Chimbuko la CHADEMA na Viongozi wake

Karekebishe historia ya uwongo ya Bob Makani, je ulikuwa na haja gani kuipa maneno yasiyo ya kweli.?
Ebu rudia Tena kusoma kumhusu Bob Makani nadhan Kuna points umeruka.una uhakika alikua na mke mmoja .mm naamini vyanzo vya uhakika
 
Haya sasa, sijui atasemaje!

Lakini nadhani kuna aliyosema ukweli.

Hiki chama cha CHADEMA kimefikia ukingoni, ni lazima kiwe chama cha wote siyo cha kundi maalum.
Historia yake siyo ya kujivunia sana.
 
Ebu rudia Tena kusoma kumhusu Bob Makani nadhan Kuna points umeruka.una uhakika alikua na mke mmoja .mm naamini vyanzo vya uhakika
Hapana.
Wewe ndiye hukufafanua vizuri kwenye uandishi wako, nadhani kutokana na msukumo wa kupotosha zaidi.
Hukusema kuwa walikuwepo watoto wengine wa Bob.
 
Hapana.
Wewe ndiye hukufafanua vizuri kwenye uandishi wako, nadhani kutokana na msukumo wa kupotosha zaidi.
Hukusema kuwa walikuwepo watoto wengine wa Bob.
Dhumuni ni kujua viongozi wa cdm na muunganiko wao kuizunguka CDM ,kuhus watot ,michepuko haina tija🙏
 
Dhumuni ni kujua viongozi wa cdm na muunganiko wao kuizunguka CDM ,kuhus watot ,michepuko haina tija
Mada yako itakuwa imefaidika zaidi na hayo aliyoyaongeza huyo aliyeweka ufafanuzi zaidi kuhusu watoto, hata kama siyo lengo la mada yako.
 
Mada yako itakuwa imefaidika zaidi na hayo aliyoyaongeza huyo aliyeweka ufafanuzi zaidi kuhusu watoto, hata kama siyo lengo la mada yako.
Yah nmekuelewa kimantiki kwasababu hatuwezi jua M/kt ajae anaweza kuwa Kati ya hao watoto ,Thanks GT
 
tumechoshwa na habari za mbowe kila siku, huna issue nyingine? simple minds discuss people....grow your mind.
you are so disgusting
 
tumechoshwa na habari za mbowe kila siku, huna issue nyingine? simple minds discuss people....grow your minds.
you are so disgusting
Baada ya kumezeshwa beyond M/kt wa Sasa hakuna mwenye uwezo wakuongoza cdm
 
Haya sasa, sijui atasemaje!

Lakini nadhani kuna aliyosema ukweli.

Hiki chama cha CHADEMA kimefikia ukingoni, ni lazima kiwe chama cha wote siyo cha kundi maalum.
Historia yake siyo ya kujivunia sana.
Hamna mtoto yeyote wa Bob Makani anayeshiriki siasa. Julie ni professor mbobezi wa magonjwa ya damu. Grace ana biashara zake kubwa tu. Tume ana kampuni yake ya clearing and forwarding. Na Kay Richard yeye ni mwajiriwa.
 
Wewe umetokea wapi tena?

Hiki ulichoandika ndiyo tukiite kitu gani kweli?

Ni makala? Ni biography? Ni nini sasa?
 
Unaonekana kabisa unasukumwa na roho ya ukahaba , inaonekana kbs huna unachojua kuhusu chadema zaidi ya kuhadithiwa na matanga wenzio...ukiachwa , achika bibie, wivu wa kisengelema utakuua ... Usipambane na chadema kbs, otherwise unatafuta kufa, wenzio woote waliokuwa wanaelekea kufa basi walianzisha vita na dude liitwalo chadema, sasa nakuuliza weee bibie umechoka kujipanga pale buguruni na uwanja wa fisi????
 
Makasiriko ya nn Jenga hoja ,mm siogopi kufa ata Mtume alikufa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…