minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Kwenye suala la waziri mkuu hoja yako ni dhaifu na haina mashiko. Waziri mkuu ni mtu mdogo kwa Rais wa Zanzibar which means hawezi kuextend utendaji wake Both Tanganyika and Zanzibar
Ka Zanzibar ni kadogo sana kangefaa kuwa mkoa tu wala haifai kuwa Nchi ni mara mia muungano ufe waachwe wenyewe uone Tanganyika itavyopumua baada ya kujivua zigo la kuilea Zanzibar iliyojaa watu wengi wavivu wakaa vibarazani hawapendi kufanya kazi mda mwingi huutumia kulalamika tu juu ya muungano usio na Tija kwa Taifa kwa sasa Zaidi ya kuwa muungano mzigo kwa walipa kodi