Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
Unasahauje chama lakoDah kumbe jana tulicheza na tulilambwa 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasahauje chama lakoDah kumbe jana tulicheza na tulilambwa 😂
Mimi nina mtazamo tofauti kabisa. Uongozi una matatizo yao, lakini kosa kubwa la performance ya timu liko kwa kocha. Tuna kikosi chenye uwezo wa kupigania top 4Hii team kwa sasa Tatizo kubwa liko kwenye uongozi
Sporting Directors na Wamiliki hawa ndio tatizo sasa
Huwez tumia zaidi ya 1BN hakaf team inaonekana inamapungufu kila mahal
Hata aje kocha gani ikiwa SD au Wamiliki ni hawa hawa basi hapo ndio mwishk wety
Kocha nae ana upuuzi wake, timu inacheza kama wamevimbiwa maharage, mipasiii miingi ya nyuma. mbona mwanzoni walikua wanacheza freshi tu through ball zilikua zinapigwa.
Mimi nina mtazamo tofauti kabisa. Uongozi una matatizo yao, lakini kosa kubwa la performance ya timu liko kwa kocha. Tuna kikosi chenye uwezo wa kupigania top 4
Tuna kikosi cha kuweza kufika fainali za Carabao na FA
Tuna kikosi cha kuweza kushinda UECL
Wakati wa Pochettino akiwa na kikosi kibovu kuliko hichi aliweza kufika fainali ya Carabao tukashindwa mbele ya Liverpool
Kwenye FA Cup tuliweza kufika nusu fainali
Kwenye ligi tuliweza kumaliza nafasi ya 6
Haya mafanikio siyaoni kwa Maresca
Sioni top 4
Tumetolewa mapema sana kwenye Carabao na FA
'Kuna kila dalili hata UECL tutatolewa kwa sababu tuna kocha asiye na akili hata kidogo. Yaani mbumbumbu hajui anafanya nini. Mbinu na mikakati ya kushinda mataji hata yale ya mbuzi na jogoo hana.
Tumewanunau the best players wa Brighton wao wakasenda kuwakusanya vito visivyojulikana, Hinshelwood ni kiungo wao ana miaka 19 lakini kacheza vizuri kuliko viungo wetu wazoefu. Mtot anapress ile mbaya huku sisi wakisubiri mipiura kama milingoti.
Tunamhitaji striker na labda kiungo mkabaji na labda beki wa kati kiongozi, lakini Enzo Maresca sio kocha wa kuwasimamia hao wachezaji. Tatizo la msingi la Chelsea kuonekana wadhaifu ni haya:
Nimelizie kwa kusema maelekezo kocha anayowapa wacheza inawachanganya hadi wanashindwa kucheza. Siwapendi kabisa mimi makocha wafahidhina style ya akina PEP, Arteta na huyu kipara wetu. Akiuwakosa wachezaji wanaoweza kuchukua maelekezo yao wankuwa na timu mbovu ile mbaya.
- Player Selection and Substitutions - hili sasa naona amelirekebisha.
- Game Plan and Execution - kuna tatizo kubwa hapa ni kama Enzo Maresca kaishiwa mbinu na zile za mwanzo timu zimeshazisoma na sasa Chelsea haiwezi tena kuexecute hizo tactics zake.
- Player Management and Development - uwezo wa Maresca kuinua uwezo wa mchezaji mmoja mmoja uko duni sana. Hata Plamer naona uwezo wake ukipungua tofauti na wakati wa Pochettino. Enzo, Jackson ndio kazima kabisa, siwezi kuwataja. Kocha mzuri ni yule anayeweza kuwafanya wachezaji waperform na kuongeza kiwango kila wakati. Hii charisma Maresca hana.
SD pamoja na kuwa na maamuzi mabaya ila bado wamefanya usajili mzuri. Wametukasirisha kidogo tu kuendlea kuwasjili watoto wakati kuna nafasi zinahitaji kuboreshwa ambazo nimeshazisema hapo juu.
Nitajia timu inayomilikiwa na Mmarekani IKAFANYA VIZURI?Hii team kwa sasa Tatizo kubwa liko kwenye uongozi
Sporting Directors na Wamiliki hawa ndio tatizo sasa
Huwez tumia zaidi ya 1BN hakaf team inaonekana inamapungufu kila mahal
Hata aje kocha gani ikiwa SD au Wamiliki ni hawa hawa basi hapo ndio mwishk wety
Liver, Arsenal zinamilikiwa na nani?????Ni
Nitajia timu inayomilikiwa na Mmarekani IKAFANYA VIZURI?
Kocha anaweza kuwa tatizo ila tatizo zaidi liko juu.Mimi nina mtazamo tofauti kabisa. Uongozi una matatizo yao, lakini kosa kubwa la performance ya timu liko kwa kocha. Tuna kikosi chenye uwezo wa kupigania top 4
Tuna kikosi cha kuweza kufika fainali za Carabao na FA
Tuna kikosi cha kuweza kushinda UECL
Wakati wa Pochettino akiwa na kikosi kibovu kuliko hichi aliweza kufika fainali ya Carabao tukashindwa mbele ya Liverpool
Kwenye FA Cup tuliweza kufika nusu fainali
Kwenye ligi tuliweza kumaliza nafasi ya 6
Haya mafanikio siyaoni kwa Maresca
Sioni top 4
Tumetolewa mapema sana kwenye Carabao na FA
'Kuna kila dalili hata UECL tutatolewa kwa sababu tuna kocha asiye na akili hata kidogo. Yaani mbumbumbu hajui anafanya nini. Mbinu na mikakati ya kushinda mataji hata yale ya mbuzi na jogoo hana.
Tumewanunau the best players wa Brighton wao wakasenda kuwakusanya vito visivyojulikana, Hinshelwood ni kiungo wao ana miaka 19 lakini kacheza vizuri kuliko viungo wetu wazoefu. Mtot anapress ile mbaya huku sisi wakisubiri mipiura kama milingoti.
Tunamhitaji striker na labda kiungo mkabaji na labda beki wa kati kiongozi, lakini Enzo Maresca sio kocha wa kuwasimamia hao wachezaji. Tatizo la msingi la Chelsea kuonekana wadhaifu ni haya:
Nimelizie kwa kusema maelekezo kocha anayowapa wacheza inawachanganya hadi wanashindwa kucheza. Siwapendi kabisa mimi makocha wafahidhina style ya akina PEP, Arteta na huyu kipara wetu. Akiuwakosa wachezaji wanaoweza kuchukua maelekezo yao wankuwa na timu mbovu ile mbaya.
- Player Selection and Substitutions - hili sasa naona amelirekebisha.
- Game Plan and Execution - kuna tatizo kubwa hapa ni kama Enzo Maresca kaishiwa mbinu na zile za mwanzo timu zimeshazisoma na sasa Chelsea haiwezi tena kuexecute hizo tactics zake.
- Player Management and Development - uwezo wa Maresca kuinua uwezo wa mchezaji mmoja mmoja uko duni sana. Hata Plamer naona uwezo wake ukipungua tofauti na wakati wa Pochettino. Enzo, Jackson ndio kazima kabisa, siwezi kuwataja. Kocha mzuri ni yule anayeweza kuwafanya wachezaji waperform na kuongeza kiwango kila wakati. Hii charisma Maresca hana.
SD pamoja na kuwa na maamuzi mabaya ila bado wamefanya usajili mzuri. Wametukasirisha kidogo tu kuendlea kuwasjili watoto wakati kuna nafasi zinahitaji kuboreshwa ambazo nimeshazisema hapo juu.
Nyie jamaa kila dirisha mnasajili wachezaji ila hamtosheki tuMimi nina mtazamo tofauti kabisa. Uongozi una matatizo yao, lakini kosa kubwa la performance ya timu liko kwa kocha. Tuna kikosi chenye uwezo wa kupigania top 4
Tuna kikosi cha kuweza kufika fainali za Carabao na FA
Tuna kikosi cha kuweza kushinda UECL
Wakati wa Pochettino akiwa na kikosi kibovu kuliko hichi aliweza kufika fainali ya Carabao tukashindwa mbele ya Liverpool
Kwenye FA Cup tuliweza kufika nusu fainali
Kwenye ligi tuliweza kumaliza nafasi ya 6
Haya mafanikio siyaoni kwa Maresca
Sioni top 4
Tumetolewa mapema sana kwenye Carabao na FA
'Kuna kila dalili hata UECL tutatolewa kwa sababu tuna kocha asiye na akili hata kidogo. Yaani mbumbumbu hajui anafanya nini. Mbinu na mikakati ya kushinda mataji hata yale ya mbuzi na jogoo hana.
Tumewanunau the best players wa Brighton wao wakasenda kuwakusanya vito visivyojulikana, Hinshelwood ni kiungo wao ana miaka 19 lakini kacheza vizuri kuliko viungo wetu wazoefu. Mtot anapress ile mbaya huku sisi wakisubiri mipiura kama milingoti.
Tunamhitaji striker na labda kiungo mkabaji na labda beki wa kati kiongozi, lakini Enzo Maresca sio kocha wa kuwasimamia hao wachezaji. Tatizo la msingi la Chelsea kuonekana wadhaifu ni haya:
Nimelizie kwa kusema maelekezo kocha anayowapa wacheza inawachanganya hadi wanashindwa kucheza. Siwapendi kabisa mimi makocha wafahidhina style ya akina PEP, Arteta na huyu kipara wetu. Akiuwakosa wachezaji wanaoweza kuchukua maelekezo yao wankuwa na timu mbovu ile mbaya.
- Player Selection and Substitutions - hili sasa naona amelirekebisha.
- Game Plan and Execution - kuna tatizo kubwa hapa ni kama Enzo Maresca kaishiwa mbinu na zile za mwanzo timu zimeshazisoma na sasa Chelsea haiwezi tena kuexecute hizo tactics zake.
- Player Management and Development - uwezo wa Maresca kuinua uwezo wa mchezaji mmoja mmoja uko duni sana. Hata Plamer naona uwezo wake ukipungua tofauti na wakati wa Pochettino. Enzo, Jackson ndio kazima kabisa, siwezi kuwataja. Kocha mzuri ni yule anayeweza kuwafanya wachezaji waperform na kuongeza kiwango kila wakati. Hii charisma Maresca hana.
SD pamoja na kuwa na maamuzi mabaya ila bado wamefanya usajili mzuri. Wametukasirisha kidogo tu kuendlea kuwasjili watoto wakati kuna nafasi zinahitaji kuboreshwa ambazo nimeshazisema hapo juu.
Mudyk ametupa hasara sana kwa kuvuta mabangi yaliyopigwa marufuku. Tutamuuza kwa hasara.
Mashabiki bwana...yaani mnataka kushinda kila mechi ili timu nyingine wao wasishinde? Kuweni na shukrani, ushabiki ni kufurahia kila nyakati. Ungekuwa London sijui kama ungeeda ata uwanjani; wenzako wapo hadi nyakati timu inafungwa magoli 5.Kazi ipo itafikia mda mechi Chelsea sitaacha usingizi wangu kwenda kiangalia
Ukishaingiza bahati kwenye mpira tayari umefeli, yani mwenzio ajiandae vizuri na long marathon we ukae tu kusubiri bahati sio!!!?, Na huo uchovu unawapata wachezaji wa Chelsea tu kila mechi?.Mashabiki bwana...yaani mnataka kushinda kila mechi ili timu nyingine wao wasishinde? Kuweni na shukrani, ushabiki ni kufurahia kila nyakati. Ungekuwa London sijui kama ungeeda ata uwanjani; wenzako wapo hadi nyakati timu inafungwa magoli 5.
Wachezaji siyo roboti kuna wakati wanakuwa na uchovu na pia kukosa bahati...Sasa mashabiki wa Man Utd au Tottenham watasemaje.
Kwani Chelsea imekuwa SOTON? Chelsea ni timu kubwa inatakiwa kushind mechi za kutosha kuiweka juu ya ligi au top 4. Habari ndio hiyoMashabiki bwana...yaani mnataka kushinda kila mechi ili timu nyingine wao wasishinde? Kuweni na shukrani, ushabiki ni kufurahia kila nyakati. Ungekuwa London sijui kama ungeeda ata uwanjani; wenzako wapo hadi nyakati timu inafungwa magoli 5.
Wachezaji siyo roboti kuna wakati wanakuwa na uchovu na pia kukosa bahati...Sasa mashabiki wa Man Utd au Tottenham watasemaje.
Tabu tulishaanza kuipata since vs Fulham. Sasa hivi ni mwendelezo tuu wa kutaabika. Tuendelee kuimba Yeloooooi yeloooooi namba saba kitaniKama Jackson hatakosekana mpk mwezi wa nne tutapata tabu sana maana nkuku sio forward yule
Hili lishakuwa tatizo tyr hakuna matumaini yoyote hapaEnzo Maresca: "Hili ndilo lengo letu. Katika miaka mitano au 10 ijayo klabu hii inaweza kushindana, bila shaka.
Kuna vilabu vimekaa pamoja kwa miaka mitatu, minne, mitano lakini bado vinatatizika. Kwa nini Chelsea, baada ya miezi sita, iwe inashinda Ligi Kuu, kumaliza nne bora au kushindana kwenye ligi nne? Kwa nini?"