Kama alivyo feli chama kule kwa waarabuKwanini uandikie mate wakati wino upo? Unataka statics akiwa Mazembe wakati tayari yupo Yanga. Subiri acheze mechi kadhaa Yanga kisha uje na statics akiwa Yanga. Haujui kuwa mchezaji anaweza kuwa na profile nzuri lakini akasajiliwa na akafeli. Kumbe bado mpira haujui
Tukiweka statistics za chama akiwa berkane si itakua aibu hapaTunapoongelea mchezaji tunaangalia na statistics zake akiwa Mazembe. Wewe kubali tu kwamba kwa kiwango alichoonesha kaboronga mno.
Mzee weka hizo statistics. Porojo za vijiwe vya kahawaTukiweka statistics za chama akiwa berkane si itakua aibu hapa
Ukiuliza swali lenye mashiko nitakujibu! Mfano "unakionaje kikosi chenu cha Yanga msimu huu?" Ila ukiniuliza swali la kimbea kama hilo, kiukweli sina muda wa kujibu.Kwaida yenu miaka yote. Lakini swali langu Chiko umemuonaje!?
Basi huna uwezo kwa ku analyze mambo. Mchezaji akicheza sekunde tu, utajua huyu kivuruge au la.Ukiuliza swali lenye mashiko nitakujibu! Mfano "unakionaje kikosi chenu cha Yanga msimu huu?" Ila ukiniuliza swali la kimbea kama hilo, kiukweli sina muda wa kujibu.
Tupe statistics za Chama huko MoroccoTunapoongelea mchezaji tunaangalia na statistics zake akiwa Mazembe. Wewe kubali tu kwamba kwa kiwango alichoonesha kaboronga mno.
Kama Chikwende?Mchezaji anayesimamisha nchi dk 3 zinatosha.
Hiyo ndio statistics?Tunaanza na hapa
View attachment 2093624
Nipe ya chico hata picha.Hiyo ndio statistics?
Kwahiyo chama kwanzia asajiliwe Berkane kacheza mechi hiyo tu?Nipe ya chico hata picha.
Man of the match siyo statistic!?
Unajua maana ya statistics!?
Kama tulivyojua chama ni galasa, kaishaa, eti eeTunaangalia Statistics zake akiwa Mazembe. Mchezaji sekunde mbili tu utajua hili ni garasa.
Wewe dada huna unalo jua kuhusu mpira, kaa jikoni tu umpikie mmeoTunaanza na hapa
View attachment 2093624
Kama ni aibu si angevuka bahari ya waarabu akacheze hata ligi daraja la pili!Tukiweka statistics za chama akiwa berkane si itakua aibu hapa
Bado wanasubiriChama vp yuko vizuri au tumepigwa.
Kwa kosa gani atimuliwe kocha badala ya mshauri wake Matola? Huyu kocha wangapi yupo nae?natabiri kocha wa simba hamalizi msimu anatimuliwa
NA KWENYE HUO MCHEZO WAMEKUSHESHA!!Oh!! Kumbe umetupita point kumi huku tunamchezo mkononi. Nilidhani unasema yanga imechukua kombe.
Halafu tunaongelea Chiko Ushindi, maoni yako ni yapi kwa kiwango chake!?