Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
- #21
Mkuu hivi hujui kuwa kama hii ofisi kama ikifutwa pesa zake za utawala zitahamia directly kwenye ofisi nyingine itakayokasimu majukumu yake?Mfano:
1.hiyo ofisi mpya italazimika kuongeza wafanyakazi maana majukumu yatakuwa mengi.
2.Ziara za hii ofisi mpya zitaongezeka so lazima budget pia iongezeke.
2.Shajala zitahitajika kwa wingi zaidi.
Yaani utakachookoa hapo ni mishahara wa mtu mmoja tu bas, mengine yataki Kama yalivyo.
1. kuna gharama za logistic za ofisi zitapungua mfano mashangingi, misafara etc
2.kuna gharama za ulinzi zitapungua
3.kuna mshahara, pensheni na perdiem zitapungua
4.kuna watu wanafanya majukumu yaleyale yanayofanana kwa mfano mwandishi wa hotuba za makamu wa raisi watapungua maana hatuwezi kuwa na watu wawili wafanye kazi moja
5.Kuna bajeti ya furniture, marupurupu ya makamu na watu wazito katika hiyo ofisi yatapungua
,