Chidi Benz ndiye msanii bora zaidi katika mahojiano nchini

Hivi Chid bado anaimba au bado anaendelea na issue zake za madawa...?
 
Bado hazitoshi mkuu..ongeza ukubwa wa hardisc yk ya kichwa ili uweze kumuelewa vzr chid a.k.a chuma...coz the nigga is more than a genius!
Mi 4gb inatosha siitaji zaidi ya hapo usiitaji kingine kile ambacho hutokiweza mkuu naridhika na hali yangu.
 
Chid huyu huyu ambaye anajikana kwamba yeye ni tofauti na wa kwenye video? Au huyu Chid mwingine mkuu?
 
Naunga mkono huu uzi, huwa naenjoy sana kumsikiliza Chidi benz akiwa anahojiwa
 
Ukiwasikiliza ni watu wenye akili sana
 
Bob Marley unamuelewaje pamoja na amekufa kitambo ukiwa kiunoni kwa baba ako ,hadi anaishi pamoja nabangi ,kwan bangi inaubaya gani
Mkuu tafadhali kuniambia nilikuwa kiunoni kwa baba yangu ni kunikosea heshima..
Huenda mie ndio nilimtoa bkr mama yako mwaka aliokufa bob...

Mugabe mwenyewe na degree alizokuwa nazo alimuelewa bob..
Sembuse fala tu huyu anayeona
 
Mkuu tafadhali kuniambia nilikuwa kiunoni kwa baba yangu ni kunikosea heshima..
Huenda mie ndio nilimtoa bkr mama yako mwaka aliokufa bob...

Mugabe mwenyewe na degree alizokuwa nazo alimuelewa bob..
Sembuse fala tu huyu anayeona
Polesana kujimwambafua kwa matusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…