HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Acha uongo DNA sio Malaria kwamba unaenda pima hovyoWanasemaga UKIWA na ela ndio utapata mapenzi ya dhati ni big NO Nina ushuhuda WA bro wangu mmoja ivi alichomekewa MIMBA watu wakamtonya Sio wako HUYO....siku kachukua kile kiumbe kamdanganya mama yake natoka NAYE out mwanagu kumbe kaenda KUCHEKI DNA NASHUKURU hakumuua yule mwanamke zaidi ya kumfukuza na KITOTO kishaanzaga chekechea za mamilioni izi dah
Sent using Jamii Forums mobile app