Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Hapo kwenye red, umeandika kuwa Kaaba ni eneo lililokuwa takatifu miaka mingi hata kabla ya Uislamu kuanza.
Naomba kujuzwa, utakatifu wa eneo hilo ulitokana na IMANI ipi?
Kulikuwa na miungu wengi hapo saudi kabla ya uislam. Infact al-Lah alikuwa ni Mungu ambaye wakureshi wengi walikuwa wakimuabudu na pia wao walichukulia eneo hilo kuwa ni takatifu. Kimsing waarabu waliichukulia kaaba ni takatifu miaka mingi.

Kuna maelezo ya Encyclopedia hayo hapo chini pia.
Screenshot_20210609-160855.jpg
 
Huyy mwamedi alieoa binti wa miaka 9,?umepigwa fala wew halafu kila ukiandika kitu sema ulikokitoa pumbavu wew au hujaenda shule?huwez kuandika kitu bila kutaja chanzo mavi wew
 
Hili nimeshaliweka huko nyuma,soma ninacho kiandika vizuri.
Sheria anapanga binadamu au inapangwa na Mungu? Nimesoma ulichoandika lakini haniingii akili kuwa kuozesha ndugu kwa ndugu ilikuwa ni mojawapo ya sheria. Kama ilikuwa ni sheria basi isingetenguka ingedumu hiyo sheria mpaka hivi leo.
Na Kama mtunga sheria ni Mungu na anatunga sheria na kuitengua yeye basi hana msimamo hivyo sio mjuzi bali ana bahatisha
 
Huyy mwamedi alieoa binti wa miaka 9,?umepigwa fala wew halafu kila ukiandika kitu sema ulikokitoa pumbavu wew au hujaenda shule?huwez kuandika kitu bila kutaja chanzo mavi wew
Lete hoja mkuu, acha matusi.
 
Kulikuwa na miungu wengi hapo saudi kabla ya uislam. Infact al-Lah alikuwa ni Mungu ambaye wakureshi wengi walikuwa wakimuabudu na pia wao walichukulia eneo hilo kuwa ni takatifu. Kimsing waarabu waliichukulia kaaba ni takatifu miaka mingi.

Kuna maelezo ya Encyclopedia hayo hapo chini pia. View attachment 1813350
Wao (Wakureshi) walichukulia eneo hilo kuwa ni takatifu.
Hapo sawa, umesomeka vizuri mkuu.
Inasadikika kuwa hiyo "nyumba" ilikuwa safi tangu mwanzo, kisha pale kati ikachafuliwa, baadaye ikawa safi tena.
Je ni lini hiyo "nyumba" ilipochafuliwa?. Ni kwanini sehemu "takatifu" iliachwa na kuchafuliwa?
Hao Wakureshi ni nini hasa walichokuwa wakifanya katika hiyo "nyumba"?
 
Hayo maneno hayapo katika Tafsiri ya asili,wewe niambie umeyatoa wapi.

Soma hiki kitabu,usilete ubabaishaji humu.View attachment 1813338

Unajua kuna mda naona akili Yako infyatuka , Yani nimekuwekea link alafu unauliza yametoka wapi, ilikuthibisha ilitakiwa wewe uweke unayoona wewe ndio SAWA na usema kwa nini link ya waislamu inaweka ambayo si sawa
 
Sheria anapanga binadamu au inapangwa na Mungu?
Anapanga Mola mwenyewe.
Nimesoma ulichoandika lakini haniingii akili kuwa kuozesha ndugu kwa ndugu ilikuwa ni mojawapo ya sheria.
Kutokuingia akilini mwako si hoja, hoja ni je hilo ni kweli ?

Ilikuwa sheria na ni jambo lililo faa. Sheria huwekwa sababu na hekima.
Kama ilikuwa ni sheria basi isingetenguka ingedumu hiyo sheria mpaka hivi leo.
Unatumia kigezo gani kuandika haya na marejeo yako ni yapi ?

Nani alikwambia kwamba sheria hiyo ingekuwa hadi leo hii wakati sababu ya kuwepo sheria hiyo leo haipo ?
Na Kama mtunga sheria ni Mungu na anatunga sheria na kuitengua yeye basi hana msimamo hivyo sio mjuzi bali ana bahatisha
Mjuzi wa yote anafanya anachokitaka,ndiyo maana wewe umekuwa muafrika na si mzungu wala si muarabu.
 
Unajua kuna mda naona akili Yako infyatuka , Yani nimekuwekea link alafu unauliza yametoka wapi, ilikuthibisha ilitakiwa wewe uweke unayoona wewe ndio SAWA na usema kwa nini link ya waislamu inaweka ambayo si sawa
Umeelewa swali langu ? Hayo uliyo yaweka katika kitabu cha asili hayapo. Na aya haifasiriwi hivyo. Sasa kama hayo hayapo vipi au kwa lipi unayanabisha kwa Imaamu hawa wawili Jalaludin al Mahal na mwanafunzi wake Jalaludin Suyuti wenye tafsiri Jalalayni au umeona google huko ukatuletea huu ujinga ?

Nataka uniambie haya uliyahakiki wapi mpaka unatueletea humu ?
 
Wao (Wakureshi) walichukulia eneo hilo kuwa ni takatifu.
Hapo sawa, umesomeka vizuri mkuu.
Inasadikika kuwa hiyo "nyumba" ilikuwa safi tangu mwanzo, kisha pale kati ikachafuliwa, baadaye ikawa safi tena.
Je ni lini hiyo "nyumba" ilipochafuliwa?. Ni kwanini sehemu "takatifu" iliachwa na kuchafuliwa?
Hao Wakureshi ni nini hasa walichokuwa wakifanya katika hiyo "nyumba"?
Naomba nirahisishe kwa kuweka excerpt hii.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Hence Muslims continued to perform the customary rituals at the Kabah, the cube-shaped shrine in the heart of Mecca, the most important centre of worship in Arabia. It was extremely ancient even in Muhammad’s time, and the original meaning of the cult associated with it had been forgotten, but it was still loved by the Arabs, who assembled each year for the hajj pilgrimage from all over the peninsula. They would circle the shrine seven times, following the direction of the sun around the earth; kiss the Black Stone embedded in the wall of the Kabah, which was probably a meteorite that had once hurtled to the ground, linking the site to the heavenly world.

These rites (known as the umrah) could be performed at any time, but during the hajj pilgrims would also run from the steps of al-Safa beside the Kabah across the valley to al-Marwah, where they prayed. They then moved to the environs of Mecca: on the plain of Arafat, they stood all night in vigil; they rushed in a body to the hollow of Muzdalifah; hurled pebbles at a rock in Mina, shaved their heads, and on the Id al-Adha, the final day of the pilgrimage, they performed an animal sacrifice.

The ideal of community was central to the cult of the Kabah. All violence was forbidden in Mecca and the surrounding countryside at all times. This had been a key factor in the commercial success of the Quraysh, since it enabled Arabs to trade there without fearing the reprisals of vendetta warfare. During the hajj pilgrims were forbidden to carry arms, to argue, to kill game or even to kill an insect or speak a cross word. All this was clearly congenial to Muhammad’s ideal for the ummah, and he was himself devoted to the shrine, often made the umrah and liked to recite the Quran beside the Kabah.

Officially, the shrine was dedicated to Hubal, a Nabatean deity, and there were 360 idols arranged around the Kabah, probably representing the days of the year. But by Muhammad’s day, it seems that the Kabah was venerated as the shrine of Allah, the High God, and it is a mark of the widespread conviction that Allah was the same as the deity worshipped by monotheists that those Arabs in the northern tribes on the borders of the Byzantine Empire who had converted to Christianity used to make the hajj alongside the pagans. Yet for all this, in the early days of his mission, Muhammad still made the Muslims perform the salat prayer facing Jerusalem, the holy city of the ahl al-kitab, turning their backs on the pagan associations of the Kabah. This expressed his longing to bring the Arabs into the monotheistic family.
 
Umeelewa swali langu ? Hayo uliyo yaweka katika kitabu cha asili hayapo. Na aya haifasiriwi hivyo. Sasa kama hayo hayapo vipi au kwa lipi unayanabisha kwa Imaamu hawa wawili Jalaludin al Mahal na mwanafunzi wake Jalaludin Suyuti wenye tafsiri Jalalayni au umeona google huko ukatuletea huu ujinga ?

Nataka uniambie haya uliyahakiki wapi mpaka unatueletea humu ?
Kijana naona umeona nimeshakuumbua anaanza kutajataja majina
Link hii hapa click link itakupeleka kwa waislamu wenzako wajuzi kuliko wewe ndio wameweka ,

Just click the link na uache kurukaruka


Stupidity is amazing
 
@iselemagazi pia ukisoma historia ya aaba, unaoana kwa nyakati tofauti tofauti imekuwa ikikarabatiwa. Hii ni kawaida kwa jengo lolote huhitaji ukarabati kutokana na sababu za kimazingira au kibinadamu. Na imeshafungwa na kufunguliwa mara zaidi ya 30. Kuna nyakati kikundi cha washia walivamia hapo na kuua waumini kisa tu wao waliamini kitendo cha kufanya ibada hapo ni sawa na kuabudu masanamu (Shirk).
 
Umeelewa swali langu ? Hayo uliyo yaweka katika kitabu cha asili hayapo. Na aya haifasiriwi hivyo. Sasa kama hayo hayapo vipi au kwa lipi unayanabisha kwa Imaamu hawa wawili Jalaludin al Mahal na mwanafunzi wake Jalaludin Suyuti wenye tafsiri Jalalayni au umeona google huko ukatuletea huu ujinga ?

Nataka uniambie haya uliyahakiki wapi mpaka unatueletea humu ?
Unajua source nimeweka ni source inayoaminika duniani na nime prove kwamba Allah alisema akitaka mke au mtoto atachukua kutoka US
Turudi kwenye maswali yangu haya
  • Kama yeye sio Hermaphrodite (Intersex) hiyo US ni kina nani?
    • Koran ( 21:17) " Had We intended to take a pastime (i.e. a wife or a son, etc.), We could surely have taken it from Us.....
  • scholar wemesema kwamba hiyo US maana yake ni Allah, Malaika na Ma houris wazuri wazuri
  • Kwanini wewe unapingana nao na unasema hiyo US ni Allah mwenyewe je unataka kutuambia Allah ni Hermaphrodite?
 
Kijana naona umeona nimeshakuumbua anaanza kutajataja majina
Link hii hapa click link itakupeleka kwa waislamu wenzako wajuzi kuliko wewe ndio wameweka ,

Just click the link na uache kurukaruka


Stupidity is amazing
Nazidi kufurahi,laiti tu kwanza ungekuwa unajua Kiarabu hiyo tarjama uliyoiweka ungeona kabisa kuna maneno yameongezwa hayapo katika matini ya aya,ndiyo maana yakawekwa kwenye mabano kama ziada. Swali langu liko pale pale,hayo maneno hayapo katika natini ua asili ya Kiarabu wewe umetumia kigezo gani kuyafanya kama ni hoja ?

Hapa utaona kati yangu mmi na wewe nani mvivu wa kusoma. Ulivyokuwa mjinga huna muda na kujishughulisha na vitabu vya asili unaokoteza mtandaoni kisha unatuwekea humu.

Nimekurudisha ukasome na huu ujinga ukome,mnawazulia uongo wanazuoni wetu.

Hiyo link niiguse mara ngapi ? Unafikiri link ina nafasi gani mbele ya matini ya asili ya kitabu ? Umepewa akili bure itumie.
 
Kijana naona umeona nimeshakuumbua anaanza kutajataja majina
Link hii hapa click link itakupeleka kwa waislamu wenzako wajuzi kuliko wewe ndio wameweka ,

Just click the link na uache kurukaruka


Stupidity is amazing
Link yako ina kitu hiki :

{ لَوْ أَرَدْنَآ أَن نَّتَّخِذَ لَهْواً لاَّتَّخَذْنَاهُ مِن لَّدُنَّآ إِن كُنَّا فَاعِلِينَ }

Had We desired to find some diversion that which provides diversion in the way of a partner or a child We would have found it with Ourselves from among the beautiful-eyed houris or angels were We to do so. But We did not do so thus We never desired it.

Haya maneno umeyapata wapi ? Kilichopo kwenye matini ya aya ni hiki :

17. Kama tungeli taka kufanya mchezo tunge jifanyia Sisi wenyewe, lau kwamba tungeli kuwa ni wafanyao mchezo. (al-Anbiyaa : 17)
 
Nazidi kufurahi,laiti tu kwanza ungekuwa unajua Kiarabu hiyo tarjama uliyoiweka ungeona kabisa kuna maneno yameongezwa hayapo katika matini ya aya,ndiyo maana yakawekwa kwenye mabano kama ziada. Swali langu liko pale pale,hayo maneno hayapo katika natini ua asili ya Kiarabu wewe umetumia kigezo gani kuyafanya kama ni hoja ?

Hapa utaona kati yangu mmi na wewe nani mvivu wa kusoma. Ulivyokuwa mjinga huna muda na kujishughulisha na vitabu vya asili unaokoteza mtandaoni kisha unatuwekea humu.

Nimekurudisha ukasome na huu ujinga ukome,mnawazulia uongo wanazuoni wetu.

Hiyo link niiguse mara ngapi ? Unafikiri link ina nafasi gani mbele ya matini ya asili ya kitabu ? Umepewa akili bure itumie.
Acha upuuzi kijana huwezi sema institute nzima walioweka hiyo tafsiri kwa lugha ya kingereza ni wajinga alafu wewe ndio mjuzi wao
Hawa hapa
© 2021 Royal Aal al-Bayt Institute for Islamic Thought, Amman, Jordan

Unachotakiwa kufanya sio kuongea tu kwamba hayapo Weka Link authentic unayoiamini wewe tusome sio kusema tu hayapo , siku hizi lugh inafanyiwa translation faster Weka

Dili na ukweli na usikwepe ukweli

Stupidity is amazing
 
Back
Top Bottom