Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Karekebishe historia ya uwongo ya Bob Makani, je ulikuwa na haja gani kuipa maneno yasiyo ya kweli.?Asante kwa maoni yako binafsi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karekebishe historia ya uwongo ya Bob Makani, je ulikuwa na haja gani kuipa maneno yasiyo ya kweli.?Asante kwa maoni yako binafsi
Ebu rudia Tena kusoma kumhusu Bob Makani nadhan Kuna points umeruka.una uhakika alikua na mke mmoja .mm naamini vyanzo vya uhakikaKarekebishe historia ya uwongo ya Bob Makani, je ulikuwa na haja gani kuipa maneno yasiyo ya kweli.?
Haya sasa, sijui atasemaje!Mr Pixel3a hapo umetudanganya. Mke wa Makani anaitwa Vickie Ambwene Kakuyu. Ndiye mama yake Prof, Dr. Julie Makani ( mke wa Abdul Simba). Watoto wake wengine ni Grace Makani (Mrs. Tarimo), Tume Anthony Makani na Richard Kakuyu Makani a.k.a Kay. Nimeishi nao Sea View na nimeishi nao London nawajua vyema.
Hapana.Ebu rudia Tena kusoma kumhusu Bob Makani nadhan Kuna points umeruka.una uhakika alikua na mke mmoja .mm naamini vyanzo vya uhakika
Dhumuni ni kujua viongozi wa cdm na muunganiko wao kuizunguka CDM ,kuhus watot ,michepuko haina tija🙏Hapana.
Wewe ndiye hukufafanua vizuri kwenye uandishi wako, nadhani kutokana na msukumo wa kupotosha zaidi.
Hukusema kuwa walikuwepo watoto wengine wa Bob.
Mada yako itakuwa imefaidika zaidi na hayo aliyoyaongeza huyo aliyeweka ufafanuzi zaidi kuhusu watoto, hata kama siyo lengo la mada yako.Dhumuni ni kujua viongozi wa cdm na muunganiko wao kuizunguka CDM ,kuhus watot ,michepuko haina tija
Yah nmekuelewa kimantiki kwasababu hatuwezi jua M/kt ajae anaweza kuwa Kati ya hao watoto ,Thanks GTMada yako itakuwa imefaidika zaidi na hayo aliyoyaongeza huyo aliyeweka ufafanuzi zaidi kuhusu watoto, hata kama siyo lengo la mada yako.
Dah!Yah nmekuelewa kimantiki kwasababu hatuwezi jua M/kt ajae anaweza kuwa Kati ya hao watoto ,Thanks GT
tumechoshwa na habari za mbowe kila siku, huna issue nyingine? simple minds discuss people....grow your mind.Nitumie fursa hii kuwapa wasiojua utawala wa CHADEMA ulivyoanza kabla ya Mbowe na uhusiano wa viongozi wake.
Mtei
Ni muanzilishi na Mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA, alikuwa gavana mkuu wa benki kuu (BOT) na Waziri wa Fedha kipindi cha Nyerere.
Bob Makani
Huyu alikuwa mwenyekiti wa pili wa CHADEMA ambaye pia aliwahi kuwa msaidizi wa Mtei alipokuwa gavana msaidizi wa benki kuu (BOT). Aidha marehemu Bob Makani alimuoa dada yake Mtei ambaye alizaa nae watoto kadhaa.
Mbowe
Huyu aliwahi kufanya kazi benki kuu pamoja na Mtei na Bob Makani, hivyo walianza kufahamiana huko.
Mbowe baadae alimuoa mtoto wa Mtei ambaye amezaa nae watoto kadhaa. Hii ilichangia pakubwa Mbowe kupata uenyekiti wa kwanza wa BAVICHA kabla ya kuwa mwenyekiti wa 3 wa CHADEMA. Ili kuhakikisha Mbowe anakuwa mwenyekiti wa milele, CHADEMA kwa amri ya Mtei (Mkwe wa Mbowe) ilibadilisha katiba yake mwaka 2002 kutoka kwenye ukomo wa kugombea mihula 2 tu kwa mwenyekiti mpk bila ukomo.
Ndoa ya Mbowe na mtoto wa Mtei iliingia kwenye misukosuko pale ambapo Mbowe alianzisha uhusiano wa siri na dada mmoja ambaye baadae alimhonga ubunge wa viti maalum, aitwaye Grace Mukya na kuzaa naye mtoto mmoja wa kike, lkn kuishi naye km nyumba ndogo.
Mbowe na Mtei walimshawishi Dk. Warid Aman Kaborou kuhama kutoka Marekani kuja Tanzania ambaye alikuwa mhadhiri wa muda mrefu kwenye vyuo mbalimbali vya USA.
Walimuahidi kumpa fedha taslim, gharama za kuhama yeye na familia yake mpk Tanzania lkn kumfanya katibu mkuu wa CHADEMA, walfanikiwa na Dk. Kaborou akawa katibu mkuu wa CHADEMA, walimnunua.
Ni wazi kabisa uongozi wa CHADEMA ni wa kiukoo.
Baada ya kumezeshwa beyond M/kt wa Sasa hakuna mwenye uwezo wakuongoza cdmtumechoshwa na habari za mbowe kila siku, huna issue nyingine? simple minds discuss people....grow your minds.
you are so disgusting
Mzee Mtei alipeleka sera za chadema kwa Mzee Nyerere kuhakikiwa na kupitishwa. Hii ni fact isiyopingika!Chadema ni branch ya ccm
Unavyo vyanzo vyovyote vya jambo hili. Mbona litakuwa jambo la kustaajabisha sana!Mzee Mtei alipeleka sera za chadema kwa Mzee Nyerere kuhakikiwa na kupitishwa. Hii ni fact isiyopingika!
Bwashee, wewe hata hili hulijui?Unavyo vyanzo vyovyote vya jambo hili. Mbona litakuwa jambo la kustaajabisha sana!
Kwani shida ni nini mkuu, mimi nimeomba tu unielekeze kwenye vyanzo vya habari hiyo tu basi?Bwashee, wewe hata hili hulijui?
Hamna mtoto yeyote wa Bob Makani anayeshiriki siasa. Julie ni professor mbobezi wa magonjwa ya damu. Grace ana biashara zake kubwa tu. Tume ana kampuni yake ya clearing and forwarding. Na Kay Richard yeye ni mwajiriwa.Haya sasa, sijui atasemaje!
Lakini nadhani kuna aliyosema ukweli.
Hiki chama cha CHADEMA kimefikia ukingoni, ni lazima kiwe chama cha wote siyo cha kundi maalum.
Historia yake siyo ya kujivunia sana.
Wewe umetokea wapi tena?Nitumie fursa hii kuwapa wasiojua utawala wa CHADEMA ulivyoanza kabla ya Mbowe na uhusiano wa viongozi wake.
Mtei
Ni muanzilishi na Mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA, alikuwa gavana mkuu wa benki kuu (BOT) na Waziri wa Fedha kipindi cha Nyerere.
Bob Makani
Huyu alikuwa mwenyekiti wa pili wa CHADEMA ambaye pia aliwahi kuwa msaidizi wa Mtei alipokuwa gavana msaidizi wa benki kuu (BOT). Aidha marehemu Bob Makani alimuoa dada yake Mtei ambaye alizaa nae watoto kadhaa.
Mbowe
Huyu aliwahi kufanya kazi benki kuu pamoja na Mtei na Bob Makani, hivyo walianza kufahamiana huko.
Mbowe baadae alimuoa mtoto wa Mtei ambaye amezaa nae watoto kadhaa. Hii ilichangia pakubwa Mbowe kupata uenyekiti wa kwanza wa BAVICHA kabla ya kuwa mwenyekiti wa 3 wa CHADEMA. Ili kuhakikisha Mbowe anakuwa mwenyekiti wa milele, CHADEMA kwa amri ya Mtei (Mkwe wa Mbowe) ilibadilisha katiba yake mwaka 2002 kutoka kwenye ukomo wa kugombea mihula 2 tu kwa mwenyekiti mpk bila ukomo.
Ndoa ya Mbowe na mtoto wa Mtei iliingia kwenye misukosuko pale ambapo Mbowe alianzisha uhusiano wa siri na dada mmoja ambaye baadae alimhonga ubunge wa viti maalum, aitwaye Grace Mukya na kuzaa naye mtoto mmoja wa kike, lkn kuishi naye km nyumba ndogo.
Mbowe na Mtei walimshawishi Dk. Warid Aman Kaborou kuhama kutoka Marekani kuja Tanzania ambaye alikuwa mhadhiri wa muda mrefu kwenye vyuo mbalimbali vya USA.
Walimuahidi kumpa fedha taslim, gharama za kuhama yeye na familia yake mpk Tanzania lkn kumfanya katibu mkuu wa CHADEMA, walfanikiwa na Dk. Kaborou akawa katibu mkuu wa CHADEMA, walimnunua.
Ni wazi kabisa uongozi wa CHADEMA ni wa kiukoo.
Unaonekana kabisa unasukumwa na roho ya ukahaba , inaonekana kbs huna unachojua kuhusu chadema zaidi ya kuhadithiwa na matanga wenzio...ukiachwa , achika bibie, wivu wa kisengelema utakuua ... Usipambane na chadema kbs, otherwise unatafuta kufa, wenzio woote waliokuwa wanaelekea kufa basi walianzisha vita na dude liitwalo chadema, sasa nakuuliza weee bibie umechoka kujipanga pale buguruni na uwanja wa fisi????Nitumie fursa hii kuwapa wasiojua utawala wa CHADEMA ulivyoanza kabla ya Mbowe na uhusiano wa viongozi wake.
Mtei
Ni muanzilishi na Mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA, alikuwa gavana mkuu wa benki kuu (BOT) na Waziri wa Fedha kipindi cha Nyerere.
Bob Makani
Huyu alikuwa mwenyekiti wa pili wa CHADEMA ambaye pia aliwahi kuwa msaidizi wa Mtei alipokuwa gavana msaidizi wa benki kuu (BOT). Aidha marehemu Bob Makani alimuoa dada yake Mtei ambaye alizaa nae watoto kadhaa.
Mbowe
Huyu aliwahi kufanya kazi benki kuu pamoja na Mtei na Bob Makani, hivyo walianza kufahamiana huko.
Mbowe baadae alimuoa mtoto wa Mtei ambaye amezaa nae watoto kadhaa. Hii ilichangia pakubwa Mbowe kupata uenyekiti wa kwanza wa BAVICHA kabla ya kuwa mwenyekiti wa 3 wa CHADEMA. Ili kuhakikisha Mbowe anakuwa mwenyekiti wa milele, CHADEMA kwa amri ya Mtei (Mkwe wa Mbowe) ilibadilisha katiba yake mwaka 2002 kutoka kwenye ukomo wa kugombea mihula 2 tu kwa mwenyekiti mpk bila ukomo.
Ndoa ya Mbowe na mtoto wa Mtei iliingia kwenye misukosuko pale ambapo Mbowe alianzisha uhusiano wa siri na dada mmoja ambaye baadae alimhonga ubunge wa viti maalum, aitwaye Grace Mukya na kuzaa naye mtoto mmoja wa kike, lkn kuishi naye km nyumba ndogo.
Mbowe na Mtei walimshawishi Dk. Warid Aman Kaborou kuhama kutoka Marekani kuja Tanzania ambaye alikuwa mhadhiri wa muda mrefu kwenye vyuo mbalimbali vya USA.
Walimuahidi kumpa fedha taslim, gharama za kuhama yeye na familia yake mpk Tanzania lkn kumfanya katibu mkuu wa CHADEMA, walfanikiwa na Dk. Kaborou akawa katibu mkuu wa CHADEMA, walimnunua.
Ni wazi kabisa uongozi wa CHADEMA ni wa kiukoo.
Weee nawe acha kujishushia heshima kwa story za kisengelema bhana... katiba ya chadema 2002 ndo kiliondolewa kipengere cha ukomo wa uongozi???Hakuna Uwongo hapo!
Makasiriko ya nn Jenga hoja ,mm siogopi kufa ata Mtume alikufa.Unaonekana kabisa unasukumwa na roho ya ukahaba , inaonekana kbs huna unachojua kuhusu chadema zaidi ya kuhadithiwa na matanga wenzio...ukiachwa , achika bibie, wivu wa kisengelema utakuua ... Usipambane na chadema kbs, otherwise unatafuta kufa, wenzio woote waliokuwa wanaelekea kufa basi walianzisha vita na dude liitwalo chadema, sasa nakuuliza weee bibie umechoka kujipanga pale buguruni na uwanja wa fisi????