Kumuabudu Mungu mmoja tu ndio tayari ni Uislam? Vipi kushuhudia ya kuwa Mtume Muhammad ndiye Mtume wa Allah?nakuonesha KUWA Mungu alikuwepo kipindi chote hicho.
Na yeye ndo alikuwa anatuma mitume na manabii kwa watu.
Manabii wote na mitume wote ujumbe ulikuwa NI kumuabudu Mungu MMOJAView attachment 2035388
Unaikumbuka post niliyo kuquote mara kwanza humu ?Unaelewa kwamba posts zina namba na unaweza kuzi link?
Thibitisha uchawi upo.
Thibitisha Allah yupo.
Muhammad hakuwa mtume wa Kwanza katika uislam.Kumuabudu Mungu mmoja tu ndio tayari ni Uislam? Vipi kushuhudia ya kuwa Mtume Muhammad ndiye Mtume wa Allah?
View attachment 2036205
Unaweza kutoa namba ya post?Unaikumbuka post niliyo kuquote mara kwanza humu ?
Sasa kama hukumbuki au hujaona nilichokithibitisha hiki unacho niuliza umekipata wapi ?
MUNGU ata akisema wapo 10 shida nini? Cha msingi awe Mungu wa kweli, Kun watu mungu wao ni Lucifer na ni mmoja ndio tuwaamini au?Muhammad hakuwa mtume wa Kwanza katika uislam.
Kila mtume au nabii alikuwa na SHAHADA YAKE.
ILA SHAHADA KUBWA NI MUNGU MMOJA.
manabii na mitume wakubwa wapo 25.
Kuanzia Adam mpaka Muhammad.
Lucifer hawezi kuwa na sifa ya UMUNGU.MUNGU ata akisema wapo 10 shida nini? Cha msingi awe Mungu wa kweli, Kun watu mungu wao ni Lucifer na ni mmoja ndio tuwaamini au?
Muhammad hakuwa mtume wa Kwanza katika uislam.
Kila mtume au nabii alikuwa na SHAHADA YAKE.
ILA SHAHADA KUBWA NI MUNGU MMOJA.
manabii na mitume wakubwa wapo 25.
Kuanzia Adam mpaka Muhammad.
Thibitisha kwa maandiko kwamba Muhammad hakuwa mtume wa kwanza katika uislamu
Thibitisha kwa maandiko kwamba Muhammad hakuwa mtume wa kwanza katika uislamu
Ile niliyo kuquote mara ya kwanza. Unapenda kupoteza muda kwenye hakuna.Unaweza kutoa namba ya post?
Kwa sababu mimi naweza kukumbuka post niliyo quote mara ya kwanza kimakosa.
Namba please.
kila mtume aliku na njia yake ya kuabudu.Asante kwa maandiko
Swali kwako, nini kilifanya misingi ya imani ya kiislamu ibadilike kulinganisha hao manabii na muhamad, kwa mfano swala tano, kuhiji maka?
Hakuna dini ya haki inayochinja watu kama mbuzi.kwaio maswali yangu wakristo nyoooooteeeee mumeshindwa kuyajibu
Poleni sana bhna m nawaombea kheri muijue dini ya haki ni ipi muweze kuifuata
Umeona wapi dini inachinja watu Kama mbuzi?Hakuna dini ya haki inayochinja watu kama mbuzi.
SikuwepoNikuulize swali MOJA Kwanza.
Wewe umetoka wapi?
Namaanisha kabla haujazaliwa ulikuwa wapi?
Itakuwa upande wa pili.
Narudia kukujibu, "SIKUWEPO"Kabla ya wewe kuzaliwa ulikuwa wapi?
Basi yupo aliyepanga wewe uzaliwe.Sikuwepo
Nani mama yangu or??Basi yupo aliyepanga wewe uzaliwe.
Na ndioo aliyekuwekea utaratibu wa kuishi duniani