya namba tatu kuja kushambulia na kurudi kulinda eneo lake
 
Cucu muda mwingi alikua kwenye box toka 1st half, na yupo vizuri kwnye kurud kwnye nafasi yake. Nkuku sidhani kama aliingia kama striker. Alipokwepo ndipo alitakiwa awepo.
Alipokuwa amehama wengine walicover nimemuana hata Palmer alidefend vizuri kwenye wngback ya kushoto. Mfumo wa Maresca ndivyo unavyomhitaji mchezaji kuwa dynamic
 
Ninaiona Chelsea ya kabla ya Christmas inataka kurudi. Ile ambayo ilikuwa ikifanya transition za kasi na za uhakika yenye kuleta madhara golini mwa mpinzani. Winga nao wameanza kutambua wajibu wao wa kusaidia kufunga au kutoa assists. Madueke ameimprove kwa game ya jana Neto naye kaleta uhai alipoingia. Sancho bado anahitaji mkuweka bidii sana la sivyo anaweza kuwa kwenye orodha ya kuuzwa hivi punde. Jorgesen anahitaji mechi nyingi ili aongeze confidence kwenye ligi ya Uingereza ambayo yeye bado ni mgeni. Zazidi ya yote namuona Kocha, Maresca ndiye jana ametushindia hiyo mechi kwa kufanya mabadiliko ya haraka na yenye kubadilisha mchezo na kutuletea matokeo mazuri
 
Chelsea dirisha la Januari
Una maoni gani

IN:

▪︎ Mathis Amougou (St-Etienne, £12.5m)
▪︎ Aaron Anselmino (Boca Juniors, recalled from loan)
▪︎ Gabriel Slonina (Barnsley, recalled from loan)
▪︎ Trevoh Chalobah (Crystal Palace, recalled from loan)
▪︎ David Fofana (Goztepe S.K., recalled from loan)

OUT:

▪︎ Axel Disasi (Aston Villa, loan)
▪︎ João Félix (AC Milan, loan)
▪︎ Renato Veiga (Juventus, loan)
▪︎ Alex Matos (Oxford, loan)
▪︎ Kai Crampton (Bournemouth, undisclosed)
▪︎ Zain Silcott-Duberry (Bournemouth, undisclosed)
▪︎ Jimmy-Jay Morgan (Gillingham, loan)
▪︎ Cesare Casadei (Torino, £12.5m)
▪︎ Caleb Wiley (Watford, loan)
▪︎ Somto Boniface (Ipswich Town)
▪︎ Carney Chukwuemeka (Borussia Dortmund, loan)
▪︎ Ben Chilwell (Crystal Palace, loan)
▪︎ Harvey Vale (QPR)
 
Chelsea dirisha la Januari
Una maoni gani

IN:

▪︎ Mathis Amougou (St-Etienne, £12.5m)
▪︎ Aaron Anselmino (Boca Juniors, recalled from loan)
▪︎ Gabriel Slonina (Barnsley, recalled from loan)
▪︎ Trevoh Chalobah (Crystal Palace, recalled from loan)
▪︎ David Fofana (Goztepe S.K., recalled from loan)

OUT:

▪︎ Axel Disasi (Aston Villa, loan)
▪︎ João Félix (AC Milan, loan)
▪︎ Renato Veiga (Juventus, loan)
▪︎ Alex Matos (Oxford, loan)
▪︎ Kai Crampton (Bournemouth, undisclosed)
▪︎ Zain Silcott-Duberry (Bournemouth, undisclosed)
▪︎ Jimmy-Jay Morgan (Gillingham, loan)
▪︎ Cesare Casadei (Torino, £12.5m)
▪︎ Caleb Wiley (Watford, loan)
▪︎ Somto Boniface (Ipswich Town)
▪︎ Carney Chukwuemeka (Borussia Dortmund, loan)
▪︎ Ben Chilwell (Crystal Palace, loan)
▪︎ Harvey Vale (QPR)
Biashara inakwenda vizuri. Faida inaonekana. Hao walioenda kwa mkopo dirisha lijalo la usajili tutawauza permanent.

Next:- Madueke, Neto, Sancho, Sanchez, Fofona, James, KDH, Nkunku, Tosin, Badiashile

Tutanunua makinda 28 wa kureplace hao.
 
Chelsea wanakaribia kumsajili Dario Essugo kwa mil 25 na ana miaka 19 tu na uchezaji wake ni copy and paste ya Moises Caicedo. Romeo Lavia naoan anatafutiwa kitands kuzuri cha kuuguza majeruhi yake
Huyu akisajiliwa itamake sense
View attachment 3223709

Breaking News:
Chelsea imepanga kulipa hadi €25 milioni ili kupata huduma ya Dario Essugo, kwa lengo la kumuweka kwa ajili ya Julai 2025.

Kijana huyu mwenye kipaji ameonyesha uwezo mkubwa, na Chelsea inavutiwa kuwekeza katika maendeleo yake. Essugo, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo Las Palmas, anavutia na uchezaji wake, na Chelsea inaamini anaweza kuwa mchezaji muhimu kwa kikosi chao kwa muda mrefu ujao.

@Record_Portugal
 
Biashara inakwenda vizuri. Faida inaonekana. Hao walioenda kwa mkopo dirisha lijalo la usajili tutawauza permanent.

Next:- Madueke, Neto, Sancho, Sanchez, Fofona, James, KDH, Nkunku, Tosin, Badiashile

Tutanunua makinda 28 wa kureplace hao.
kama Brighton, mchezaji akipanda bei anapigwa mnada na kwa hiyo Chel;sea itaendela kuwa na vitoto vinavyokuzwa kila wakati
 
Back
Top Bottom