Zitto na zambarau watakuwa wamenasa kati ya mahaba wa Zanzibar na Mama. Mcheza kwao hutunzwa.
Tulipo wana 21% ajira JMT na mengi mafao lukuki wanayoyapata kwa mgongo wa Muungano.
Zenji ndiyo Chatto ya leo. Wazenji sasa hivi wapo kwenye kula na vipofu. Kwani hawautaki Muungano tena? Lugha zao sasa laini...
Si Zitto wala ACT wenye udhibiti wowote wa mambo au hata siasa za Zenji.
Uliwahi kufika Zenj au unaota ??
Nyinyi maneno mengi tu mkisikia kuna kuweka usafi wa mazingira unaofanywa na vikosi vya siro na genge lake nyote mnajifungia vyooni
Tutapigwa na kitu kizito sana... labda kama hao wajumbe watapatikana kwa taratibu huru na za wazi na si teuzi za kificho!!
Hawa ndo waunde tume then tuseme ni tume huru???Zimesikika chereko chereko na mayowe ujio wa tume huru ya uchaguzi.
View attachment 2052687
Bila shaka katika wote kina Addo Shaibu pale mtaa wa Jukwani nao pia hawajabakia nyuma.
Haiyumkiniki tume hii itaundwa kwa kuzingatia msingi uliopo katika katiba pendekezwa ili kupisha shari:
View attachment 2052694
Kwa kuzingatia msingi huo, bila shaka basi kwa sasa, utakuwa na majina mazito mazito haya:
1. Prof. Ibrahim Juma
2. Khakis Ramadhan (Kaimu CJ Zanzibar)
3. Job Ndugai
4. Zubeir Maulid (Zanzibar).
5. Jaji Mustapha Siyani.
6. Jaji Ibrahim Mipawa
Tusaidiane kama kuna nilipotereza kuweka kumbukumbu kuwa sahihi.
CCM mbele kwa mbele [emoji443][emoji443]!
Kazi iendelee.
Hawa ndo waunde tume then tuseme ni tume huru???
Time itakuwa huru kama itahusisha wajumbe kutoka kila chama na taasisi zingine kama time ya haki za binadamu,uwakilishi wa taasisi za dini, lakini kuwachukua akina Job Ndugai eti ndo wanaunda tumw huru hapanaaaa!
218-(1)(g): Mwenyekiti wa CHADEMA taifa
Bila kipengele hicho kuwepo CHADEMA hawaamini kama bado hiyo tume ni huru
Mwanzo mbaya sana...Mwanzo Mzuri lakini, lol
huyo namba 3 atavuruga kila kituZimesikika chereko chereko na mayowe ujio wa tume huru ya uchaguzi.
View attachment 2052687
Bila shaka katika wote kina Addo Shaibu pale mtaa wa Jukwani nao pia hawajabakia nyuma.
Haiyumkiniki tume hii itaundwa kwa kuzingatia msingi uliopo katika katiba pendekezwa ili kupisha shari:
View attachment 2052694
Kwa kuzingatia msingi huo, bila shaka basi kwa sasa, utakuwa na majina mazito mazito haya:
1. Prof. Ibrahim Juma
2. Khakis Ramadhan (Kaimu CJ Zanzibar)
3. Job Ndugai
4. Zubeir Maulid (Zanzibar).
5. Jaji Mustapha Siyani.
6. Jaji Ibrahim Mipawa
Tusaidiane kama kuna nilipotereza kuweka kumbukumbu kuwa sahihi.
CCM mbele kwa mbele 🎼🎼!
Kazi iendelee.
Hapa kenye tume huru. tatizo sio watu wa chama fulani au aina gani ya watu, laaaTume huru iliyojaa watumishi wa serikali . inatakiwa iwe na wajumbe wasio fungamana na upande woowote
Naamini kwa kuzingatia hili unaamini unamaanisha safari ya kufikia tume huru ya uchaguzi bado safari ni mbichiKwa kuzingatia msingi huo, bila shaka basi kwa sasa, utakuwa na majina mazito mazito haya:
1. Prof. Ibrahim Juma
2. Khakis Ramadhan (Kaimu CJ Zanzibar)
3. Job Ndugai
4. Zubeir Maulid (Zanzibar).
5. Jaji Mustapha Siyani.
6. Jaji Ibrahim Mipawa
Tusaidiane kama kuna nilipotereza kuweka kumbukumbu kuwa sahihi.
huyo namba 3 atavuruga kila kitu
Hapa kenye tume huru. tatizo sio watu wa chama fulani au aina gani ya watu, laaa
tatizo ni mfumo wa tume yenyewe na sheria na kanuni zake zinazo tumika.
.Ikiwa tume itakuwa na uwazi katika kutowa maamuzi ,hilo la kwanza.
.Ikiwa tume itawez kushitakiwa kwa matokeo kulalamikiwa mahakamani, hilo la pili.
.Ikiwa matokeo hayoto tangaazwa mpaka waridhie wadau wote waliohusika kwenye uchaguzi na kutia saini zao, hilo la tatu.
.Pasiwepo na mwenye kuweza kufuta matokeo ila Mahakama baada ya kutokea mzozo.
na yanayofanana na hayo
Yaani Rasimu ya Warioba ndiyo imependekeza hivyo au ..... Mbona hapo hakutakuwa na tofauti na ilivyo sasa.... wote hao ni Wateule wa Rais isipokuwa Maspika .... Hawa CCM wanataka kuwahadaa Watanzania!!Zimesikika chereko chereko na mayowe ujio wa tume huru ya uchaguzi.
View attachment 2052687
Bila shaka katika wote kina Addo Shaibu pale mtaa wa Jukwani nao pia hawajabakia nyuma.
Haiyumkiniki tume hii itaundwa kwa kuzingatia msingi uliopo katika katiba pendekezwa ili kupisha shari:
View attachment 2052694
Kwa kuzingatia msingi huo, bila shaka basi kwa sasa, utakuwa na majina mazito mazito haya:
1. Prof. Ibrahim Juma
2. Khakis Ramadhan (Kaimu CJ Zanzibar)
3. Job Ndugai
4. Zubeir Maulid (Zanzibar).
5. Jaji Mustapha Siyani.
6. Jaji Ibrahim Mipawa
Tusaidiane kama kuna nilipotereza kuweka kumbukumbu kuwa sahihi.
CCM mbele kwa mbele 🎼🎼!
Kazi iendelee.
Viongozi wote wa juu wanatakiwa waombe baada ya nafasi zao kutangazwa, mtindo wa kuteuliwa haupo japo watanzania kwa ujinga wanaupenda.Achana na hawa wadogo huku vituoni
Tunasemea Wakuu wa hiyo tume wanatoka wapi?
Wanachaguliwa na wanaCCM..
Acheni sanaa
et wanaopendekeza majina nao waliteuliwa na mteuzi wa watakao walendekezaHata mtoto kuachishwa ziwa lazima akomae!
Tume yenye tija haitapatikana kwa Matakwa yao.