Chimbuko na Upotofu wa kanisa la Waadventista Wasabato

Chimbuko na Upotofu wa kanisa la Waadventista Wasabato

Nafikri, wanaapa ili iwasaidie kulinda uaminifu wao kwa Mungu katika kushika Sheria zake hasa ya sabato.

Huku wamesahau kwamba Neno la Mungu linasema usiape kwa chochote.
Huku wamesahau pia kuwa kama unategemea torati, umelaaniwa kwa sababu huwezi kuitimiza:

Wagalatia 3:8
Na andiko, kwa vile lilivyoona tangu zamani kwamba Mungu atawahesabia haki Mataifa kwa imani, lilimhubiri Ibrahimu habari njema zamani, kusema, Katika wewe Mataifa yote watabarikiwa.

Wagalatia 3:9
Basi hao walio wa imani hubarikiwa pamoja na Ibrahimu aliyekuwa mwenye imani.

Wagalatia 3:10
Kwa maana wale wote walio wa matendo ya sheria, wako chini ya laana; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu asiyedumu katika yote yaliyoandikwa katika kitabu cha torati, ayafanye.

Wagalatia 3:11
Ni dhahiri ya kwamba hakuna mtu ahesabiwaye haki mbele za Mungu katika sheria; kwa sababu Mwenye haki ataishi kwa imani.

Asante kwa ufafanuzi zaidi! Hope hakuna muadventista msabato anayeweza kutoka kwenye hoja kama hizo akaja na majibu nimeuliza kwa waumini nikakosa makini nikapanda kwa wainjilisti nako nikakosa nikasogea pia kwa wachungaji wa kisabato napo hapakuwa na majibu so nini kimejificha zaidi kwenye imani hii ya seventh day adventist ?

Bado nakosa majibu ya maswali kadhaaa

Moja wapo ni kupinga kuweka alama za vitu kwenye dhehebu hili japokuwa wameweka kwa siri tena yazidi hata walioweka wazi?

Tazama nembo ya kanisa la wasabato kuna msalaba uliogeuzwa chini juu na hii inaonyesha miungu ya kale ya misri yaani mungu baal


Lakini pia watapinga hilo lakin bila majibu, mwanzo hawakuwa wanaweka msala kwenye nembo hizo na hata makanisa ya kiadventist wasabato wanawek msalaba kuelezea kwamba ni kanisa na wanapinga hilo la msalaba


Lakini kwenye nembo wameweka msalaba wa siri wenye maana nyingine tofaut na kawaida ya msalaba wa kristo

IMG_4867.png



Kipi wanachoficha nyuma ya pazia kwenye dhehebu hili lenye kujiaminisha kwamba ni kanisa teule na kusahau kwamba kanisa (hekalu) ni mwili wako na Mungu akaaye ndani yako?

Kiukweli napata ukakasi zaidi kuona na kuambiwa nikiwa masabato basi nina ticket ya kwenda mbinguni huku mafundisho tu yanakinzana pakubwa na biblia yenyewe
 
Asante kwa ufafanuzi zaidi! Hope hakuna muadventista msabato anayeweza kutoka kwenye hoja kama hizo akaja na majibu nimeuliza kwa waumini nikakosa makini nikapanda kwa wainjilisti nako nikakosa nikasogea pia kwa wachungaji wa kisabato napo hapakuwa na majibu so nini kimejificha zaidi kwenye imani hii ya seventh day adventist ?

Bado nakosa majibu ya maswali kadhaaa

Moja wapo ni kupinga kuweka alama za vitu kwenye dhehebu hili japokuwa wameweka kwa siri tena yazidi hata walioweka wazi?

Tazama nembo ya kanisa la wasabato kuna msalaba uliogeuzwa chini juu na hii inaonyesha miungu ya kale ya misri yaani mungu baal


Lakini pia watapinga hilo lakin bila majibu, mwanzo hawakuwa wanaweka msala kwenye nembo hizo na hata makanisa ya kiadventist wasabato wanawek msalaba kuelezea kwamba ni kanisa na wanapinga hilo la msalaba


Lakini kwenye nembo wameweka msalaba wa siri wenye maana nyingine tofaut na kawaida ya msalaba wa kristo

View attachment 2762659


Kipi wanachoficha nyuma ya pazia kwenye dhehebu hili lenye kujiaminisha kwamba ni kanisa teule na kusahau kwamba kanisa (hekalu) ni mwili wako na Mungu akaaye ndani yako?

Kiukweli napata ukakasi zaidi kuona na kuambiwa nikiwa masabato basi nina ticket ya kwenda mbinguni huku mafundisho tu yanakinzana pakubwa na biblia yenyewe
Ama kweli mkuu ni mengi ya kujiuliza. Ila kipimo ni maneno ya Yesu.
Mwisho wa siku Yesu atajulikana kwa wote
 
KUTOKA 20:7.

[7]Usilitaje bure jina la BWANA, Mungu wako, maana BWANA hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.

Unapaswa utaje jina la Mungu wako ikiwa una sababu maalum na uko katika usahihi (ukweli) kwa 100%, kinyume na hapo utakuwa umetenda dhambi mana Mungu ni kweli na kamwe huwa hachangamani na uwongo.

Kumbuka Baba wa uwongo ni shetani tangu bustanini Eden.
Unamaanisha nini maana umeninukuu ila hujajibu nilichouliza
 
Hilo hadi ufike mwisho ushasahau ulichopata mwanzo.
Anyway Huo ni upotoshaji wa wasabato kwa mujibu wako, lipi ni dhehebu la kweli lisilo na dosari twende?
Madhehebu yote ni mpango wa shetani na ameweka mbegu zake kwenye kila dhehebu
 
Mimi ukinijibu kuhusu viapo vya ubatizo nitakuona wamaana sana na kukusikiliza vzr
Viapo vipo tangu enzi na enzi.

Zile amri za Mungu ni kiapo pia. Na watu walimwasi Bwana baada ya kukiuka maelekezo na viapo vyao.
 
Asante kwa ufafanuzi zaidi! Hope hakuna muadventista msabato anayeweza kutoka kwenye hoja kama hizo akaja na majibu nimeuliza kwa waumini nikakosa makini nikapanda kwa wainjilisti nako nikakosa nikasogea pia kwa wachungaji wa kisabato napo hapakuwa na majibu so nini kimejificha zaidi kwenye imani hii ya seventh day adventist ?

Bado nakosa majibu ya maswali kadhaaa

Moja wapo ni kupinga kuweka alama za vitu kwenye dhehebu hili japokuwa wameweka kwa siri tena yazidi hata walioweka wazi?

Tazama nembo ya kanisa la wasabato kuna msalaba uliogeuzwa chini juu na hii inaonyesha miungu ya kale ya misri yaani mungu baal


Lakini pia watapinga hilo lakin bila majibu, mwanzo hawakuwa wanaweka msala kwenye nembo hizo na hata makanisa ya kiadventist wasabato wanawek msalaba kuelezea kwamba ni kanisa na wanapinga hilo la msalaba


Lakini kwenye nembo wameweka msalaba wa siri wenye maana nyingine tofaut na kawaida ya msalaba wa kristo

View attachment 2762659


Kipi wanachoficha nyuma ya pazia kwenye dhehebu hili lenye kujiaminisha kwamba ni kanisa teule na kusahau kwamba kanisa (hekalu) ni mwili wako na Mungu akaaye ndani yako?

Kiukweli napata ukakasi zaidi kuona na kuambiwa nikiwa masabato basi nina ticket ya kwenda mbinguni huku mafundisho tu yanakinzana pakubwa na biblia yenyewe
Hii nembo hiyo juu chini unaichora kuanzia wapi? Yapi maswali magumu hata sisi tunaosoma bibloa tusikujibu ? Yaweke au ni tag kabisa
 
Viapo vipo tangu enzi na enzi.

Zile amri za Mungu ni kiapo pia. Na watu walimwasi Bwana baada ya kukiuka maelekezo na viapo vyao.

Sasa tunaanza kuchekesha amri ni kiapo? Duh usabato unakupeleka puta mkuu
 
Mkuu nahisi wewe ni
Mkurupukaji kweupe kabisa embu kasome na kafanye utafiti zaidi utaoata majibu ya mambo yote
 
Mara yako ya mwisho kusoma baibo ni lini chifu
Hakuna haja ya kukupa ratiba yangu au mimi kupata yako. Endelea kwa amani na uelewa au uchaguzi wako. Naomba Mungu akujalie upendo na heshima kwa unaotofautiana nao - na hata maadui, wajinga na wenye dhambi, pia wapende na kujali utu wao. Usimdharau mtu yeyote!
 
Si Wasabato tu mambo ya Imani yamekuwa ya kifundishwa kwa kukaririsha wahusika huku wakiwa wanatishwa. Kwa hiyo wengi hawajiulizi wala kutafakari kile wanacho ambiwa wakifundishwa. Matokeo yake wanakuwa madodoki ya kufyonza kila kitu kasisi au kiongozi wake wa imani anachosema.

Kwa Ukristo si hivyo. Bwana Yesu alisema wazi kuhusu siku za mwisho na manabii wa uongo. Kuhusu kuzijaribu roho nk. Na alijua mwanadamu peke yake hawezi kushindana na shetani na hila zake. Ndiposa akatuletea msaidizi wa karibu, Roho Mtakatifu/Roho wa Mungu/ Roho wa Kristo/ Roho wa Kweli. Roho Mtakatifu anaishi ndani ya kila muumini aliye mpokea Bwana Yesu akabatizwa.
Na katika Neno lake akasema wazi Mungu ni Roho nao wamuabuduo humuabudu katka Roho na Kweli.
Mmh!
 
Kila mtu ana mtazamo na uelewa wake. Ndiyo maana Biblia ni moja lakini madhehebu tofauti ni mengi mno kwa kuwa kila mtu au watu fulani wana uelewa tofauti. Naheshimu mtazamo wako hata kama sikubaliani nao.

Kwangu mimi sabato ni pumziko baada ya kuwekwa huru na Yesu mbali na dhambi. Pumziko lenyewe ni Yesu mwenyewe, si siku. Soma Mathayo 11:28 na Wakolosai 2:16-17
Biblia haitafsiriwi kama upendavyo wewe (2 Petro 1:19-20)
 
Mimi sijaokolewa na mtu yeyote isipokuwa Yesu Kristo pekee. Sifuati mitume, namfuata Yesu. Uko huru unavyoamini na naheshimu hilo maana ni uchaguzi na uelewa na wako. Hulazimiki kuelewa kama mimi, kama ambavyo silazimiki kufuata uelewa wako. Uwe na amani katika hilo kwa kukubali kutofautiana.
Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii,naye Kristo Yesu ni jiwe kuu la pembeni(Efeso 2:20).Sasa kama imani yako sio ile ya mitume na manabii basi ni wazi uko mbali sana na Yesu ila hujatambua.Mungu akusaidie kuelewa
 
Kwa hiyo huyo mama yenu Hellen G white na Mariamu mama wa Yesu wanafanana?
Mmoja ni mjumbe wa MUNGU,na mwingine ni mama wa Yesu.Lakini wote ni wanawake na wana haki sawa mbele za MUNGU,kwa maana wote wapo kaburini hadi Yesu atakapokuja kuwafufua.Ikiwa walikufa wakiwa katika matendo mema watapata uzima wa milele,na kama walitenda maovu watapata adhabu ya mauti ya milele.Sijui wewe unasemaje
 
The Seventh-day Adventist Church officially began on May 21, 1863. John Byington (1798–1897), James White (1821–1881), and John N. Andrews (1829–1883) were the first presidents of the General Conference.

Dini yako imeanzishwa may 21 1863
Imeikuta Biblia tayali imeandikwa na wakatoliki. Ndio maana nasema nyie wasabato hamjielewi. Haya nijibu hiyo Biblia unayosoma nani kaandika kwa sababu Dini ya kwanza ya Kikristo ni ukatoliki hayo madhebu yote yamejiengua kutoka katika ukatoliki hata wenzako wanakiri kwamba walijiengua kutoka katika Dini ya kwanza ya ukatoliki kwa sababu mbalimbali.

Na wakatoliki wanavitabu vingi sana hakuna kitabu kazungumziwa Pope. Alafu wakatoliki wamebezi zaidi katika mafundisho na sio kumsema mtu au kumsifia either kutokana na cheo chake au imani yake.
Nyie mafundisho yenu na ibada zenu kila siku ni kusema wakatoliki kwa kanisa katoliki huwezi kukuta huo upuuzi hata siku moja mfano kanisa katoliki lina katekisimu,Chuo kidogo cha sala, sheria za kanisa, Shajara na vingine vingi kati ya hivyo vyote hakuna kitabu ametajwa Pope. Unajua kwamba Pope wa kwanza alikuwa Petro?
1-Biblia haikuandikwa na wakatoliki,soma(2 Petro 2:20-21).Vinginevyo ulete ushahidi wa kimaandiko utoe mfano wa kitabu hata kimoja tu kinachosema mwandishi wa kitabu hiko alikuwa mkatoliki.
2-Petro hajui upapa.Toa andiko linalosema Petro alikuwa papa wa kwanza.Toa kwenye sio mapokeo.Maana mapokeo ni uzushi.
3-Sisi hatuchambui kanisa lolote,tunachambua biblia.mfano;ufunuo 18:8 inasema;"Baada ya hayo naliona malaika mwingine,akishuka kutoka mbinguni, mwenye mamlaka kuu;na nchi ikaangazwa kwa utukufu wake.Akalia kwa sauti kuu,akisema,umeanguka, umeanguka Babeli ule mkuu;umekuwa maskani ya mashetani,na ngome ya kila ndege mchafu mwenye kuchukiza;Kwa kuwa mataifa yote wamekunywa mvinyo ya ghadhabu ya uasherati wake,na wafalme wa nchi wamezini naye na wafanya biashara wa nchi wamepata mali kwa nguvu za kiburi chake.Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni,ikisema,Tokeni kwake,enyi watu wangu,msishiriki dhambi zake,wala msipokee mapigo yake."Sasa ukisoma biblia toleo la kujifunza,utaona kwenye maelezo ya ufafanuzi pale chini wanasema;"mzizinzi mkuu ni Roma".Na hii biblia imetafsiriwa katika kiswahili cha kisasa na wakatoliki wenyewe.Sisi kazi yetu ni kusoma na kuhubiri tu kwa watu ili waielewe Babeli watoke kama MUNGU anavyowaambia Ili wasishiriki mapigo yake.Sasa kama inapohubiriwa hii aya wewe unachukia badala ya kutafakari anachokueleza MUNGU basi wewe sio wa MUNGU.Hii inawahusu watu wa MUNGU tu.Wewe unasema tunakuponda!Kwa taarifa yako;wenye kanisa wanajua.Wanaelewa na ukweli wanao.Ukiutaka ukweli wanakupa ukiutaka uongo wanakupa.Hata Kuhusu kuhamisha utakatifu wa sabato kutoka jumamosi kwenda jumapili wao wenyewe ndiyo wanasema.Ukihitaji ushahidi niambie nikupe ukamsome kiongozi wako(papa) anavyosema.
4-Wasabato hawajawahi kuwa wakatoliki.Labda unawazungumzia walutheran.Wasabato walikwepo tangu uumbaji(mwanzo 2:1-3).Warumi walipotawala wakawaua wasabato wengi akiwemo Petro na Paulo.Hao waliuawa pale pale Roma.Wasabato wakapotea kwa muda wa miaka 1260(DANIEL 7:25, UFUNUO 13:5-6). Wasabato wakarudi tena kuanzia 1798 hadi Sasa,na wataendelea hadi Yesu anarudi.Ndipo wakajiita wanaongojea ujio wa Yesu(WAADVENTISTA WASABATO).So hili jina ndo lilianza mwaka 1845,sabato ilikuwepo tangu uumbaji.Mitume na manabii wote walikuwa Wasabato.
 
Kwa ujumla dini za sabato yehova ni dini za upotoshaji na utapeli mwingi sana, ndiyo maana hata hazina wafuasi wengi hapa duniani! Akina Elllen white na wenzie wamewaingiza wasabato mkenge hadi leo, ndiyo maana wengi wamechanganyikiwa. Wengine waliwahi kukaa pale Airport Dar kwa siku kadhaa (wasabato masalia) wakidai wanakwenda Iraq kwa kutumia biblia ( ndiyo passport yao), lakini serikali ikawaacha na imani yao potofu, wakaja wakakurupushwa na njaa na kusambaratika huku wakiacha vinyesi kila mahala pale walipokuwa wanalala.
Mi nilidhani ungetoa maandiko kuonyesha Wasabato wamepotea ila wewe na dini yako ndo mko sahihi kwa mujibu wa Biblia!
 
Back
Top Bottom