Chimbuko na Upotofu wa kanisa la Waadventista Wasabato

Chimbuko na Upotofu wa kanisa la Waadventista Wasabato

Maana yake Yeye ndiye pumziko halisi, siyo siku. Yeye ni boss wa pumziko, mtumaini Yeye Yesu Kristo, siyo siku. Mathayo 11:28 na Wakolosai 2:16-17
Unataka utuambie mitume wametembea na Yesu muda miaka 3.5 hawakumwelewa Yesu ila wewe ndo umemuelewa?Maana wao waliendelea kuitunza sabato maisha yao yote(matendo 16:13)
 
Madhehebu yote ni taasisi zenye malengo kama taasis zingine za kidunia na lengo kuu haswa ni influence na power juu ya washirika/ wanachama wake (kama kilivyo chama cha siasa), wengi wetu tumezaliwa humo na namna ya kuamini na kuabudu ni utamaduni wa taasisi husika na wanachama wake wanahimizwa na kufundishwa kushika tamaduni hizo ili waendelee kubaki ndani ya taasisi hiyo. Ukivuka ukaenda kwa Budhism au Hinduism ni mfumo tofauti kabisa unaweza kusema wamerogwa. La hasha ndo wanavyoamini, so who am i to judge?

Hakuna dhehebu/dini lililo sahihi au teule kuliko mengine. Ukielewa hili utaenda kanisani kwako au msikitini au chini ya mti au hekaluni utasali ulivyoaminishwa then utaendelea ku-ball na maisha yako bila stress. MUNGU hajui DINI.
MUNGU ni WA utaratibu bwa shee.Na utaratibu wake ni mmoja kwa kila mwanadamu.Hajawahi kutoa amri tofauti kwa kila taifa.Mungu asiye na utaratibu hiyo sio MUNGU,mtwange talaka uje kwa MUNGU mwenye utaratibu wa aina moja tangu Adam hadi Mwisho wa dunia.
 
Hakunaga ktu kama dhambi ya kuifanya kwa akili au utakatifu wa kuufanya kwa akili, ikishafika hapo basi ni mambo ya ujanja ujanja wala hakuna uhalisia, ndipo sa mkaambiwa hyo ni kivuli ila mna ing'ang'ania, ni sawa na mtu akwambie zini kwa akili, au muheshimu mzazi kwa akili, au mpenda Mungu kwa Roho yako yote kwa akili ,..cheif huo ni ujanja ujanja, Kitendo cha Yesu kuruhusu vitendo vya kuivunja sabato ni literally aliruhusu ivunjwe.
Kwa hiyo Yesu baada ya kuivunja sabato kwa mujibu wa uelewa wako alikuambia uitunze siku ipi?Wewe kuing'ang'ania jumapili,ndivyo alivyokuambia Yesu?Kama ni siku yoyote kwa nini kila kanisa linsikumbatia jumapili tu na isiwe jumatatu?Kuna nini kwenye jumapili? Jumamosi iltamkwa na MUNGU mwenyewe,jumapili ilitamkwa na nani?Na mfalme Constantine wa Rumi mwaka 321 A.D(bustani ya katekista).Huyo ndo Yesu?
 
Read again nilichoandika usijizime data, nimesema hata utakatifu wa akili uwa haupo, utakatifu ndio akili yenyewe, ukiona mpaka uongezee viakili akili ndio uwe utakatifu ujue hakuna utakatifu hapo, eti Mpende Yesu kwa akili ,hakuna ktu kama hko, halafu mbinguni wapi kutakuwa na siku ya sabato embu lete hlo andiko hapa tulisome, Kule hakuna usiku wala mchana kwa kifupi ni umilele hakuna days, na hata zingekuwepo u a uhakika gani kuwa itakuwa sabato hii ya jmosi mnayoabudu ninyi?Maana hata hii mnayoiabudu leo hamjui kama ndie yenyewe halisi ,mnatumia kalenda ya waroma then mnadai hamuwataki waroma, unadhani hizi siku za calendar ya Gregorian ndio hizi zilizokuwako mwanzo?
Toa na andiko ili kuipa nguvu hoja yako.Sabato itaendelea kutunzwa mbinguni(Isaya 66:22-24)
 
Halafu unaelewa maana ya kutimiza kweli, au unatembelea tuu tafsiri ulizokalilishwa na Ellen white sababu aliwaambia alipelekwa mbinguni kutafsiriwa maandiko? Kama hakuja kubadili imekuwaje sahv hamuombi toba kwa kutumia kafara za wanyama kama ilivyoamrishwa katika torati? Mbona sheria za uzinzi zilibadilishwa na kuboreshwa sasa hata kuangalia kwa kutamani tuu ni uzinzi? Kasome vzuri Bible yako utagundua maana ya kutimiza ni kuiboresha kwahyo badala ya kushika sabato kivuli umeletewa sabato halisi zaidi inayoshikika ambayo ni Yesu, hyo yenu ya siku kwanza hata kushika hamuwezi mnajifanya mnaitunza lakini in reality hamfuati hata nusu ya inavyopaswa, sasa hko ni kujichoshaa
Mi nataka andiko Yesu anasema;"badala ya kuitunza sabato mnitunze Mimi".Likiwepo naenda kusomea upadri
 
Yesu sio sabato ukimaanisha nini? Sabato ni pumziko naye anasema njoeni kwangu mpumzike, pia kusema yeye ni Bwana wa sabato means no zaidi ya hyo sabato maana ni ktu halisi zaidi ya hlo kivuli, sasa kama una ktu zaidi ya sabato kuna ulazima gani wa kushika kilicho chini yake?, yupi mwenye faida anaeishika siku au anaemshika mwenye siku?, na usijidanganye hakuna anaeweza tumikia mabwana wawili, yaani ushike Siku kivuli na umshike Yesu mwenye siku, never...ndi maana wasabato wengi ukiwaangalia ni kama hawana Yesu kabisa wanatumia tuu nguvu kutembea ukristo ambao uwa unawaacha solemba.
Tatizo lako ukristo unayoizungumzia wewe ambao umetuacha solemba ni huo ukristo wa wazungu ambao ndiyo mnaoufuata.Huo kwa kweli acha utuache solemba.Tunawaachia nyie.Sisi ukristo wetu umejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii(efeso 2:20).
 
Na Musa hajawahi kuwa na sheria zake, etii sheria za Musa[emoji1787]..seriously, Zote alikuwa anaagizwa na Mungu sio kujitungia, anyways..kama umeshagundua sio lazima kwenda kanisani siku hyo, umeanza kuongoka wewe mdogo mdogo tutafika tuu, nasikia mmeshaanza kukanyagana wenyewe huko makanisani mwenu yaani mmegawanyika kama mawimbi ya bahari, hii no baada ya kugundua mnayoyaagiza hayashikiki na nuru kuanza kuwaingia taratibuu.
Nuru ya kuabudu sanamu!!!Hiyo kaeni nayo nyie.Sijui umeliona kanisa la wapi wewe!Faraka lazima itokee kwa wanaotunza mafundisho ya kweli ya MUNGU.Shetani hana habari na wavunja amri za ZMUNGU,maana hao tayari ameshawateka ni wa kwake.Ila ana vita na waaminifu kwa amri za MUNGU Ili awakamate kama alivyowakamata wengine.Na anaingiza mapandikizi wengi sana.Lakini MUNGU ameahidi kuwalinda waaminifu wake.
 
samahan, wayahudi wanasali dini gani?
Uyahudi ni dini inayojitegemea.Uyahudi ni dini,Lkn pia ni taifa.Uyahudi hauamini agano jipya.Wao wanaamini vitabu vyote vya agano la kale tu.
 
...ebu naomba fungu linalosema jumamosi ni sabato au jumapili
Hakuna andiko la moja kwa moja linalosema sabato ni jumamosi.Biblia imetaja siku ya maandalio,inafuata sabato,inakuja siku ya kwanza baada ya sabato(Luka 24:1).Biblia ya kiswahili Cha kisasa iliyotafsiriwa kwa ushirikiano wa wakatoliki kwa waprotestant INASEMA Yesu alifufuka alfajiri ya jumapili baada ya sabato(Luka 24:1),Kiswahili Cha zamani inasema hiyo ni siku ya kwanza ya juma.Siku aliyokufa Yesu biblia inasema ni siku ya maandalio na sabato ikaanza kuingia,wakitoa mwili,wakaenda kuuzika,kisha wapumzika siku ya sabato kama ilivyoamriwa(Luka 23:52-54). Kiswahili Cha kisasa inasema siku hiyo ilikuwa ijumaa na sabato ilikuwa inaingia.Kama wiki Ina siku 7,jumapili ni siku ya kwanza,ijumaa siku maandalio ya sabato,na sabato ni siku ya saba,haihitaji elimu ya chuo kikuu kufahamu siku ya 7 ni ipi.Quran yenyewe ndo imetamka waziwazi,sabato ni jumamosi,siku tukufu,yenye hishima(Quran 4:154,7:163,2:65,16:124).
 
Hakuna andiko la moja kwa moja linalosema sabato ni jumamosi.Biblia imetaja siku ya maandalio,inafuata sabato,inakuja siku ya kwanza baada ya sabato(Luka 24:1).Biblia ya kiswahili Cha kisasa iliyotafsiriwa kwa ushirikiano wa wakatoliki kwa waprotestant INASEMA Yesu alifufuka alfajiri ya jumapili baada ya sabato(Luka 24:1),Kiswahili Cha zamani inasema hiyo ni siku ya kwanza ya juma.Siku aliyokufa Yesu biblia inasema ni siku ya maandalio na sabato ikaanza kuingia,wakitoa mwili,wakaenda kuuzika,kisha wapumzika siku ya sabato kama ilivyoamriwa(Luka 23:52-54). Kiswahili Cha kisasa inasema siku hiyo ilikuwa ijumaa na sabato ilikuwa inaingia.Kama wiki Ina siku 7,jumapili ni siku ya kwanza,ijumaa siku maandalio ya sabato,na sabato ni siku ya saba,haihitaji elimu ya chuo kikuu kufahamu siku ya 7 ni ipi.Quran yenyewe ndo imetamka waziwazi,sabato ni jumamosi,siku tukufu,yenye hishima(Quran 4:154,7:163,2:65,16:124).
sasa mbona watu wanarukaruka kumbe inajulikana!
 
Uyahudi ni dini inayojitegemea.Uyahudi ni dini,Lkn pia ni taifa.Uyahudi hauamini agano jipya.Wao wanaamini vitabu vyote vya agano la kale tu.
kwahyo wao hawamwamini yesu na wanafunzi wake?
 
Kwa hiyo Yesu akiwa BWANA wa sabato(mwenye sabato) ndo kasema tusiitunze!Mimi nimepanga kwenye nyumba ya Juma.Juma anakula ananiambia;"mimi ndiye bwana wa nyumba hii.",ndo kaniambia niondoke?Nyie watu mbona shida sana!
Kila mtu ana mtazamo na uelewa wake. Ndiyo maana Biblia ni moja lakini madhehebu tofauti ni mengi mno kwa kuwa kila mtu au watu fulani wana uelewa tofauti. Naheshimu mtazamo wako hata kama sikubaliani nao.

Kwangu mimi sabato ni pumziko baada ya kuwekwa huru na Yesu mbali na dhambi. Pumziko lenyewe ni Yesu mwenyewe, si siku. Soma Mathayo 11:28 na Wakolosai 2:16-17
 
Unataka utuambie mitume wametembea na Yesu muda miaka 3.5 hawakumwelewa Yesu ila wewe ndo umemuelewa?Maana wao waliendelea kuitunza sabato maisha yao yote(matendo 16:13)
Mimi sijaokolewa na mtu yeyote isipokuwa Yesu Kristo pekee. Sifuati mitume, namfuata Yesu. Uko huru unavyoamini na naheshimu hilo maana ni uchaguzi na uelewa na wako. Hulazimiki kuelewa kama mimi, kama ambavyo silazimiki kufuata uelewa wako. Uwe na amani katika hilo kwa kukubali kutofautiana.
 
Samahani, waislam wanasali dini gani?
sijui ila huwa naona wanaingia msikitini... Af mim nimeuliza wayahudi Maana ni watu wa Taifa kama Watanzania... Waislamu nahis ni uislamu
 
Hakuna msabato anayesema huyu ni bora kuliko huyu.Yesu mwenyewe alikataa mama yake kuitwa bora.Akasema mbora ni yule anayeyasikia maneno ya MUNGU na kuyafuata.
Kwa hiyo huyo mama yenu Hellen G white na Mariamu mama wa Yesu wanafanana?
 
Mngeiandika nyie unadhanikungekuwa na mabishano?Biblia nzima ingejaa jina papa kama baba mtakatifu,ibada za wafu mnaowaita watakatifu,race iliyobalikiwa ingekuwa Waitaliano,mji mtakatifu ingekuwa Vatican badala ya Yerusa,sabato ingekuwa jumapili badala ya jumamosi,n.k.Lakini Biblia imeandikwa na manabii na mitume kwa kuongozwa na Roho mtakatifu(2 Petro 1:20-21).Angalia Maajabu ya MUNGU Sasa!!Wakati wa utawaka wa waroma(THE GREAT ROMAN EMPIRE),walihakikisha hakuna mwanadamu mwenye kusoma biblia.Mungu akaanzisha ile siku hizi mnasema mchawi mpe mwanao akulelee.Mungu akaruhusu maandiko yake yatunzwe na adui yake(RONAN).Hawakuondoa wala kuongeza hata nukta!Walichofanya ni kuweka vitabu vingine vya kihistoria mbele yake tu mfano makabayo,Jude,yoshua bin sira,hekima ya Suleiman n.k.
The Seventh-day Adventist Church officially began on May 21, 1863. John Byington (1798–1897), James White (1821–1881), and John N. Andrews (1829–1883) were the first presidents of the General Conference.

Dini yako imeanzishwa may 21 1863
Imeikuta Biblia tayali imeandikwa na wakatoliki. Ndio maana nasema nyie wasabato hamjielewi. Haya nijibu hiyo Biblia unayosoma nani kaandika kwa sababu Dini ya kwanza ya Kikristo ni ukatoliki hayo madhebu yote yamejiengua kutoka katika ukatoliki hata wenzako wanakiri kwamba walijiengua kutoka katika Dini ya kwanza ya ukatoliki kwa sababu mbalimbali.

Na wakatoliki wanavitabu vingi sana hakuna kitabu kazungumziwa Pope. Alafu wakatoliki wamebezi zaidi katika mafundisho na sio kumsema mtu au kumsifia either kutokana na cheo chake au imani yake.
Nyie mafundisho yenu na ibada zenu kila siku ni kusema wakatoliki kwa kanisa katoliki huwezi kukuta huo upuuzi hata siku moja mfano kanisa katoliki lina katekisimu,Chuo kidogo cha sala, sheria za kanisa, Shajara na vingine vingi kati ya hivyo vyote hakuna kitabu ametajwa Pope. Unajua kwamba Pope wa kwanza alikuwa Petro?
 
Back
Top Bottom