Geofre Maseta
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 881
- 1,632
Ukiachwa basi achika bibie, weee kila kukicha mbowe, Mbowe, huna kz ya kufanya???? Unaanzisha story za kisengelema sengelema lazima turudishe kwenye mstari bibie...kubali kuachwa bhana....Makasiriko ya nn Jenga hoja ,mm siogopi kufa ata Mtume alikufa.
Ebu rudia Tena kusoma kumhusu Bob Makani nadhan Kuna points umeruka.una uhakika alikua na mke mmoja .mm naamini vyanzo vya uhakika
Hao wawili wenye biashara zao, CHAMA chao (CHADEMA) kikishika hatamu, hapo ndipo utakapoanzia kuja kwamba siasa haina ufundi.Hamna mtoto yeyote wa Bob Makani anayeshiriki siasa. Julie ni professor mbobezi wa magonjwa ya damu. Grace ana biashara zake kubwa tu. Tume ana kampuni yake ya clearing and forwarding. Na Kay Richard yeye ni mwajiriwa.
Sawa mkuuMm cwez kukujibu katika ukweli huu ,cjajua uelewa wako ukoje
Tueleze pia uhusiano wako na bosi wako, yale mahusiano yenu ya kisodoma mnaendelea au yalikoma baada habari kumfikia mkeo kuwa unaingiliwa kinyume? Usijafanye unawajua saana watu na maisha yao binafsi ilhali wewe mwenyewe ni mchicha mwiba. Tuendelee kuyamwaga humu?Nitumie fursa hii kuwapa wasiojua utawala wa CHADEMA ulivyoanza kabla ya Mbowe na uhusiano wa viongozi wake.
Mtei
Ni muanzilishi na Mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA, alikuwa gavana mkuu wa benki kuu (BOT) na Waziri wa Fedha kipindi cha Nyerere.
Bob Makani
Huyu alikuwa mwenyekiti wa pili wa CHADEMA ambaye pia aliwahi kuwa msaidizi wa Mtei alipokuwa gavana msaidizi wa benki kuu (BOT). Aidha marehemu Bob Makani alimuoa dada yake Mtei ambaye alizaa nae watoto kadhaa.
Mbowe
Huyu aliwahi kufanya kazi benki kuu pamoja na Mtei na Bob Makani, hivyo walianza kufahamiana huko.
Mbowe baadae alimuoa mtoto wa Mtei ambaye amezaa nae watoto kadhaa. Hii ilichangia pakubwa Mbowe kupata uenyekiti wa kwanza wa BAVICHA kabla ya kuwa mwenyekiti wa 3 wa CHADEMA. Ili kuhakikisha Mbowe anakuwa mwenyekiti wa milele, CHADEMA kwa amri ya Mtei (Mkwe wa Mbowe) ilibadilisha katiba yake mwaka 2002 kutoka kwenye ukomo wa kugombea mihula 2 tu kwa mwenyekiti mpk bila ukomo.
Ndoa ya Mbowe na mtoto wa Mtei iliingia kwenye misukosuko pale ambapo Mbowe alianzisha uhusiano wa siri na dada mmoja ambaye baadae alimhonga ubunge wa viti maalum, aitwaye Grace Mukya na kuzaa naye mtoto mmoja wa kike, lkn kuishi naye km nyumba ndogo.
Mbowe na Mtei walimshawishi Dk. Warid Aman Kaborou kuhama kutoka Marekani kuja Tanzania ambaye alikuwa mhadhiri wa muda mrefu kwenye vyuo mbalimbali vya USA.
Walimuahidi kumpa fedha taslim, gharama za kuhama yeye na familia yake mpk Tanzania lkn kumfanya katibu mkuu wa CHADEMA, walfanikiwa na Dk. Kaborou akawa katibu mkuu wa CHADEMA, walimnunua.
Ni wazi kabisa uongozi wa CHADEMA ni wa kiukoo.
Simkubali Mbowe lakini sijaona haja ya kuweka mambo yake ya familia. Karibia wanaume wote wa Kitanzania waliopo kwenye ndoa wana michepuko.Nitumie fursa hii kuwapa wasiojua utawala wa CHADEMA ulivyoanza kabla ya Mbowe na uhusiano wa viongozi wake.
Mtei
Ni muanzilishi na Mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA, alikuwa gavana mkuu wa benki kuu (BOT) na Waziri wa Fedha kipindi cha Nyerere.
Bob Makani
Huyu alikuwa mwenyekiti wa pili wa CHADEMA ambaye pia aliwahi kuwa msaidizi wa Mtei alipokuwa gavana msaidizi wa benki kuu (BOT). Aidha marehemu Bob Makani alimuoa dada yake Mtei ambaye alizaa nae watoto kadhaa.
Mbowe
Huyu aliwahi kufanya kazi benki kuu pamoja na Mtei na Bob Makani, hivyo walianza kufahamiana huko.
Mbowe baadae alimuoa mtoto wa Mtei ambaye amezaa nae watoto kadhaa. Hii ilichangia pakubwa Mbowe kupata uenyekiti wa kwanza wa BAVICHA kabla ya kuwa mwenyekiti wa 3 wa CHADEMA. Ili kuhakikisha Mbowe anakuwa mwenyekiti wa milele, CHADEMA kwa amri ya Mtei (Mkwe wa Mbowe) ilibadilisha katiba yake mwaka 2002 kutoka kwenye ukomo wa kugombea mihula 2 tu kwa mwenyekiti mpk bila ukomo.
Ndoa ya Mbowe na mtoto wa Mtei iliingia kwenye misukosuko pale ambapo Mbowe alianzisha uhusiano wa siri na dada mmoja ambaye baadae alimhonga ubunge wa viti maalum, aitwaye Grace Mukya na kuzaa naye mtoto mmoja wa kike, lkn kuishi naye km nyumba ndogo.
Mbowe na Mtei walimshawishi Dk. Warid Aman Kaborou kuhama kutoka Marekani kuja Tanzania ambaye alikuwa mhadhiri wa muda mrefu kwenye vyuo mbalimbali vya USA.
Walimuahidi kumpa fedha taslim, gharama za kuhama yeye na familia yake mpk Tanzania lkn kumfanya katibu mkuu wa CHADEMA, walfanikiwa na Dk. Kaborou akawa katibu mkuu wa CHADEMA, walimnunua.
Ni wazi kabisa uongozi wa CHADEMA ni wa kiukoo.
Una uelewa mdogo ,ivi kaongelewa mtu ama CDM?Simkubali Mbowe lakini sijaona haja ya kuweka mambo yake ya familia. Karibia wanaume wote wa Kitanzania waliopo kwenye ndoa wana michepuko.
Imekuuma chomoaTueleze pia uhusiano wako na bosi wako, yale mahusiano yenu ya kisodoma mnaendelea au yalikoma baada habari kumfikia mkeo kuwa unaingiliwa kinyume? Usijafanye unawajua saana watu na maisha yao binafsi ilhali wewe mwenyewe ni mchicha mwiba. Tuendelee kuyamwaga humu?
Soma, utapata maarifa ya kuelewa kilichoandikwa.Una uelewa mdogo ,ivi kaongelewa mtu ama CDM?
Lazima ukwel usemwe.na wewe una makando kando tena ya kutia kinyaa, mwanaume kutumika vile ni chukizo kubwaImekuuma chomoa
We na ukoo wako anzisheni chama chenu kama ni rahisi hivyoNitumie fursa hii kuwapa wasiojua utawala wa CHADEMA ulivyoanza kabla ya Mbowe na uhusiano wa viongozi wake.
Mtei
Ni muanzilishi na Mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA, alikuwa gavana mkuu wa benki kuu (BOT) na Waziri wa Fedha kipindi cha Nyerere.
Bob Makani
Huyu alikuwa mwenyekiti wa pili wa CHADEMA ambaye pia aliwahi kuwa msaidizi wa Mtei alipokuwa gavana msaidizi wa benki kuu (BOT). Aidha marehemu Bob Makani alimuoa dada yake Mtei ambaye alizaa nae watoto kadhaa.
Mbowe
Huyu aliwahi kufanya kazi benki kuu pamoja na Mtei na Bob Makani, hivyo walianza kufahamiana huko.
Mbowe baadae alimuoa mtoto wa Mtei ambaye amezaa nae watoto kadhaa. Hii ilichangia pakubwa Mbowe kupata uenyekiti wa kwanza wa BAVICHA kabla ya kuwa mwenyekiti wa 3 wa CHADEMA. Ili kuhakikisha Mbowe anakuwa mwenyekiti wa milele, CHADEMA kwa amri ya Mtei (Mkwe wa Mbowe) ilibadilisha katiba yake mwaka 2002 kutoka kwenye ukomo wa kugombea mihula 2 tu kwa mwenyekiti mpk bila ukomo.
Ndoa ya Mbowe na mtoto wa Mtei iliingia kwenye misukosuko pale ambapo Mbowe alianzisha uhusiano wa siri na dada mmoja ambaye baadae alimhonga ubunge wa viti maalum, aitwaye Grace Mukya na kuzaa naye mtoto mmoja wa kike, lkn kuishi naye km nyumba ndogo.
Mbowe na Mtei walimshawishi Dk. Warid Aman Kaborou kuhama kutoka Marekani kuja Tanzania ambaye alikuwa mhadhiri wa muda mrefu kwenye vyuo mbalimbali vya USA.
Walimuahidi kumpa fedha taslim, gharama za kuhama yeye na familia yake mpk Tanzania lkn kumfanya katibu mkuu wa CHADEMA, walfanikiwa na Dk. Kaborou akawa katibu mkuu wa CHADEMA, walimnunua.
Ni wazi kabisa uongozi wa CHADEMA ni wa kiukoo.
Kwa hiyo bodaboda na vicoba tukutane wapi tuwe na katiba yetu?Nitumie fursa hii kuwapa wasiojua utawala wa CHADEMA ulivyoanza kabla ya Mbowe na uhusiano wa viongozi wake.
Mtei
Ni muanzilishi na Mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA, alikuwa gavana mkuu wa benki kuu (BOT) na Waziri wa Fedha kipindi cha Nyerere.
Bob Makani
Huyu alikuwa mwenyekiti wa pili wa CHADEMA ambaye pia aliwahi kuwa msaidizi wa Mtei alipokuwa gavana msaidizi wa benki kuu (BOT). Aidha marehemu Bob Makani alimuoa dada yake Mtei ambaye alizaa nae watoto kadhaa.
Mbowe
Huyu aliwahi kufanya kazi benki kuu pamoja na Mtei na Bob Makani, hivyo walianza kufahamiana huko.
Mbowe baadae alimuoa mtoto wa Mtei ambaye amezaa nae watoto kadhaa. Hii ilichangia pakubwa Mbowe kupata uenyekiti wa kwanza wa BAVICHA kabla ya kuwa mwenyekiti wa 3 wa CHADEMA. Ili kuhakikisha Mbowe anakuwa mwenyekiti wa milele, CHADEMA kwa amri ya Mtei (Mkwe wa Mbowe) ilibadilisha katiba yake mwaka 2002 kutoka kwenye ukomo wa kugombea mihula 2 tu kwa mwenyekiti mpk bila ukomo.
Ndoa ya Mbowe na mtoto wa Mtei iliingia kwenye misukosuko pale ambapo Mbowe alianzisha uhusiano wa siri na dada mmoja ambaye baadae alimhonga ubunge wa viti maalum, aitwaye Grace Mukya na kuzaa naye mtoto mmoja wa kike, lkn kuishi naye km nyumba ndogo.
Mbowe na Mtei walimshawishi Dk. Warid Aman Kaborou kuhama kutoka Marekani kuja Tanzania ambaye alikuwa mhadhiri wa muda mrefu kwenye vyuo mbalimbali vya USA.
Walimuahidi kumpa fedha taslim, gharama za kuhama yeye na familia yake mpk Tanzania lkn kumfanya katibu mkuu wa CHADEMA, walfanikiwa na Dk. Kaborou akawa katibu mkuu wa CHADEMA, walimnunua.
Ni wazi kabisa uongozi wa CHADEMA ni wa kiukoo.
Yes 🤚Mr Pixel3a hapo umetudanganya. Mke wa Makani anaitwa Vickie Ambwene Kakuyu. Ndiye mama yake Prof, Dr. Julie Makani ( mke wa Abdul Simba). Watoto wake wengine ni Grace Makani (Mrs. Tarimo), Tume Anthony Makani na Richard Kakuyu Makani a.k.a Kay. Nimeishi nao Sea View na nimeishi nao London nawajua vyema.
Mna shida sana kuishi kwenye lindi la unafiki, mlitaka kiwe chama shirikishi kama vile vyama vyenu, waajiri wenu wanaowapa buku 8 kushinda kuiponda CHADEMA wanaijua ndio maana wakafanya maridhiano nao wakijua nguvu ya Mbowe. Na hiyo ni baada ya kumbambikia kesi ya ugaidi ikabuma.Ukweli mtupu
Acha story zako eti vyanzo vya uhakika, sijui kama una umri mdogo au haukuwa 'town' miaka hiyo. Kama ulikuwa town tangu enzi hizo hauwezi kulishwa matango pori kirahisi na ukaja hapa kufungua uzi huku ukitiririka kwa data za uongo.Ebu rudia Tena kusoma kumhusu Bob Makani nadhan Kuna points umeruka.una uhakika alikua na mke mmoja .mm naamini vyanzo vya uhakika
Kwahy unabisha wenyeviti wa CDM sio ukoo mmoja?Acha story zako eti vyanzo vya uhakika, sijui kama una umri mdogo au haukuwa 'town' miaka hiyo. Kama ulikuwa town tangu enzi hizo hauwezi kulishwa matango pori kirahisi na ukaja hapa kufungua uzi huku ukitiririka kwa data za uongo.
Kwa waliokulia Upanga/Sea View au Oyster bay familia ya Makani wanaifahamu vizuri hivyo rudi kwenye vyanzo vyako ukawaeleze ya kuwa uongo waliokulisha umebainika.
Hoja ,wenyekiti wametoka ukoo mmoja ama uKoo tofauti?Ni suala la viwango vya ujuha mnazidiana, labda una hoja ila tukuulize dhamira ya hoja yako maana kwa mwenye tafakuri kuna masuala atapenda kuyajua ili dhamira yako ipate mantiki. Maana kwenye kilele cha fantasy ya ulevi wako ulishindwa kulitambua.
Tuonyeshe jinsi ambavyo CHADEMA wanachagua uongozi wao, prove kuwa wajumbe wa uchaguzi wanakuwa influenced na hiyo familia unayoota.
Tuonyeshe Mbowe amechaguliwa kikatiba na wanachama(wajumbe) halali au anachaguliwa na wajumbe wa ukoo wa Mtei?
Tuonyeshe kuwa ni familia ya ukoo wa Mtei ndio iliyoinfuence mabadiliko ya uongozi wa uenyekiti siyo chama kwa manufaa ya CHADEMA.
Tuonyeshe jinsi uongozi wa Mbowe ulivyoiharibu CHADEMA kama wale viongozi wenu Mrema alivyoipeleka kaburini NCCR na Lipumba CUF kiasi kwamba CHADEMA Imekuwa siyo mwamba wa siasa nchini.
Lakini CHADEMA kuwa ni imara chini ya Mbowe hadi uvccm mnapata tumbo la uharo kwa ajili yake, mnaumizwa nae tofauti na Lipumba na Mrema basi jua huna constructive.
Na kwa sababu hiyo natangaza kuwa mtoa hoja ni bonge la pumbavu la CCM, cheap propagandist otherwise nijibu kwa ufasaha
Siyo tu kwamba ninabisha bali ukweli ndiyo huo, Bob Makani hajawahi kuwa ukoo mmoja na Mtei, ni dhahiri hauwafahamu unategemea habari za kuhadithiwa na hapo umeingizwa chaka.Kwahy unabisha wenyeviti wa CDM sio ukoo mmoja?
Amini unachoamini ukweli ndio huoSiyo tu kwamba ninabisha bali ukweli ndiyo huo, Bob Makani hajawahi kuwa ukoo mmoja na Mtei, ni dhahiri hauwafahamu unategemea habari za kuhadithiwa na hapo umeingizwa chaka.