Chepuka kwa akili...

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Shoga umechefkwaaa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…. nimeecheeeka
Tatizo wanawake tunajifanya kutumia hisia... Mwanaume haombewi aache kuchepuka anaombewa Baraka mafanikio na afya njema... Kuna wamama nawafahamu wameishi na wanaume wachepukaji wa kipuuzi bila staha miaka yote ya ndoa hadi mwanaume anastaafu na baadae kufa mwanamke mlokole ni kuomba mwanzo mwisho... Nnachokiona hapa wanaume hao wanaojiita ni wacha Mungu (mf. Walokole), viongozi wa dini wanachepuka... sasa huyo anayejinasibu amepokea Roho au anaye roho wa bwana kama anachepuka sasa unaombea nini hapo?! Kuna kaka mmoja mshauri wa saikolojia aliwahi kusema WANAWAKE ACHENI KUJISUMBUA KUOMBEA WAUME ZENU WASICHEPUKE.
 
hilo natoa ushuhuda kuna washikaji zangu wa 3 wanakula mwanafunzi mmoja na wanajuana mimi niliwaambia wawe makini tu maana miaka 30 inawaita
Wanaume huwa hawajali hasa wakishaona mwanamke wanayemkula sio wake wenyewe wanampachika jina (malaya, changu nk) lakini chukua mkewe uone km atatkutazama tu... Tuongee ukweli
 
Haya maandishi ndio yanadababisha wala tusifikiri hata kuoa
 
Wanawake wasitulaumu Sana tukichepuka hivi ni vitu vigumu kwa sisi kuji control watukanye watuonye watupe mawaiza watupende tutaacha tu wenyewe automatically wasichukue maamuzi magumu ya kuondoka
 
Hahaha...kweli kuna dada alishawahi kusema,katika sala yake lazima amuombee mumuwe aone wanawake wengine kama wanaume wenzake..... anashangaa mumewe akaanza kumuona yeye kama mwanaume mwenzake....! Analia alikuwa anaomba nini sasa..! Hizi ndoa ni shida.
 
Wanawake wasitulaumu Sana tukichepuka hivi ni vitu vigumu kwa sisi kuji control watukanye watuonye watupe mawaiza watupende tutaacha tu wenyewe automatically wasichukue maamuzi magumu ya kuondoka
Hiiiii maamuzi ni mkeo naye kujichepukia sio kwa kisasi bali kupunguza stress... Ili aweze kukuonesha tabasamu pana πŸ˜‚
 
Wanawake wasitulaumu Sana tukichepuka hivi ni vitu vigumu kwa sisi kuji control watukanye watuonye watupe mawaiza watupende tutaacha tu wenyewe automatically wasichukue maamuzi magumu ya kuondoka
Hivi mnajua kama inauma sana?
 
Kuna binti mmoja msomi ndoa yake ya kanisani ina kama miaka miwili anasimulia shangazi yake alimwambia kabla ya kuolewa wakati anamfunda alimwambia km anamchepuko asiuache coz mme wake akichepuka na yeye kwa raha zake anaendelea na mchepuko wake hivyo Hatopata pressure wala stress hatolialia hovyo... Basi binti ana jamaa yake anayempigia simu kila dakika, tulikuwa salon alinipigia zaidi ya mara mbili na video call juu...
 
Mwanaume hata achepuke vp bado mapenzi ya kweli yatabaki kwa mkewe, kwa michepuko huwekeza tamaa kwa ajili ya kupewa mapigo mapya na mastaili ambayo hayapati kwa mkewe na bado sirahisi ndoa yake kuyumba. Lakini mwanamke akichepuka ye ndio huhamisha upendo wa mumewe kwa mchepuko wake kiasi kwamba hujiona anapendwa na mchepuko kumbe mchepuko hufurahia kula kilichojileta, mwanamke huyu huyu kwa kuchepuka kwake huanza dharau kwa mumewe hadi kuyumbisha au kuvunja kabisa ndoa yake na akiachana na mumewe mchepuko pia pia humuacha, hata kama sio papo kwa papo basi ni kitendo cha muda kodogo tu.
 
Hapo ndipo inakuwa kazi pale mchepuko anapompenda Njemba hadi kuwa tayari kubwaga manyanga kwenye ndoa yake ili awe na mchepuko kwa raha zao 24/7.

 
Siku nikikuta msg zisizueleweka kwenye simu ya mke wangu afu nikimuuliza alete nyodo nadhani ataenda kwao tu

Sitaki stress za michepuko kwenye ndoa kabisaaa

Mapenzi/sex ni bidhaa kama navonunua Voda ya 500 nakwangua na kutupa so nimempa heshima sana kumuoa
 
Eti fisi jike dah, fisi anazo zote , ni she _male
 
Mh! Siku zote nilijua weye ni ME.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…