Hawakuwa na Dini kwasababu hakukuwa na Dini. Dini ni mfumo wa Ibada uliokuja kuwekwa na wanadamu wakiwepo waasisi wa hizo Dini kama Yesu Kristo - Ukristo, Muhammad - Uislam.Ibrahim,Ishmael,isihaka ,yakobo n.k
Nao walikuwa dini gani?
Wakati YESU kristo hakuwepo?
Tuanze taratibu kama chekecheaSWALI
Mktisto yeyote anaweza jibu ila ustaarabu aweke mbele
1.Ni wapi katika bible Mungu anasema hiki ni kitabu changu?
2.Ni wapi katika bible Mungu anasema hiki ni kitabu kisicho na Shaka ndani yake?
Ha ha ha, eti Uislam ni Dini ya Mungu, Unamaanisha nini? we Umeambiwa Al-Lah ni Mungu wa Maqureish aliwekwa Kaaba na walikuwa wanafanyia matambiko hapo, hawakuwa na dini wala kitabu, na walitamani nao wapate vitabu kama vya wayahudi na wakristo (ambavyo vilikuwepo) ili angalau na wao waheshimike ndio wakaja na hizo storry za dini sijui ya Ibrahimu na Adam, blah blah blah! hakuna kitu hapo, we uliona wapi mtu hata hujazaliwa unaambiwa eti ushajulikana kama utaenda motoni!! yaani uislam ni dini ya vitisho vya "moto, moto, moto" tu wa Jehanamu, wakati fundisho la moto wa Jehanamu ni la kipagani, linatokana na neno "Gehanoni" Kwa kiyahudi ni Jalalani au Dampo, kunakochomwa takataka na mizoga, na Mitume walilitumia neno hilo kama mifano tu ya wale wasiotenda wema kwamba nafsi zao zitakuwa zimeangamia kama mizoga inayochomwa "Gehanoni" au dampo, wacheni kujinyima amani na kuishi maisha ya kufikirika kuliko uhalisia, we ukifa ndio ume expire na habari zako kwaisha, hakuna cha adhabal, kabri wala nini, ni vitisho tu. Mtume mwenyewe aliwahi kuulizwa na maswahaba wake, "Je mtu aliyekufa hujisikia vipi?" akajibu "Ni sawa na mtu aliyelala usingizi fo fo fo" sasa aliyelala atapataje tena kusikia adhabu za kaburini!? Mafundisho mengi ya Dini hizi zote ni ya kubuni tu, ila Mungu yeye yupo na anatuchora tu.Uislam ni dini ya mungu.
MTU wa juzi Tu hawezi kuutafsiri uislam ambao ulikuwepo tangu enzi za adam na hawa
Na wewe kifo kinakutisha, ndio maana unaamini kila kituuhai unakudanganya
mkuu unaongea kwa facts tupu na evidence kupitia maandiko. Mpaka muda huu umefanya TKO kwa wapinzani wako katika hoja. Naona kuna mwingine anakazania siongei na wajinga mara akibishana na wajinga anawapa ushindi. Kuna mmoja tu anajaribu kujenga hoja lakini unazibomoa vyema kabisa. Mpaka muda huu ukweli wanao moyoni ila kudhihirisha wanakubaliana na wewe hawatoweza kamwe.Ndi ujifunze na ujue kwamba Muhammad alikuwa hajui kosoma na kuandika , kabla huja comment
Nakusikitieni sana tena saaanaaamkuu unaongea kwa facts tupu na evidence kupitia maandiko. Mpaka muda huu umefanya TKO kwa wapinzani wako katika hoja. Naona kuna mwingine anakazania siongei na wajinga mara akibishana na wajinga anawapa ushindi. Kuna mmoja tu anajaribu kujenga hoja lakini unazibomoa vyema kabisa. Mpaka muda huu ukweli wanao moyoni ila kudhihirisha wanakubaliana na wewe hawatoweza kamwe.
LikeIngekuwa simple sana unazaliwa tu automatically unamjua Mungu next time Mungu akija kuumba watu uko mbele alifanyie kazi hili jambo.
Maana mabilion ya watu wamekufa pasipo kumjua yeye kama lengo lake katuumba tumuabudu,iwe tu automatically unazaliwa unajua kila kitu kuusu yeye.
Huna haja ya kutoa vitisho, Jenga hoja dhidi ya hoja.Nakusikitieni sana tena saaanaaa
Dini ya Uislamu sio dini ya kibubusa kma dini za watu izo.Uyo mwenzako anaongea ujinga tuu naona na ww umezama kuongea ujinga kma mwenzako
ila mm hua sisemi saaanaaa ila ukija kufa ndo utajua dini ya haki ni ipi
Mtume hakuwahi kuwa kicha sababu si kila anae changanykiwa ni kichaa, mosi,pili usiruke swali ulisema ya kuwa Waraqah aliandika Qur'aan haya ulisema wewe sasa usijitoe ufahamu nataka unionyeshe wapi aliandika Qur'aan.Nini kilitokea kwenye Koran baada ya warak kufa , Yani kwa sasa nataka utumie akili sita ku spoon feed , kwa nini kilitokea kwenye Koran? Na kwa nini muhammad alikuwa kichaa akataka kujiua baada ya hicho kilicho tokea kwenye koran
Wa kwanza Mtume Ng'wanamalundiNaunga mkono hoja, maana kama Mungu alisema amewatuma wajumbe ktk kila jamii basi nasisi tuwatafute mitume yetu ya kiafrica
Nimekwambia sitaendelea kukufundisha , maana nimeona hatu debate tena ila unanifanya mwalimu wako, yani unauliza maswali nikijibu una sema jibu ni sahih yani maana yake na wewe unaenda kusomaMtume hakuwahi kuwa kicha sababu si kila anae changanykiwa ni kichaa, mosi,pili usiruke swali ulisema ya kuwa Waraqah aliandika Qur'aan haya ulisema wewe sasa usijitoe ufahamu nataka unionyeshe wapi aliandika Qur'aan.
Hili la nini kilifata baada ya kufa Waraqah ni ishu nyingine kabisa isiyo fungamana na Qur'aan kabisa.
Nasubiri majibu,kisha haya mengine tutayajadili. Nilikwambia hakuna kwenda nukta nyingine mpaka moja iishe kwanza.
Umesha elewa anae taka Mimi kumpinga Allah ni Allah mwenyewe ndio kanipangia kuwa mpinza wake kabla ata sijazaliwaNakusikitieni sana tena saaanaaa
Dini ya Uislamu sio dini ya kibubusa kma dini za watu izo.Uyo mwenzako anaongea ujinga tuu naona na ww umezama kuongea ujinga kma mwenzako
ila mm hua sisemi saaanaaa ila ukija kufa ndo utajua dini ya haki ni ipi
Nimetafakari Sana nimegundua wewe ni victim tu Kuna issue nyingi za Uislamu haujui , nimeona nikufundisheNakusikitieni sana tena saaanaaa
Dini ya Uislamu sio dini ya kibubusa kma dini za watu izo.Uyo mwenzako anaongea ujinga tuu naona na ww umezama kuongea ujinga kma mwenzako
ila mm hua sisemi saaanaaa ila ukija kufa ndo utajua dini ya haki ni ipi
Allah anasema hapa kama hutafanya dhambi anakufutilia mbali anaweka wanaofanya dhambi ILI wamuombe msamaha, Yani Allah ana needs ,huitaji wa watenda dhambiNakusikitieni sana tena saaanaaa
Dini ya Uislamu sio dini ya kibubusa kma dini za watu izo.Uyo mwenzako anaongea ujinga tuu naona na ww umezama kuongea ujinga kma mwenzako
ila mm hua sisemi saaanaaa ila ukija kufa ndo utajua dini ya haki ni ipi
Jibu maswali niliyo kuuliza kisha tuendelee,nilikwambia mwanzo kwamba hakuna kwenda sehemu nyingine mpaka maswali yajibiwe.Nimekwambia sitaendelea kukufundisha , maana nimeona hatu debate tena ila unanifanya mwalimu wako, yani unauliza maswali nikijibu una sema jibu ni sahih yani maana yake na wewe unaenda kusoma
soma hapa mtu alie changanyikia na kutaka kujiua ni psychopath na hatujui wakati muhammad akiwa kachanganyikiwa alitoa verses ngapi?
.... " But after a few days Waraqa died and the Divine Inspiration was also paused for a while and the Prophet (ﷺ) became so sad as we have heard that he intended several times to throw himself from the tops of high mountains... Sahih al-Bukhari 6982
nakupa maswali fikirishi wewe kama mwanafunzi wangu kwa sasa
1. kwa nini waraq alipokufa koran ikasiamama hapo hapo kuandikwa?
2. kwa nini muhammad alivyoona koran haiandikwi akataka kujitoa uhai?
Hili ndio jibu languJibu maswali niliyo kuuliza kisha tuendelee,nilikwambia mwanzo kwamba hakuna kwenda sehemu nyingine mpaka maswali yajibiwe.
Hii kali sana.Allah anasema hapa kama hutafanya dhambi anakufutilia mbali anaweka wanaofanya dhambi ILI wamuombe msamaha, Yani Allah ana needs ,huitaji wa watenda dhambi
By Him in Whose Hand is my life, if you were not to commit sin, Allah would sweep you out of existence and He would replace (you by) those people who would commit sin and seek forgiveness from Allah, and He would have pardoned them. Sahih Muslim 2749
Unajiuliza Mungu anatakiwa apende watu wanaojiepusha na dhambi , lakini Allah anasema usipo fanya dhambi anakuuaHii kali sana.
Imewafumbua Macho Waislamu wengi.
Wengi hawaijui
Dini yao ilivyo ya ajabu.
Wanafata mkumbo tu.
Mbinguni ndio wapi? Juu mawinguni au?ilishushwa kutoka mbinguni kuja duniani kwa Prophet Muhammad Peace Be Upon Him kupitia malaika Gabriel. Malaika Gabriel alikuwa anamsomea Prophet Muhammad aya za Qur'aan tukufu na kumuamuru kwenda kuziandika. Jambo hili lilifanyika mara kwa mara katika vipindi tofauti tofauti. Mwisho wa siku mkusanyiko wa hizo aya ndio ukatengeneza kitu kinaitwa Qur'aan.
Narudia tena wakristo mumeshindwa kujibu hili swali?SWALI
Mktisto yeyote anaweza jibu ila ustaarabu aweke mbele
1.Ni wapi katika bible Mungu anasema hiki ni kitabu changu?
2.Ni wapi katika bible Mungu anasema hiki ni kitabu kisicho na Shaka ndani yake?