Wajumbe wa kamati ya uteuzi wameteuliwa na Rais.Baadae tena Rais atamteua mwenyekiti wa tume miongoni mwa walioteuliwa na kamati ya uteuz i.sioni tofauti.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hamna kitu hapo
Kesi ya nyani kula mahindi sasa inatolewa kwa hakimu sokwe anakabidhiwa hakimu ngedere.
Binadamu mtaa wa Jukwani anaruka ruka akitegemea sasa hatimaye haki itatendeka ๐๐.
Duh! Alikufa kwa ajari! Pumzika mwamba!
Duh! Alikufa kwa ajari! Pumzika mwamba!
Hamna kitu hapo. Shida iko kwenye Katiba.Zimesikika chereko chereko na mayowe ujio wa tume huru ya uchaguzi.
View attachment 2052687
Bila shaka katika wote kina Addo Shaibu pale mtaa wa Jukwani nao pia hawajabakia nyuma.
Haiyumkiniki tume hii itaundwa kwa kuzingatia msingi uliopo katika katiba pendekezwa ili kupisha shari:
View attachment 2052694
Kwa kuzingatia msingi huo, bila shaka basi kwa sasa, utakuwa na majina mazito mazito haya:
1. Prof. Ibrahim Juma
2. Omar Makungu (Zanzibar)
3. Job Ndugai
4. Zubeir Maulid (Zanzibar).
5. Jaji Mustapha Siyani.
6. Jaji Ibrahim Mipawa
Tusaidiane kama kuna nilipotereza kuweka kumbukumbu kuwa sahihi.
CCM mbele kwa mbele ๐ผ๐ผ!
Kazi iendelee.
Hamna kitu hapo. Shida iko kwenye Katiba.
Tume huru iandaliwe na wanaccm tu? iwe huru?
Watabana wataachie tu
Tume huru iliyojaa watumishi wa serikali . inatakiwa iwe na wajumbe wasio fungamana na upande woowote
Punda ni yule yule kabadilishwa soji tu .Job Ndugai ana kadi ya chama cha CCM
Zubeir Maulid ana kadi ya chama cha CCM
Omar Makungu ana kadi ya chama cha CCM
Una 50% ya members hao wana kadi halali za CCM na ni wana CCM kiofisi
Majaji wote ni washabiki wa CCM japo hawana kadi maalumu...ndio jaji utumbo kama Siyani au Jaji mkuu,maccm!
Hapo hatuna tume Huru,tuna Tume iliyochaguliwa kwa atleast wajumbe 50% wanachama rasmi wa CCM ni tume Huru ya CCM
Hakuna kitu hapo...hatukubali huu umatako
Hii ni sawa na kutuliza homa na panadol bila kutibu kinacholeta homa hio๐Zimesikika chereko chereko na mayowe ujio wa tume huru ya uchaguzi.
View attachment 2052687
Bila shaka katika wote kina Addo Shaibu pale mtaa wa Jukwani nao pia hawajabakia nyuma.
Haiyumkiniki tume hii itaundwa kwa kuzingatia msingi uliopo katika katiba pendekezwa ili kupisha shari:
View attachment 2052694
Kwa kuzingatia msingi huo, bila shaka basi kwa sasa, utakuwa na majina mazito mazito haya:
1. Prof. Ibrahim Juma
2. Omar Makungu (Zanzibar)
3. Job Ndugai
4. Zubeir Maulid (Zanzibar).
5. Jaji Mustapha Siyani.
6. Jaji Ibrahim Mipawa
Tusaidiane kama kuna nilipotereza kuweka kumbukumbu kuwa sahihi.
CCM mbele kwa mbele ๐ผ๐ผ!
Kazi iendelee.
Hii ni sawa na kutuliza homa na panadol bila kutibu kinacholeta homa hio๐
Jaji Makungu sasa ni jaji wa mahakama ya rifaa tanzania.kwa Zanzibar anaekaimu nafasi ya jaji mkuu ni Mh Khamis Ramadhan