cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ndyooo mbna ilikua wazi, wala sio story mpya mjini.Hebu kwanza mbona hii mpya,
Hamisa alitoka kweli na Nenga!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndyooo mbna ilikua wazi, wala sio story mpya mjini.Hebu kwanza mbona hii mpya,
Hamisa alitoka kweli na Nenga!!!
Wenye mji wenu na exclusive zenu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann sasa?Wenye mji wenu na exclusive zenu.
Ila wadangaji si wakupiga kavu kabisa.
Ni kweli hajafanana nae, ila sio kigezo kuwa sio mtoto wake.Ila Kwa mtu mwenye utimamu tu ndio ataelewa yule mtoto sio wa Monndy kabisa kachomekewa kabambikiwa dogo afanani na Mondy kabisa yaan
Rahisi sana kubambikiwa mtoto.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwann sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
KlIla kuna DNA wenye hela wanaenda Kenya au South Africa hamna longolongo.
Sawa ila usikute Hadi DNA kashamfanyia kimya KIMYA ndio maaana anampotezea
Kimeumana ndo maana birthday hamna hata wish kavu kavu
Auntie huu ubuyu tule wote basi
Na mtoto lazima afanane na baba yake kwa 80%
Nenga alimpitia Mobbeto? Kweli nimestaafu umbea ndio najua leo [emoji23]Yaan Wabongo siwawezi kwa kweli, hadi wameweza kuwafarakanisha Domokaya na Hamissa kuhusu mtoto Dylan.
Ila watu, akati mobetto alishasema amekua kwenye mahusiano na Nenga wakati Dylan aba miaka 2, sasa itakuaje awe mtoto wake. Khaaaaaah
Wabongo nawagawa bureeee, uwiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tununu alilalamika mwanae birthday yake hakuoata wishes wala zawadi toka kwa domo na familia yake
Dizaini familia ilishamkataa tangu kitambo,kwanini bado anajishughulisha nao?
Mpaka kufikia kushtuka,kashafikia huko kitamboKwani DNA hamna
Yaan Wabongo siwawezi kwa kweli, hadi wameweza kuwafarakanisha Domokaya na Hamissa kuhusu mtoto Dylan.
Ila watu, akati mobetto alishasema amekua kwenye mahusiano na Nenga wakati Dylan aba miaka 2, sasa itakuaje awe mtoto wake. Khaaaaaah
Wabongo nawagawa bureeee, uwiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app