Chid Benz kama Case study: Wasanii wanamichezo wanarogwa sana

Ndugu nilichokiandika hapo nina ushahidi nacho 100%. Usidhani hata sasa hakuna wanaojaribu kuniroga.

Yesu yupo kazini mkuu. Wengi wanasikia tu habari zake lakini ni wachache sana wanaoushuhudia UWEZA wake maishani mwao.
All the best mkuu
 

Entertainment industry is evil
 
Na sasahivi ndio imechangamka balaa industry.....madawa ni kama ymaerudi kwa kasi sana mana huko mtaani hakufai kabisaa
 
Na sasahivi ndio imechangamka balaa industry.....madawa ni kama ymaerudi kwa kasi sana mana huko mtaani hakufai kabisaa

Hadi Mondi anatumia ( allegedly)
 
Amevuna alichopqnda hakuna wa kumtupia lawama! Hakuna aliyemroga zaidi ya kujiroga mwenyewe!

Chid Benz alipata nafasi akaichezea na akaona kula madawa ya kulevya ni suluhu sasa amepata matokeo ya matendo yake …ajilaumu mwenyewe hana wakumtupia lawama na hakuna aliyemroga!
 
Hakuna kurogwa Wala Nini , hakuna mwanamuziki aliyefakiwa mwishoni mwa maisha yake sababu muziki ni kazi ya kishetani na Haina baraka yoyote.
Mifano ni mingi, bob Marley, Babu sea,Michael Jackson,Gurumo,R Kelly, Lucky dube,Matona ,n.k
 
Hakuna kurogwa Wala Nini , hakuna mwanamuziki aliyefakiwa mwishoni mwa maisha yake sababu muziki ni kazi ya kishetani na Haina baraka yoyote.
Mifano ni mingi, bob Marley, Babu sea,Michael Jackson,Gurumo,R Kelly, Lucky dube,Matona ,n.k

U have a point
 
hujawahi kuuona upande mwingine wa shilingi nzee mwenzangu. wewe unayaona maziwa jamii nzima inaoneshwa kuwa ni maji ya tope.
 
Nguvu kubwa ya kutoka hapo alipo ipo ndani yake ili urogwe lazima ukubali kuruhusu Giza ndani yako.


Pia kanuni za mafanikio huwa zipo wazi na kanuni za kujilinda zipo wazi

Neno honest na neno vision
Uaminifu na Kuwa na maono hivi vitu ukivizangatia lazima utaukataa uharibufu ,pombe ,madawa n.k maana utakuwa unaiwaza kesho yako iliyojengeka kiuimara.
 
Umemaliza yote mkuu.

Unga,,akili imeshavurugika kwa ufupi ni teja kwa sasa,,kumsaidia tena wakati hujamaliza shida ya kuathirika kwa madawa ni ngumu Ray C yuko wap?????????? Unga, bangi ni hatari sana.
 
pole kwa kuguswa na chidi mpaka kutaka kutokwa na machozi, Ila kalapina kamsaidia kumtoa naona imeshindikana kuachana na madawa.
Unamuachisha mtu madawa kwa kumbembeleza...lazima adeke
Yule wamuache akiwa serious atakuja aacha mwenyewe
Wampotezee tu

Ova
 
Huwezi toboa kwenye sanaa iwe muziki filamu bila kuuza nafsi yako.
Sale your soul die young
 
Ukirooga ni lazima urogwe hakunaga mshindi kwenye fani ya ndumba
 
ndio maana namuona diamond anajitahidi sana asishuke chini, ulichosema ni sahihi 100%, ugopa sana kushuka level flani , lazima upate stress.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…