Chibu ashtukia chezo la "Salome" kuhusu mtoto

Chibu ashtukia chezo la "Salome" kuhusu mtoto

Ni kweli hajafanana nae, ila sio kigezo kuwa sio mtoto wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
KlIla kuna DNA wenye hela wanaenda Kenya au South Africa hamna longolongo.

Ila hapa TZ process ngumu sana na ndio maana tunaishia kujipa moyo tu "kitanda hakizai haram", ila kama process ingekuwa nyepesi dada zangu wengi wange umbuka.
 
Yaan Wabongo siwawezi kwa kweli, hadi wameweza kuwafarakanisha Domokaya na Hamissa kuhusu mtoto Dylan.

Ila watu, akati mobetto alishasema amekua kwenye mahusiano na Nenga wakati Dylan aba miaka 2, sasa itakuaje awe mtoto wake. Khaaaaaah

Wabongo nawagawa bureeee, uwiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenga alimpitia Mobbeto? Kweli nimestaafu umbea ndio najua leo [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan Wabongo siwawezi kwa kweli, hadi wameweza kuwafarakanisha Domokaya na Hamissa kuhusu mtoto Dylan.

Ila watu, akati mobetto alishasema amekua kwenye mahusiano na Nenga wakati Dylan aba miaka 2, sasa itakuaje awe mtoto wake. Khaaaaaah

Wabongo nawagawa bureeee, uwiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Ruge-->Nandy ----Jizzo-->Betto --->Nandy-->Nenga --->Betto-Nenga.

Ni Kazeze Ni Kazeze Ni Kazeze ilikuwa ni saa kumi kasorobo sheikh mbwana yupo msikitini na baadhi ya waamini akihadhini allahu akbar allahu akbar akiwa anamaanisha Mungu mkubwa Mungu Mkubwa.
 
Back
Top Bottom