Chepuka kwa akili...

Kuna mdau mmoja juzi aliniambia eti wanaume wanaweza kujua kuwa wanashea mwanamke na bado wakawa wanapatana na kugongeana glasi ila wanawake hatuwezi kwa kuwa hatupendani. Kwa vile sikutaka mabishano nae nikamwambia you are completely right.
True
 
Dada hayo uliyonene ni kweli kabisaaaa! Ndio maana mie SITAKI KABISA HABARI ZA KUCHEPUKA
 
Bora kuvurugwa nyumbani sio na mchepuko jamani, mchepuko akikuvuruga unahisi umevurugwa na dunia nzima mi ndo maana huwa nawasisitiza micheps msizingue mtatuua sweethearts teh
Yaani acha kabisa, emagine yule anaekupa faraja mume akivuruga ndio anakuvuruga. Utahisi kufa kufa.
 
Bora kuvurugwa nyumbani sio na mchepuko jamani, mchepuko akikuvuruga unahisi umevurugwa na dunia nzima mi ndo maana huwa nawasisitiza micheps msizingue mtatuua sweethearts teh
Nawaona #TeamRohoMbaya#. Watu wanazidi kughairi kuoa hahahaha
Yaani acha kabisa, emagine yule anaekupa faraja mume akivuruga ndio anakuvuruga. Utahisi kufa kufa.
 
Bora kuvurugwa nyumbani sio na mchepuko jamani, mchepuko akikuvuruga unahisi umevurugwa na dunia nzima mi ndo maana huwa nawasisitiza micheps msizingue mtatuua sweethearts teh
Maaaamae wapaka mekup na magladuet ni wa kuchapa tu siweki ndani.

Hii ndo inasababisha wadangaji wawe wengi mbunye nzuriii zinaliwa kirahisi tu mpaka wasiomuogopa Mungu hawa oi kabsaa badala yake wana ajili wadada wa ndani

WANAWAKE NDO NDO MNAVULUGA DUNIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…