Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Narudia tena wakristo mumeshindwa kujibu hili swali?
Unachagua wa kujibu ?
Jibu hili hapa
muhammad akasema aletewa kitabu kinaitwa torah akaweka mkono juu ya kitabu akasema nakiamini na naamini alie kidhihirisha
...........Bring the Torah. It was then brought. He then withdrew the cushion from beneath him and placed the Torah on it saying: I believed in thee and in Him Who revealed thee ...... Sunan Abi Dawud 4449
 
Unachagua wa kujibu ?
Jibu hili hapa
muhammad akasema aletewa kitabu kinaitwa torah akaweka mkono juu ya kitabu akasema nakiamini na naamini alie kidhihirisha
...........Bring the Torah. It was then brought. He then withdrew the cushion from beneath him and placed the Torah on it saying: I believed in thee and in Him Who revealed thee ...... Sunan Abi Dawud 4449
We kweli nikikuita mjinga sijakosea
mm nimeuliza swali nimesema mktisto yyte ajibu hlf jibu lko ata haliendani na swali nilouliza ebu niulize mm ilo swali nikufundishe jinsi ya kujibu
 
We kweli nikikuita mjinga sijakosea
mm nimeuliza swali nimesema mktisto yyte ajibu hlf jibu lko ata haliendani na swali nilouliza ebu niulize mm ilo swali nikufundishe jinsi ya kujibu
Akili unatakiwa utumie , biblia ni mkusanyiko wa vitabu , ambavyo ni agano la kale Torah ikiwepo na agano jipya injili ikiwepo

Sasa kama Muhammad aliletewa moja ya vitabu wanavyo tumia wakristo na wayahud akasema anakiamin ,wewe nani unaanza kuuliza maswali
 
Kwanza usiende huko mbali. Huko mwanzo nimekuelezea juu ya uchawi na kuonyesha utofauti kati ya uchawi na usio kuwa uchawi. Soma uelewe


Anasema Allah aliye juu :

77. Akasema Musa: Mnasema hivi juu ya Haki ilipo kujieni? Huu ni uchawi? Na wachawi hawafanikiwi! (Yunus :77)

Safi kabisa,thibitisha kama kuna kitu cha uongo nimeandika. Naona unazikimbia hoja zangu hukosoi hoja.

Sasa kama umeshindwa tu kuelewa maana ya uchawi na umeshindwa kukosoa na umeshindwa kuonyesha ya kuwa Uchawi haupo bali ni hadithi tu. Huu ni utoto unaleta,na usikimbie maswali.

Kwenye ujumla unapata matawi na nimekuwekea wazi kila kitu unashindwa kuvunja hoja unaruka ruka.
Huyo Allah unaweza kuthibitisha yupo kweli na si hadithi za watu tu?

Au unaambiwa kuthibitisha uongo mmoja si uongo, unaleta uongo wa pili ambao nao huwezi kuuthibitisha, ili uthibitishe uongo wa kwanza ambao hujauthibitisha?

Nimekwambia uthibitishe uchawi upo kweli na si hadithi za watu tu.

Umeshindwa.

Unalwta habari za Allah ambaye na yeye kuwepo kwake hujathibitisha.

Unajiongezea kazi ya uthibitisho.

Thibitisha uchawi upo kweli na kwamba habari za kuwepi uchawi si hadithi za watu tu.

Halafu, thibitisha Allah yupo kweli na kwamba habari za kuwepo kwakr si hadithi za watu tu.
 
Akili unatakiwa utumie , biblia ni mkusanyiko wa vitabu , ambavyo ni agano la kale Torah ikiwepo na agano jipya injili ikiwepo

Sasa kama Muhammad aliletewa moja ya vitabu wanavyo tumia wakristo na wayahud akasema anakiamin ,wewe nani unaanza kuuliza maswali
We jibu nilouliza usilete porojo nyingi

toa verse kwnye bible kua aya hii mungu anasema hivi na aya hii mungu anasema hivi usianze kuleta porojo nyingiiii

m nimeuliza maswali mawili tuu naona unababaika sana kuyajibu

Nimekwambia niulize mm kma sitokujibu straight forward

usilete porojo nyingi leta verse tu tuone kma kwenye iyo bible yenu itajibu ayo maswali [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
We jibu nilouliza usilete porojo nyingi

toa verse kwnye bible kua aya hii mungu anasema hivi na aya hii mungu anasema hivi usianze kuleta porojo nyingiiii

m nimeuliza maswali mawili tuu naona unababaika sana kuyajibu

Nimekwambia niulize mm kma sitokujibu straight forward

usilete porojo nyingi leta verse tu tuone kma kwenye iyo bible yenu itajibu ayo maswali [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mpinge kwanza Muhammad kuamini kitabu Cha Torah ndio nikujibu

muhammad akasema aletewa kitabu kinaitwa torah akaweka mkono juu ya kitabu akasema nakiamini na naamini alie kidhihirisha
...........Bring the Torah. It was then brought. He then withdrew the cushion from beneath him and placed the Torah on it saying: I believed in thee and in Him Who revealed thee ...... Sunan Abi Dawud 4449
 
Mpinge kwanza Muhammad kuamini kitabu Cha Torah ndio nikujibu

muhammad akasema aletewa kitabu kinaitwa torah akaweka mkono juu ya kitabu akasema nakiamini na naamini alie kidhihirisha
...........Bring the Torah. It was then brought. He then withdrew the cushion from beneath him and placed the Torah on it saying: I believed in thee and in Him Who revealed thee ...... Sunan Abi Dawud 4449
Kijana mbona tabu ww hebu jibu ayo maswali mawili tu nilouliza
 
Unajiuliza Mungu anatakiwa apende watu wanaojiepusha na dhambi , lakini Allah anasema usipo fanya dhambi anakuua
Na Allah anasema tena yeye ndio anapotosha watu na anawafanya mioyo Yao mizito
Sasa shetani anafanya kazi gani?
Nilitaka uishie hapa, lakini nimeona endelea kuwafundisha jinsi dini yao ilivyo.
Waislamu wengi wanakuelewa sasa na wanajifunza mengi kupitia mafundisho yako.
Hii ni kazi ya Kichungaji kabisa na nina uhakika wengi watakimbilia Njia salama ya Masihi Yesu Kristo
Kama anavyo sema yeye.

Mathayo 11:28
Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.

Yohana 14:6
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

Ni Yesu pekee aliye simama hadharani na kutamka hayo maneno na hakuna aliyebisha hadi leo hii leo.

Yohana 14:1
Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi.
Yohana 14:2
Nyumbani mwa Baba yangu mna makao mengi; kama sivyo, ningaliwaambia; maana naenda kuwaandalia mahali.
Yohana 14:3
Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi mwepo.
Yohana 14:4
Nami niendako mwaijua njia.

Ni ajabu Mtu mwingine anakuja na kusema.
Yeye hajui atafanywa nini wala waumini wake, na bado anafuatwa na kundi la watu.
Ni ajabu sana.

Ref.
"Mimi sio Kiroja kipya katika mitume. Sijui nitakachafanywa mimi wala ninyi"

Sasa mtu asiyejua chochote anafuatwa wa nini tena.
 
Mpinge kwanza Muhammad kuamini kitabu Cha Torah ndio nikujibu

muhammad akasema aletewa kitabu kinaitwa torah akaweka mkono juu ya kitabu akasema nakiamini na naamini alie kidhihirisha
...........Bring the Torah. It was then brought. He then withdrew the cushion from beneath him and placed the Torah on it saying: I believed in thee and in Him Who revealed thee ...... Sunan Abi Dawud 4449
Nakujua ww huna hoja ndo mna stki kujadiliana na ww
mna maswali mawili tuu tena madgo tuu huwezi kuyajibu hlf ety unasema unaifahamu qur'an ww [emoji1][emoji1][emoji1] ety unifahamishe mm Uislamu wakati maswali madogo tu ayo umeshindwa kuyajibu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Poleni bhna
 
Kijana mbona tabu ww hebu jibu ayo maswali mawili tu nilouliza
Nimekujibu vizuri kabisa siitaji Kuweka verse biblia ina kitabu ndani yake ambacho Muhammad alisema anakiamin na anaamini Mungu wa kitabu hicho , je unapingana nae?

muhammad akasema aletewa kitabu kinaitwa torah akaweka mkono juu ya kitabu akasema nakiamini na naamini alie kidhihirisha
...........Bring the Torah. It was then brought. He then withdrew the cushion from beneath him and placed the Torah on it saying: I believed in thee and in Him Who revealed thee ...... Sunan Abi Dawud 4449
 
Nimekujibu vizuri kabisa siitaji Kuweka verse biblia ina kitabu ndani yake ambacho Muhammad alisema anakiamin na anaamini Mungu wa kitabu hicho , je unapingana nae?

muhammad akasema aletewa kitabu kinaitwa torah akaweka mkono juu ya kitabu akasema nakiamini na naamini alie kidhihirisha
...........Bring the Torah. It was then brought. He then withdrew the cushion from beneath him and placed the Torah on it saying: I believed in thee and in Him Who revealed thee ...... Sunan Abi Dawud 4449
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] mimi sijaona jibu ya maswali nilouliza ww ndo ulivo ukiulizwa maswali unajipitisha huku na huku embu nioneshe ilo jibu lko [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

UKRISTO SIO DINI
 
Hili ndio jibu langu

.... " But after a few days Waraqa died and the Divine Inspiration was also paused for a while and the Prophet (ﷺ) became so sad as we have heard that he intended several times to throw himself from the tops of high mountains... Sahih al-Bukhari 6982

nakupa maswali fikirishi wewe kama mwanafunzi wangu kwa sasa
1. kwa nini waraq alipokufa koran ikasiamama hapo hapo kuandikwa?
2. kwa nini muhammad alivyoona koran haiandikwi akataka kujitoa uhai?
Acha kujichetua kijana kwahiyo hapo ndiyo kuna kufukiliwa kaburi na ndiyo kuna aya za Qur'aan alizo andika Waraqah ?

Bado hujajibu maswali yangu.
 
Huyo Allah unaweza kuthibitisha yupo kweli na si hadithi za watu tu?
Kwanini unakimbia maswali yangu ?
Au unaambiwa kuthibitisha uongo mmoja si uongo, unaleta uongo wa pili ambao nao huwezi kuuthibitisha, ili uthibitishe uongo wa kwanza ambao hujauthibitisha?
Nimekupa kazi ukosoe nilicho kiandika umeshindwa mpaka muda huu.

Kipi nilicho shindwa kuthibitisha ?
Nimekwambia uthibitishe uchawi upo kweli na si hadithi za watu tu.
Labda uniambie sasa hivi kwamba unataka nithibitishe mara ngapi ?

Na wewe ulishindwa kuthibitisha kutokuwepo kwa uchawi na hili huwezi mpaka unakufa.
Unalwta habari za Allah ambaye na yeye kuwepo kwake hujathibitisha.
Hili nimeshalithibitisha zaidi ya mara kumi humu ndani na hakuna hata mmoja aliye wahi kuthibitisha kutokuwepo kwake.
Thibitisha uchawi upo kweli na kwamba habari za kuwepi uchawi si hadithi za watu tu.

Halafu, thibitisha Allah yupo kweli na kwamba habari za kuwepo kwakr si hadithi za watu tu.
Haya unataka nithibitishe mara ngapi ?

Labda nikuulize swali dogo sana kitu ili kiwepo kinatakiwa kikidhi sifa gani ?
 
Kwanini unakimbia maswali yangu ?

Nimekupa kazi ukosoe nilicho kiandika umeshindwa mpaka muda huu.

Kipi nilicho shindwa kuthibitisha ?

Labda uniambie sasa hivi kwamba unataka nithibitishe mara ngapi ?

Na wewe ulishindwa kuthibitisha kutokuwepo kwa uchawi na hili huwezi mpaka unakufa.

Hili nimeshalithibitisha zaidi ya mara kumi humu ndani na hakuna hata mmoja aliye wahi kuthibitisha kutokuwepo kwake.

Haya unataka nithibitishe mara ngapi ?

Labda nikuulize swali dogo sana kitu ili kiwepo kinatakiwa kikidhi sifa gani ?
Hujathibitisha uchawi upo, katika kuthibitisha uchawi upo, umejipa kazi nyingine ya kuthibitisha Allah yupo.

Mpaka sasa hujathibitisha uchawi upo wala Allah yupo.
 
Acha kujichetua kijana kwahiyo hapo ndiyo kuna kufukiliwa kaburi na ndiyo kuna aya za Qur'aan alizo andika Waraqah ?

Bado hujajibu maswali yangu.
Naona nakupiga nondo mpaka unachanganyikiwa , issue ya kaburi nilishakuwekea Aya inasema Allah na Muhammad huwa wanakubaliana jambo lao kabla ya kufanyika , inamaana kufukua kaburi ata kama ni Allah alifanya walishirikiana kukubaliana afukuliwe hilo limeshaisha , ILI la warak nimekujibu kwa maswali ukiweza yajibu ndio jibu lako
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] mimi sijaona jibu ya maswali nilouliza ww ndo ulivo ukiulizwa maswali unajipitisha huku na huku embu nioneshe ilo jibu lko [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

UKRISTO SIO DINI
Sasa kama Muhammad kasema anaamini kitabu na Mungu wa kitabu icho , wewe unauliza nini tena ? Nimekukanya Sana acha kumpinga Muhammad na Allah , la sivyo tangaza rasmi haupo uko ijulikane
 
Hujathibitisha uchawi upo, katika kuthibitisha uchawi upo, umejipa kazi nyingine ya kuthibitisha Allah yupo.

Mpaka sasa hujathibitisha uchawi upo wala Allah yupo.
Kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza ?
 
Naona nakupiga nondo mpaka unachanganyikiwa , issue ya kaburi nilishakuwekea Aya inasema Allah na Muhammad huwa wanakubaliana jambo lao kabla ya kufanyika , inamaana kufukua kaburi ata kama ni Allah alifanya walishirikiana kukubaliana afukuliwe hilo limeshaisha , ILI la warak nimekujibu kwa maswali ukiweza yajibu ndio jibu lako
Kijana hiyo aya nilikuweka wazi kwamba inawahusu waumini nikakuuliza huyo Mkristo ni Muumini (Muislamu) ?

Nasubiri majibu ya maswali yangu mawili.
 
Sasa kama Muhammad kasema anaamini kitabu na Mungu wa kitabu icho , wewe unauliza nini tena ? Nimekukanya Sana acha kumpinga Muhammad na Allah , la sivyo tangaza rasmi haupo uko ijulikane
Kijana huna hoja ww m nikiwaambia ukristo sio dini mnabisha nn sasa wkt maswali madogo tu ayo umeshindwa kuyajibu
 
Kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza ?
Kwa sababu kabla ya kufikia maswali yako unazusha maswali yangu unayotakiwa kujibu.

Nakuuliza uthibitishe uchawi upo, unanitajia maneno ya Allah kama uthibitisho.

Huyo Allah unaweza kuthibitisha yupo?
 
Back
Top Bottom