Chid Benz kama Case study: Wasanii wanamichezo wanarogwa sana

ndio maana namuona diamond anajitahidi sana asishuke chini, ulichosema ni sahihi 100%, ugopa sana kushuka level flani , lazima upate stress.
Huwezi kubaki level ile ile unafanya kile kile unachoweza kufanya ni ku-metamorphosize katika fani unayoipenda au labda ufe kabla ya wakati wako... Kumbuka mtaji wako / kitendea kazi ni wewe..., kama unaimba kuna siku sauti itakata / itazeeka unless ubadilishe genre ya muziki au ubadilishe sehemu / kitengo (labda uwe producer au mwandishi wa kazi za watu) hio ipo industry karibia zote za entertainment (kama ulikuwa actor unapendwa sababu ya appearance ukianza kuzeeka unaweza ukawa consultant / director au kitu kingeni (so long as industry hio ni hobby yako)

Stress ni watu kutokukubaliana na inevitability....
 
Wewe msssssenge innocent dependent unapenda kuongea uongo kisa tu dayamondi anakutatua marinda. Wewe matterco lokole tunakujua vizuri shoga wewe mpigwa miti
 
Wewe msssssenge innocent dependent unapenda kuongea uongo kisa tu dayamondi anakutatua marinda. Wewe matterco lokole tunakujua vizuri shoga wewe mpigwa miti
Duh...

Ova
 
Wewe msssssenge innocent dependent unapenda kuongea uongo kisa tu dayamondi anakutatua marinda. Wewe matterco lokole tunakujua vizuri shoga wewe mpigwa miti
Chid umepaniki sana..... 🤣🤣🤣
 
Here is my simple case study, poor life choices zinazowmbata na failure hatutaki kuubeba ukweli badala yake tunasingizia nguvu za giza, huyu msanii na wenzie wabebe uhalisia wa maisha na kuulubali ukweli.

What happens when umaarufu unapoisha , when hupati shows kama zamani tena, hata wasanii wenzako hawakupi shavu? What left of you?
 
Of course Chidy ni much know sana hilo linajulikana lakini ni mtu powa sana linapokuja suala la kazi. Show imekuwa ngumu kwa sababu Chidy kaingia kwenye show akiwa amewaka
U much know wake unatokana na uraibu wa madawa ya kulevya, mateja wengi kama ulishawahi kukaa nao karibu utagundua kuwa kila kitu wanajua wao.
 
U much know wake unatokana na uraibu wa madawa ya kulevya, mateja wengi kama ulishawahi kukaa nao karibu utagundua kuwa kila kitu wanajua wao.
100% correct
 
hujawahi kuuona upande mwingine wa shilingi nzee mwenzangu. wewe unayaona maziwa jamii nzima inaoneshwa kuwa ni maji ya tope.
ungeuliza na umri wake kwanza isije kuwa dogo wa 2007
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…