Chemsha bongo MMU....

Chemsha bongo MMU....

Hahhaha....yani we acha tu ...kweli bahati yangu haikimbiliki!!Alafu we kiSWEET naomba hapo kwenye ki- kabla ya Lizzy ubadilishe iwe li-...!
yaani nikuite li-Lizzy? Mmmh....hapana jamani hata hainipendezi, mtoto mzuri kama wewe, tena mwenye shabaha!! Basi wacha nikuite Lizzy. Ninong'oneze basi wangu eti Afro kakupa zawadi gani vile...?
 
yaani nikuite li-Lizzy? Mmmh....hapana jamani hata hainipendezi, mtoto mzuri kama wewe, tena mwenye shabaha!! Basi wacha nikuite Lizzy. Ninong'oneze basi wangu eti Afro kakupa zawadi gani vile...?
Hheheheh....eti mtoto mzuri!!Leo sitolala aiseee....!SOGEA KARIBU BASI NIKUNONG‘ONEZE!
 
AD bwana umenifurahisha....nyingine ukiikumbuka tu unatetemeka mpaka kizazi kwa kusisimka

hahahahah lol
Hatari weee eti kizazi
una maneno wewe dahhh
umenichekesha kwa kweli loohh

mmhhh nyingine ukikumbuka huachi tingisha
kichwa mmmhh usiku unatafuta banadol..
barabarani tabasamu kuubwa kweli uzuri
hawajui uwazalo ....
 
Back
Top Bottom