Hii kitu hata sielewi, mtu ashakuwa na hadhi ya kukutana na akina richforever anaanzaje kutembea na ule utitili?Daah dada yangu umenifanya ni cheke then ni tafakari kwa hiyo type za Hamisa ni zipi?
Au selection ya baba ilifanywa based on type ya Hamisa na si mwenye mzigo wake.
Hamisa mwenye mdangaji unaweza ukakuta yy ndiye aliye mshawishi Nenga.
Mmh aisee hadi mwili umesisimuka. Pamoja na hivyo, mtu akitumia dawa muda mrefu lazima mwisho signs zionekane, tofauti na yule kaka anaeumwa, mbona sioni mwingine ambae dalili zishakuwa wazi? Yule binti muogea maziwa yeye tunamjua ngoma anayo, je hawa wengine vip? Wanazungukana wakati wanajua hii kitu inachanganya.Ngoma ina ustrage mwingi sana ,mwenye ngoma anajifungua vizuri tu na mtoto anazaliwa fresh bila maambukizi ,wanaotumia dawa vizuri inakuwa ngumu kuambukiza ila tasnia imeoza si bongo mavi wala ubongo lala fleva,kwahuyo nandy ndio asiseme kitu Ruge kaichakata hadi basi yaani alikuwa anatwangwa kote kote Ruge along side Nenga!
Aisee noma sanaaaWanasemaga UKIWA na ela ndio utapata mapenzi ya dhati ni big NO Nina ushuhuda WA bro wangu mmoja ivi alichomekewa MIMBA watu wakamtonya Sio wako HUYO....siku kachukua kile kiumbe kamdanganya mama yake natoka NAYE out mwanagu kumbe kaenda KUCHEKI DNA NASHUKURU hakumuua yule mwanamke zaidi ya kumfukuza na KITOTO kishaanzaga chekechea za mamilioni izi dah
Alisema nenga alimjuaa miaka miwili baada ya kumzaa dylan.. means hapo ndo walianza kukulana!Alikiri wapi?
Tuwekee hiyo proof na sie matomaso tujionee
Ruge-->Nandy ----Jizzo-->Betto --->Nandy-->Nenga --->Betto-Nenga.
Ni Kazeze Ni Kazeze Ni Kazeze ilikuwa ni saa kumi kasorobo sheikh mbwana yupo msikitini na baadhi ya waamini akihadhini allahu akbar allahu akbar akiwa anamaanisha Mungu mkubwa Mungu Mkubwa.
Nyie wasanii hawana kinyaa hivi kwa nini hawapati ukimwi?
Noma Sana Chain ndefu Chief.Mond ----> Betto
Mbona sasa kamuoa nandy na wana mtoto hii imekaaje? Angekubali kuolewa na ngoma? Au ngoma za wasanii ziko tofauti na za huku mitaani? Maana mzunguko ni mkubwa mtu anaachana na yule anakwenda kwa huyu mimi sielewi kwakweli
Anaetumia dawa vizuri na kufuata msharti hauwezi kuja kuona signs ,unaokuja kuona signs ni wale ambao bado wanakunywa mipombe,dawa hanywi kwa wakati ,ngono kwa sana ndio wanaokuja kutoa signs.Mmh aisee hadi mwili umesisimuka. Pamoja na hivyo, mtu akitumia dawa muda mrefu lazima mwisho signs zionekane, tofauti na yule kaka anaeumwa, mbona sioni mwingine ambae dalili zishakuwa wazi? Yule binti muogea maziwa yeye tunamjua ngoma anayo, je hawa wengine vip? Wanazungukana wakati wanajua hii kitu inachanganya.
Naanza kuielewa maana mmoja angekuwa hana asingeweza kunioa wameamua kubebana ili walindane maana dahMwenye ngoma kaoa mwenye ngoma...sijui umeelewa hapa
Rich forever alikuwa anasafisha rungu kama Nenga na kumbuka Nenga alikuwa wa kwanza kabla ya Richforever.Hii kitu hata sielewi, mtu ashakuwa na hadhi ya kukutana na akina richforever anaanzaje kutembea na ule utitili?
Sawa Baba Levo,We hujielewi kila mtu unamuita majina ya wanaume unaotaka wakukule ila haiwezekani ...
Mkuu ilikua ndoa au hawakufika huko?Wanasemaga UKIWA na ela ndio utapata mapenzi ya dhati ni big NO Nina ushuhuda WA bro wangu mmoja ivi alichomekewa MIMBA watu wakamtonya Sio wako HUYO....siku kachukua kile kiumbe kamdanganya mama yake natoka NAYE out mwanagu kumbe kaenda KUCHEKI DNA NASHUKURU hakumuua yule mwanamke zaidi ya kumfukuza na KITOTO kishaanzaga chekechea za mamilioni izi dah
Nasnza kuielewa maana mmoja angekuwa hana asingeweza kunioa wameamua kubebana ili walindane maana dahMwenye ngoma kaoa mwenye ngoma...sijui umeelewa hapa
Kale ka nenga na kile ki mdomo? Kha si bora hata akina vunja bei ni mwanaume hata wakimkuta nae sawa tu. Nenga? 🤣🤣Rich forever alikuwa anasafisha rungu kama Nenga na kumbuka Nenga alikuwa wa kwanza kabla ya Richforever.
Mwanamke akishakuwa mdangaji hata maamuzi yake yanakuwa ya kimalaya malaya,kwani kudanga ni updated version ya umalaya.
Unaweza kipindi alipokuwa akiwa gonganisha Nenda na Chibu unaweza ukakuta bado kulikuwa na list nyingine alikuwa anadate nao.
Huo ndiyo ukweli hata ukipinga ,wasanii wameungua na hii inasababishwa kwa kulana wao kwa wao hovyo hovyo!! Ila ngoma ya sasa hauwezi kuijua kwa kuangalia muonekano.
Nenda clinic wanazogawa dozi ndio utajua au ukipata Dr ambaye hana maadili vizuri akikuhadithia ndiyo utaelewa.
Masikini na Matajiri wote kuna magumu wanapitia ,hakuna binaadamu hana changamoto ila zinatofautiana na pia usione kila mtu humu JF amepigika wengine wapo njema wanakuja humu kuchangamsha genge.
JoblessSawa Baba Levo,
Nenda kamzalie watoto wanne uliomuahidi
Rais Nyerere katangaza vita na UgandaKuna nini huko daslam mbona wengine mnatuacha nyuma?
[emoji23][emoji23][emoji23] akili kubwaRuge-->Nandy ----Jizzo-->Betto --->Nandy-->Nenga --->Betto-Nenga.
Ni Kazeze Ni Kazeze Ni Kazeze ilikuwa ni saa kumi kasorobo sheikh mbwana yupo msikitini na baadhi ya waamini akihadhini allahu akbar allahu akbar akiwa anamaanisha Mungu mkubwa Mungu Mkubwa.