utadaiwa 9800 na kaka na dada,hutakiw ku add ile 100 uliyo baki nayo ni punguzo na si deni..
Kweli wangu,
kama si mtunzaji achonge kibubu.
Sheem!!
sheem!!
hapo hatopoteza tena lakini nina wasiwasi akipewa laki moja sijui itakuwaje kama elfu 10 tu imemsumbua kiasi hiki!
Hii nayo ni SIASA?
Niaje wana jf!!!hebu 2pieni majibu kwny hii chemsha ubongo
Katika kupitapita jamaa(Mpendawali) alikutana na muuza nguo!!!Mpendawali akaamua kuuliza bei ya Shati moja coz alikuwa amelikubari xana.,.Kwa mbwembwe mingi muuzaji akamwambia bei ya shati ni 10000...!!!
Kipenda roho hula nyama mbichi,bc Mpendawali akarudi home kukopa hela il aweze kulichukua hlo shati...
Alipata 5000 kutoka kwa bro wake na 5000 nyngne kutoka kwa cstr ake!!!Kama kawaida ya w2 weng Mpendawali aliomba apunguziwe bei ya shati,bila knyongo akauziwa kwa sh 9700 na kurudishiwa 300.
Alipofka home akaamua kupunguza deni,akampa bro sh 100,cstr sh 100 na yy akabakiwa na sh 100...
Kwa kufanya hvo akawa anadaiwa sh 4900 ya bro na sh 4900 ya cstr ambapo jumla ya deni itakuwa n sh 9800!!!
9800+100(aliyobakinayo)=9900
swali,je 100 imeenda wapi ili iwe 10000!!!Karbun wadau
Niaje wana jf!!!hebu 2pieni majibu kwny hii chemsha ubongo
Katika kupitapita jamaa(Mpendawali) alikutana na muuza nguo!!!Mpendawali akaamua kuuliza bei ya Shati moja coz alikuwa amelikubari xana.,.Kwa mbwembwe mingi muuzaji akamwambia bei ya shati ni 10000...!!!
Kipenda roho hula nyama mbichi,bc Mpendawali akarudi home kukopa hela il aweze kulichukua hlo shati...
Alipata 5000 kutoka kwa bro wake na 5000 nyngne kutoka kwa cstr ake!!!Kama kawaida ya w2 weng Mpendawali aliomba apunguziwe bei ya shati,bila knyongo akauziwa kwa sh 9700 na kurudishiwa 300.
Alipofka home akaamua kupunguza deni,akampa bro sh 100,cstr sh 100 na yy akabakiwa na sh 100...
Kwa kufanya hvo akawa anadaiwa sh 4900 ya bro na sh 4900 ya cstr ambapo jumla ya deni itakuwa n sh 9800!!!
9800 100(aliyobakinayo)=9900
swali,je 100 imeenda wapi ili iwe 10000!!!Karbun wadau
Hebu rekebisha kwanza hiyo lugha, kuanzia kwenye kichwa cha uzi, maana si kiswahili wala kiingereza!! Kisha tuendelee maana inachefua hata kusoma!
usijumlishe deni unalo daiwa na pesa uliyo nayo, hapo kwa sasa unadaiwa 9,800 hata uki pata 10,000 ukitoa 9,800 utabakiwa na 200 ukijumlisha na 100 uliyo nayo itakua 300 ambayo ndio uliyo punguziwa,
narudia tena usijumlishe deni unalo daiwa(-) na pesa uliyo nayo(-) hilo ni kosa kubwa sana kimahesabu.
we inaonesha hata bam 2 hukuxoma!!wanahexebu huwa ha2complicate lugha!!xo gpange bc
mdau hyo prncpl ipo kwny uchum au.
we inaonesha hata bam 2 hukuxoma!!wanahexebu huwa ha2complicate lugha!!xo gpange bc
Hebu rekebisha kwanza hiyo lugha, kuanzia kwenye kichwa cha uzi, maana si kiswahili wala kiingereza!! Kisha tuendelee maana inachefua hata kusoma!