Chief Godlove ni mtu wa wapi?

Jamaa kisaikolojia hayuko vizuri coz mara achome nyama ikiiva anaitoa then anaanza kushika shika na mikono..... Wakati wa kula mara achukuea ang'ate ARUDISHE ashike shike tena. All in all unaona hayuko sawa alafu ana ushamba flani hv...

Cjui amekuweje mnyakyusa huyu mbona anatudhalilisha sana but angekua msukuma it's ok
 

Angekuwa Msukuma, it’s okay?!!! Jamani, msituletee watu wa hovyo hivi. Huyu wenu wenyewe Wanyakyusa, mbaki nae huko huko.
 
TRA watakuwa wanamfahamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…