Chibu ashtukia chezo la "Salome" kuhusu mtoto

Chibu ashtukia chezo la "Salome" kuhusu mtoto

Mjazeni ujinga tu,
Hako katoto ndio katakuja kumuosha akiwa hoi kitandani kwa maradhi ya kupooza mwili.
Kwa sababu hiyo ndiyo akakubali hata kama ni katoto ka Nenga?
Kukua bila kujipanga na kutegemea utaokolewa na watoto fainali itakapokufikia ni aina mojawapo ya uzembe.
 
Kwahiyo kidini dai hana mtoto ?
Hana Mtoto Hata mmoja na akifa kisheria anapaswa atangazwe Hana Mtoto
Na wale watoto kama waislam wanapaswa watumie majina ya mama zao na hawana urithi na Wala ye hawarithi pia na wanapaswa waitwe hivi Latifa Zarina Hassan,Nillan Zarina Hassan,Dylan Hamissa Hassan na yule wa Kenya pia hivyo hvyo anafurahisha walimwengu ila Kwa Mungu (Kwa tunaoamini)Hana chake


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ni vile tu Mond ameamua labda kumpotezea. Lakini kile kidangaji ilitakiwa kiburuzwe mbele ya pilato,kijifunze.
Kilimsumbua sana Mond ikiwa ni pamoja na kumpotezea muda pesa. Mpaka kikatishia kumpeleka mahakamani. Na kikawa kinapewa mgawo wa Mond mrefu tu. Kikavutiwa mpaka ndinga. Anastahiri mbele ya pirato
 
Hana Mtoto Hata mmoja na akifa kisheria anapaswa atangazwe Hana Mtoto
Na wale watoto kama waislam wanapaswa watumie majina ya mama zao na hawana urithi na Wala ye hawarithi pia na wanapaswa waitwe hivi Latifa Zarina Hassan,Nillan Zarina Hassan,Dylan Hamissa Hassan na yule wa Kenya pia hivyo hvyo anafurahisha walimwengu ila Kwa Mungu (Kwa tunaoamini)Hana chake


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Upo sahihi kabisa Ukhty,
Kwa sheria za Dini hizo Mali ni za Mama ake na kuna siku alisema akifa asilimia 50 ya Mali zake zinaenda kwa Mama ake na asilimia zilizobaki ndio zitagawanywa hadi Misikitini na kwa Yatima zitafika.
 
Hii ni aibu hata kwa mtoto mwenyewe akikua ana pata stories kwamba baba yake hajulikani ni nani mara huyu mara kesho yule,

Huyu mtoto atapata atakuwa na sonono

Chibu ni mfano tu kwa kuwa ni maarufu ,ila kuna magenge kibao wanafanyiwa hivi

Any way hii ndio katika faida kubwa kwa wazinifu kupata hasara zinazo epukika

Hizo hela alizokuwa anahudumia mimba sio yake hadi mtoto anafika miaka mitatu angelikuwa amesaidia hata kituo cha yatima watoto wakaishi vizur
 
KARMA ina mtafuna Diamond,angalia hata yeye mwenyewe kuzaliwa kwake na maisha yake,ukumbuke naye kalelewa na baba asie wake,mwishoni ameshakuwa ndio inadhihirika kuwa huyu baba ambaye ilionekana Diamond hamjali kumbe si baba mzazi na baba ake mzazi alishafariki.Kifupi zinaa ni mbaya sana,mwisho wa siku ndio unakutana na haya mambo ya watoto wanaozaliwa bila ya kujua baba zao....
 
IMG_1342.jpg

yaani watoto wote ninaoambiwa sio wa mond naona wamefanana naye,sasa sijui ndio uzee umbea haungii kichwani tena!!!
 
Back
Top Bottom