China ataiua US kwa presha, katangaza Kirin 9006C(chip) ya 5nm tech

China ataiua US kwa presha, katangaza Kirin 9006C(chip) ya 5nm tech

Anayebeza uwezo wa Marekani akamuulize Chifu Hangaya kwa nini alikwenda kuzindua Royal Tour kule Marekani na si Saudi Arabia, Dubai ama China ?
 
Baada ya miaka 2 ijayo Taiwan atafunga kiwanda maana China ndo atakuwa producer mkubwa wa chips dunia kwa bei ya chini kwa hiyo makapuni mengi yatahamia huko chips za USA itabudi abaki kwake au apikie chips
India nae ameingia, Singapoor, vietnam nk.
Chip teknology huenda ikawa kama car teknology ambayo dunia nzima kuna viwanda vya magari.
Sipendi monopolization of technology, huwa nashangaa kuona watu humu wanafurahia hizo teknolojia kubaki kwa wazungu wachache hasa USA.
Ukweli ni kwamba jeuri ya wazungu ipo kwenye hio teknolojia.
Dunia ya leo kumekuwa na technology race hakuna tech dominance. Leo AI, Quantum technology, Inaibuka kila angle ya dunia sio USA tu.
Ni Africa tu bado inasuasua japo kuna mwamko na kujitafuta.
 
Maisha ya waafrika yameboreka kutokana na kukua kwa china kiteknolojia. China isingekuwa boda boda tunazoziona zingekuwa hazipo.
Mabasi, malory nk yamewezesha TRANSPORTATION Kuwa simple in the world.
Leo nilikuwa naangalia makala moja inaeleza jinsi China inavyoongoza kuuza Truck Duniani.
Mchambuzi ameeleza kuwa truck za China zinapendwa zaidi duniani kutokana na efficieny of the engine.
Wakati watanzania wasiounda hata sindano wanabeza uwezo wa China wazungu wana appreciate uwezo wa China na kumeweka kama mshundani wa kweli.
Waafrika tungekuwa na akili tungejifunza kiundani vipi China imeeweza ndani ya miongo kadhaa badala ya kubeza vitu tusivyoviweza hata kidogo.
Tumeishi na wazungu miaka mingi lakini hakuna cha maana tulichoweza.
Kwa muda mfupi wa kuibuka kwa China Afrika imepiga hatua kubwa sana kila sekta.
Tukikubaliana na China tunaweza piga hatua kubwa sana zaidi ya tulipo
 
Maisha ya waafrika yameboreka kutokana na kukua kwa china kiteknolojia. China isingekuwa boda boda tunazoziona zingekuwa hazipo.
Mabasi, malory nk yamewezesha TRANSPORTATION Kuwa simple in the world.
Leo nilikuwa naangalia makala moja inaeleza jinsi China inavyoongoza kuuza Truck Duniani.
Mchambuzi ameeleza kuwa truck za China zinapendwa zaidi duniani kutokana na efficieny of the engine.
Wakati watanzania wasiounda hata sindano wanabeza uwezo wa China wazungu wana appreciate uwezo wa China na kumeweka kama mshundani wa kweli.
Waafrika tungekuwa na akili tungejifunza kiundani vipi China imeeweza ndani ya miongo kadhaa badala ya kubeza vitu tusivyoviweza hata kidogo.
Tumeishi na wazungu miaka mingi lakini hakuna cha maana tulichoweza.
Kwa muda mfupi wa kuibuka kwa China Afrika imepiga hatua kubwa sana kila sekta.
Tukikubaliana na China tunaweza piga hatua kubwa sana zaidi ya tulipo
Mkuu, watu wanachopinga hapa sio China kuwa juu kiteknolojia na of course China ipo vizuri sana kwenye teknolojia

Watu wanachopinga ni kumpraise sana Mchina juu ya Mmarekani. Hatukatai China iko vizuri kiteknolojia ila kubali, wameachwa mbali na Marekani
 
Mkuu, watu wanachopinga hapa sio China kuwa juu kiteknolojia na of course China ipo vizuri sana kwenye teknolojia

Watu wanachopinga ni kumpraise sana Mchina juu ya Mmarekani. Hatukatai China iko vizuri kiteknolojia ila kubali, wameachwa mbali na Marekani
Vikwazo vya US havifanyi kazi. Yani china kampiga tobo asubuhi na mapema na kuchukua kole alichokuwa anajaribj kumzuia kuchukua.
 
Mkuu, watu wanachopinga hapa sio China kuwa juu kiteknolojia na of course China ipo vizuri sana kwenye teknolojia

Watu wanachopinga ni kumpraise sana Mchina juu ya Mmarekani. Hatukatai China iko vizuri kiteknolojia ila kubali, wameachwa mbali na Marekani
Kwenye baadhi ya mambo tu
5G china ipo mbali zaidi ya marekani.
Mimi sioni faida yoyote ya teknolojia za marekani zaidi ya kutumia Google
Madawa tunatumia ya India, electronics za Mchina na Korea, vyombo vya mchina, magari, boda, Solar nk nk . Nchi ilioshindwa kutatua matatizo bali kuongeza matatizo kwa Binadamu niifagilie ili iweje ?
China ni solution ya matatizo wakati USA ni accelerator.
Teknolojia za West sio msaada kwa third world bali ni siraha ya kunyonya.
Tunafurahia kuona kila teknolojia iliopo west inafikiwa na China, China anajua kuishi na wanyonge.
Zamani tulikuwa tunatumia mafuta ya taa wakati ulaya wanazo teknolojia za sola ila hawakutaka kuunda solar kwa mtu wa chini, ilopokuja China wameunda solar kwa kila kundi la binadamu leo mafuta ya taa yamepotea yenyewe.
Bila mchina mpaka leo mafuta ya taa yangekuwepo ila mpo blind/brain washed kwa sababu ya ukoloni mliomezeshwa kuona mzingu ndio kila kitu duniani.
Kila sekta hapa Africa imebadirika kwa sababu ya teknolojia ya mchina sio mzungu.
Mzungu anapenda yeye apande gari wewe utembee kwa miguu( sasa hivi waafrika hatutrmbei tena kwa miguu kwa sababu ya China).
Mungu awazidishie wachina wafikie kilele cha mafanikio.

White man Hegemony is Over.
Kizazi cha sasa hivi kinamuelewa mchina sio mzungu.
Ni kitu gani ambacho USA wanafanya China hawafanyi ? hebu orodhesha hapa.
 
Maisha ya waafrika yameboreka kutokana na kukua kwa china kiteknolojia. China isingekuwa boda boda tunazoziona zingekuwa hazipo.
Mabasi, malory nk yamewezesha TRANSPORTATION Kuwa simple in the world.
Leo nilikuwa naangalia makala moja inaeleza jinsi China inavyoongoza kuuza Truck Duniani.
Mchambuzi ameeleza kuwa truck za China zinapendwa zaidi duniani kutokana na efficieny of the engine.
Wakati watanzania wasiounda hata sindano wanabeza uwezo wa China wazungu wana appreciate uwezo wa China na kumeweka kama mshundani wa kweli.
Waafrika tungekuwa na akili tungejifunza kiundani vipi China imeeweza ndani ya miongo kadhaa badala ya kubeza vitu tusivyoviweza hata kidogo.
Tumeishi na wazungu miaka mingi lakini hakuna cha maana tulichoweza.
Kwa muda mfupi wa kuibuka kwa China Afrika imepiga hatua kubwa sana kila sekta.
Tukikubaliana na China tunaweza piga hatua kubwa sana zaidi ya tulipo
USA wana choyo mbaya sana, wamekopi teknolojia ila hawataki isambae.
USA anatumia brain drain kukuza teknolojia yake halafu anapiga vita mataifa mengine yasipate teknolojia. Wale wale wanaokuza teknolojia USA wanarudi makwao wanaenda kuendeleza teknolijia nchi zao, ndivyo ilivyotokea kwa China, India.
Ujeuri wa Marekani ni brain drain.
Ulaya wanataka kuzuia brain drain kwenda USA.
Afrika na Asia, latin America, Urusi zikizuia brain drain USA KUSHNE.
Wachina, warusi, Iran, Korea, Germany, Uk wanakuza teknolojia yao wao wenyewe hawategemei brain drain.
Kumzuia China ni ngumu kwa sababu anategemea watu wake sio watu wa mataifa mengine, na kama wapo ni kwa asilimia ndogo sana sio kama USA.
Elon musk mwenyewe ni brain drain from SA. Boss wa Nvidia ni Mchina na wengine wengi.
 
Kwenye baadhi ya mambo tu
5G china ipo mbali zaidi ya marekani.
Mimi sioni faida yoyote ya teknolojia za marekani zaidi ya kutumia Google
Madawa tunatumia ya India, electronics za Mchina na Korea, vyombo vya mchina, magari, boda, Solar nk nk . Nchi ilioshindwa kutatua matatizo bali kuongeza matatizo kwa Binadamu niifagilie ili iweje ?
China ni solution ya matatizo wakati USA ni accelerator.
Teknolojia za West sio msaada kwa third world bali ni siraha ya kunyonya.
Tunafurahia kuona kila teknolojia iliopo west inafikiwa na China, China anajua kuishi na wanyonge.
Zamani tulikuwa tunatumia mafuta ya taa wakati ulaya wanazo teknolojia za sola ila hawakutaka kuunda solar kwa mtu wa chini, ilopokuja China wameunda solar kwa kila kundi la binadamu leo mafuta ya taa yamepotea yenyewe.
Bila mchina mpaka leo mafuta ya taa yangekuwepo ila mpo blind/brain washed kwa sababu ya ukoloni mliomezeshwa kuona mzingu ndio kila kitu duniani.
Kila sekta hapa Africa imebadirika kwa sababu ya teknolojia ya mchina sio mzungu.
Mzungu anapenda yeye apande gari wewe utembee kwa miguu( sasa hivi waafrika hatutrmbei tena kwa miguu kwa sababu ya China).
Mungu awazidishie wachina wafikie kilele cha mafanikio.

White man Hegemony is Over.
Kizazi cha sasa hivi kinamuelewa mchina sio mzungu.
Ni kitu gani ambacho USA wanafanya China hawafanyi ? hebu orodhesha hapa.
Unachoongea ni sahihi ila umeenda nje ya mada mkuu
 
Mbele sana mfano wake si ndio hio 5g
Mwisho nimeuiliza swali ni mambo gani USA yupo mbali sana. Ilibidi nijibiwe kwa orodha .
Nadhani nilishatoa jibu la hili swali kwenye post namba 81.
Nimecopy tena hapa. Post no. 81 niliandika hivi


"Ni kama mnataka kuforce kutabiri future hivi
Rise of USA imeshaonekana ila hiyo fall unayozungumzia iko kwenye vichwa vya watu tu sio uhalisia

*Kwenye masuala ya utafiti wa anga (space exploration) USA iko vizuri kuliko China, tunaona Marekani ina NASA na Space X
*Kwenye uzalishaji wa electronics hapa kidogo China anajitahidi ila bado anaachwa na Mmarekani,
*Mfano kwenye utengenezaji wa laptop tunaona makampuni mengi makubwa yanayofanya vizuri ni ya Marekani mfano Apple, DELL, Microsoft, HP nk. Kwa China kidogo Lenovo yuko vizuri ila bado anatumia OS za Mmarekani, Windows na Chromebook OS
*Kwenye simu Wachina wanajitahidi ila Mmarekani yuko juu zaidi. Apple zinaongoza kwa mauzo dunia nzima na bado Wachina wanaofanya vizuri wanatumia OS ya Mmarekani kwenye simu zao (Android). Moja ya sababu zinazofanya nipende simu za China ni kwamba zinatumia OS ya Mmarekani [emoji1]
*Kwenye SoC za simu na PC bado wanategemea makampuni ya Kimarekani kama Qualcomm, MediaTek, Intel na AMD.
*Kwenye utengenezaji wa Automobiles USA ipo kilometre milioni 6 mbele ya China
*Kwenye movie industry USA inaongoza dunia nzima. Teknolojia ambayo Mmarekani anaitumia kwenye movie zake inamshangaza hata Mchina mwenyewe
*Marekani ina jeshi bora la ardhi imara kushinda China
*Marekani anaicontrol dunia, ameweza kuangusha moja ya kampuni zilizokuwa moto kwenye utengenezaji wa simu kama Huawei kupitia vikwazo tu, Mchina hawezi kufanya hivyo kwa kampuni yoyote ya USA na akafanikiwa kuiangusha
*USA iko vyema kila idara kushinda China

Sijui hiyo fall of USA mmeiona wapi"
 
Nadhani nilishatoa jibu la hili swali kwenye post namba 81.
Nimecopy tena hapa. Post no. 81 niliandika hivi


"Ni kama mnataka kuforce kutabiri future hivi
Rise of USA imeshaonekana ila hiyo fall unayozungumzia iko kwenye vichwa vya watu tu sio uhalisia

*Kwenye masuala ya utafiti wa anga (space exploration) USA iko vizuri kuliko China, tunaona Marekani ina NASA na Space X
*Kwenye uzalishaji wa electronics hapa kidogo China anajitahidi ila bado anaachwa na Mmarekani,
*Mfano kwenye utengenezaji wa laptop tunaona makampuni mengi makubwa yanayofanya vizuri ni ya Marekani mfano Apple, DELL, Microsoft, HP nk. Kwa China kidogo Lenovo yuko vizuri ila bado anatumia OS za Mmarekani, Windows na Chromebook OS
*Kwenye simu Wachina wanajitahidi ila Mmarekani yuko juu zaidi. Apple zinaongoza kwa mauzo dunia nzima na bado Wachina wanaofanya vizuri wanatumia OS ya Mmarekani kwenye simu zao (Android). Moja ya sababu zinazofanya nipende simu za China ni kwamba zinatumia OS ya Mmarekani [emoji1]
*Kwenye SoC za simu na PC bado wanategemea makampuni ya Kimarekani kama Qualcomm, MediaTek, Intel na AMD.
*Kwenye utengenezaji wa Automobiles USA ipo kilometre milioni 6 mbele ya China
*Kwenye movie industry USA inaongoza dunia nzima. Teknolojia ambayo Mmarekani anaitumia kwenye movie zake inamshangaza hata Mchina mwenyewe
*Marekani ina jeshi bora la ardhi imara kushinda China
*Marekani anaicontrol dunia, ameweza kuangusha moja ya kampuni zilizokuwa moto kwenye utengenezaji wa simu kama Huawei kupitia vikwazo tu, Mchina hawezi kufanya hivyo kwa kampuni yoyote ya USA na akafanikiwa kuiangusha
*USA iko vyema kila idara kushinda China

Sijui hiyo fall of USA mmeiona wapi"
Fall sio kama unavyoifikiria wewe. Watu wanaitazama kwa mrengo wa MONOPOLIZATION OF TECHNOLOGY and POWER. kuna miaka hapo nyuma kila kitu zilitegemewa kampuni za USA sasa hivi haipo hivyo.
Mfano teknolojia ya mawasiliano ilitegemewa USA sasa hivi mbadala upo China (full infrastructure) is this not fall ?
Ina naana huwezi kuziona sababu za USA kumuwekea vikwazo Mchina za kumnyima components muhimu ? Kama China ameweza kufanya bila mmarekani that is not a fall.
Uwepo wa China umesaidia hata nchi za Africa na Asia kuwa na jeuri( rejea vita ya Ukraine hata sasa huko palestina).
Nchi nyingi zinamgomea marekani kwa sababu tu kuna mbadala.
Rejea ishu ya BRICKS, marekani amepoteza fursa nyingi tu.
China, Urusi na Iran zimedhihirisha wazi kuwa USA hana nguvu kama aliyokuwa nayo nyuma miaka 10 iliopita.
Kuwa na Bipolar world kuna leta Balance of POWER wakati haikuwa hivyo. Je haifai kuita kuwa hilo ni anguko ?
Wewe una amini anguko ni mpaka ufilisike kabisa ?
 
Nadhani nilishatoa jibu la hili swali kwenye post namba 81.
Nimecopy tena hapa. Post no. 81 niliandika hivi


"Ni kama mnataka kuforce kutabiri future hivi
Rise of USA imeshaonekana ila hiyo fall unayozungumzia iko kwenye vichwa vya watu tu sio uhalisia

*Kwenye masuala ya utafiti wa anga (space exploration) USA iko vizuri kuliko China, tunaona Marekani ina NASA na Space X
*Kwenye uzalishaji wa electronics hapa kidogo China anajitahidi ila bado anaachwa na Mmarekani,
*Mfano kwenye utengenezaji wa laptop tunaona makampuni mengi makubwa yanayofanya vizuri ni ya Marekani mfano Apple, DELL, Microsoft, HP nk. Kwa China kidogo Lenovo yuko vizuri ila bado anatumia OS za Mmarekani, Windows na Chromebook OS
*Kwenye simu Wachina wanajitahidi ila Mmarekani yuko juu zaidi. Apple zinaongoza kwa mauzo dunia nzima na bado Wachina wanaofanya vizuri wanatumia OS ya Mmarekani kwenye simu zao (Android). Moja ya sababu zinazofanya nipende simu za China ni kwamba zinatumia OS ya Mmarekani [emoji1]
*Kwenye SoC za simu na PC bado wanategemea makampuni ya Kimarekani kama Qualcomm, MediaTek, Intel na AMD.
*Kwenye utengenezaji wa Automobiles USA ipo kilometre milioni 6 mbele ya China
*Kwenye movie industry USA inaongoza dunia nzima. Teknolojia ambayo Mmarekani anaitumia kwenye movie zake inamshangaza hata Mchina mwenyewe
*Marekani ina jeshi bora la ardhi imara kushinda China
*Marekani anaicontrol dunia, ameweza kuangusha moja ya kampuni zilizokuwa moto kwenye utengenezaji wa simu kama Huawei kupitia vikwazo tu, Mchina hawezi kufanya hivyo kwa kampuni yoyote ya USA na akafanikiwa kuiangusha
*USA iko vyema kila idara kushinda China

Sijui hiyo fall of USA mmeiona wapi"
Ungeweka na takwimu ingependeza zaidi.
Nimesoma makala moja juzi google wao wameweka takwimu za Truck sells. Data zinaonesha China sekta ya truck anaogoza kwa mauzo miaka 2 mfululizo sasa hio mbele ya mara milioni 6 wewe unaihesabu ktk nini data zako zinasemaje.
Teknolojia ya anga za mbali China ndio imerusha vyombo vya kisasa zaidi kuliko taifa lolote. China ana explore anga za mbali peke yake wakati USA anashirikiana na Ulaya na Urusi isitoshe china ime catch up sio mkongwe.
General electronics anaongoza mchina wakati USA kwenye sekta ya military.
swali la kwamba ni teknolojia gani ipo USA wakati china hata wazo tu hana , hujalijibu.
Ktk mijadala ya JF au majukwa mengine hamna aliesema China ni no 1, ila nimeona mijadala ikionesha China ameisha ipita USA ktk baadhi ya Teknolojia.
Mfano teknolojia ya transportation, AI, quantum communication, usafirshaji wa umeme, truck, ujenzi( wachina wana uwezo wa kujenga jengo la gorofa kwa wikii kadhhaa) .
Mlianzaga kwa kuiponda China kuwa inaunda bidhaa fake, mkaja inaiba teknolojia sasa hivi mnajadili kuwa haijaifikia marekani. Taratibu mnaenda mnabadili namna ya kuikataa china.
HIVI MTU MWEUSI ANAPATA FAIDA GANI KUIPINGA CHINA , wazungu wao wanamasilshi ya kibiashara wewe unamasilahi gani kwenye hoja hii ?
 
Ungeweka na takwimu ingependeza zaidi.
Nimesoma makala moja juzi google wao wameweka takwimu za Truck sells. Data zinaonesha China sekta ya truck anaogoza kwa mauzo miaka 2 mfululizo sasa hio mbele ya mara milioni 6 wewe unaihesabu ktk nini data zako zinasemaje.
Teknolojia ya anga za mbali China ndio imerusha vyombo vya kisasa zaidi kuliko taifa lolote. China ana explore anga za mbali peke yake wakati USA anashirikiana na Ulaya na Urusi isitoshe china ime catch up sio mkongwe.
General electronics anaongoza mchina wakati USA kwenye sekta ya military.
swali la kwamba ni teknolojia gani ipo USA wakati china hata wazo tu hana , hujalijibu.
Ktk mijadala ya JF au majukwa mengine hamna aliesema China ni no 1, ila nimeona mijadala ikionesha China ameisha ipita USA ktk baadhi ya Teknolojia.
Mfano teknolojia ya transportation, AI, quantum communication, usafirshaji wa umeme, truck, ujenzi( wachina wana uwezo wa kujenga jengo la gorofa kwa wikii kadhhaa) .
Mlianzaga kwa kuiponda China kuwa inaunda bidhaa fake, mkaja inaiba teknolojia sasa hivi mnajadili kuwa haijaifikia marekani. Taratibu mnaenda mnabadili namna ya kuikataa china.
HIVI MTU MWEUSI ANAPATA FAIDA GANI KUIPINGA CHINA , wazungu wao wanamasilshi ya kibiashara wewe unamasilahi gani kwenye hoja hii ?
Kuongoza mauzo kwa bidhaa za China ni kwa sababu ya gharama ndogo, sio kila kinachouza sana China eti ni kwa sababu kina high quality

Magari ya BYD ni mazuri ila kilichofanya yazidi TESLA kwa mauzo ni price, BYD ana EV hadi za $10000, yeye TESLA ni $40,000 kupanda.
Kwa hiyo bado, unaweza kuta TESLA akiuza magari matano anaweza kupata faida kubwa kuliko Mchina akiuza magari yake 20

Halafu, unauliza nafaidika nini kumpinga Mchina?
Nani kakuambia nampinga Mchina. Fuatilia thread zangu uone makampuni ya tech ninayoyakubali yanatoka wapi.
Kwa mfano kwenye simu, iPhones sizipendi, kampuni ninazozikubali ni Google, Samsung, Xiaomi, Oppo, Vivo, Honor, Realme, One Plus, Motorola, nk. Hapo ya Mmarekani moja tu, ya Mkorea moja nyingine zote za Mchina.
Kwa hiyo umerusha random attack kwa kudhani kila anayeisifia USA anaichukia China


Leo sina mood tu ila China kuifikia USA kiteknolojia bado. Unavyoongelea ujenzi ni kama unasahau kuwa China bado ni developing country licha ya kuwa na uchumi wa pili kwa ukubwa duniani. China bado inahitaji hospitali nyingi mpya, shule mpya, nk.
Marekani ilishatoka huko. Ujenzi unaendelea Marekani ila sio katika high rate kama China kwa sababu maendeleo aliyofikia Mmarekani, Mchina hajafika bado
Just imagine nchi ya watu 300M inazidi uchumi nchi yenye watu 1.4B

CNSA imefanya mengi ila bado, ukifananisha na NASA, Mchina kaachwa parefu

Kwenye Automobiles fananisha magari ya Mmarekani na ya Mchina, fananisha pikipiki, scooters, EV, na hizo trucks. Licha ya Mchina kuzalisha trucks nyingi na kuziuza sana bado Marekani ndio inasifika kwa kutengeneza "Most powerful trucks". Wakati Mchina anaongoza kwa quantity, Mmarekani yuko vizuri kwenye quality

Mchina analenga soko la bei rahisi ndio maana mauzo mengi, tena yanaanzia China mulemule maana China ina masikini kibao

Pia nisingependa uhusishe tena mambo ya USA vs China na suala la mimi kuwa Mwafrika, Hiyo ni vita ya kiteknolojia ya mataifa makubwa mawili. It has nothing to do with me being an African
Tubaki kwenye mada zaidi bila kuingilia Uafrika wangu na kumtetea Marekani, maana havihusiani na rangi yangu. Hiyo ni tech
 
Kuongoza mauzo kwa bidhaa za China ni kwa sababu ya gharama ndogo, sio kila kinachouza sana China eti ni kwa sababu kina high quality

Magari ya BYD ni mazuri ila kilichofanya yazidi TESLA kwa mauzo ni price, BYD ana EV hadi za $10000, yeye TESLA ni $40,000 kupanda.
Kwa hiyo bado, unaweza kuta TESLA akiuza magari matano anaweza kupata faida kubwa kuliko Mchina akiuza magari yake 20

Halafu, unauliza nafaidika nini kumpinga Mchina?
Nani kakuambia nampinga Mchina. Fuatilia thread zangu uone makampuni ya tech ninayoyakubali yanatoka wapi.
Kwa mfano kwenye simu, iPhones sizipendi, kampuni ninazozikubali ni Google, Samsung, Xiaomi, Oppo, Vivo, Honor, Realme, One Plus, Motorola, nk. Hapo ya Mmarekani moja tu, ya Mkorea moja nyingine zote za Mchina.
Kwa hiyo umerusha random attack kwa kudhani kila anayeisifia USA anaichukia China


Leo sina mood tu ila China kuifikia USA kiteknolojia bado. Unavyoongelea ujenzi ni kama unasahau kuwa China bado ni developing country licha ya kuwa na uchumi wa pili kwa ukubwa duniani. China bado inahitaji hospitali nyingi mpya, shule mpya, nk.
Marekani ilishatoka huko. Ujenzi unaendelea Marekani ila sio katika high rate kama China kwa sababu maendeleo aliyofikia Mmarekani, Mchina hajafika bado
Just imagine nchi ya watu 300M inazidi uchumi nchi yenye watu 1.4B

CNSA imefanya mengi ila bado, ukifananisha na NASA, Mchina kaachwa parefu

Kwenye Automobiles fananisha magari ya Mmarekani na ya Mchina, fananisha pikipiki, scooters, EV, na hizo trucks. Licha ya Mchina kuzalisha trucks nyingi na kuziuza sana bado Marekani ndio inasifika kwa kutengeneza "Most powerful trucks". Wakati Mchina anaongoza kwa quantity, Mmarekani yuko vizuri kwenye quality

Mchina analenga soko la bei rahisi ndio maana mauzo mengi, tena yanaanzia China mulemule maana China ina masikini kibao

Pia nisingependa uhusishe tena mambo ya USA vs China na suala la mimi kuwa Mwafrika, Hiyo ni vita ya kiteknolojia ya mataifa makubwa mawili. It has nothing to do with me being an African
Tubaki kwenye mada zaidi bila kuingilia Uafrika wangu na kumtetea Marekani, maana havihusiani na rangi yangu. Hiyo ni tech
Sio hilo tu, wazungu wanakwambia BYD ina options nyingi kuliko tesla na reliable. Yani wanakwambia byd inakupatia features kibao zaidi ya tesla na kwa bei poa.
So features zaidi maana yake nini?
Na bado wanasema BYD ni reliable. Mwanzo ilikuwa china hauzi ulaya kwasababu ya poor quality anauza afrika coz ana bidhaa cheap. Vipi sasa wazungu hawajali quality au?
 
Sio hilo tu, wazungu wanakwambia BYD ina options nyingi kuliko tesla na reliable. Yani wanakwambia byd inakupatia features kibao zaidi ya tesla na kwa bei poa.
So features zaidi maana yake nini?
Na bado wanasema BYD ni reliable. Mwanzo ilikuwa china hauzi ulaya kwasababu ya poor quality anauza afrika coz ana bidhaa cheap. Vipi sasa wazungu hawajali quality au?
Kwani kuna mtu kasema magari ya BYD ni poor quality?
 
Kwani kuna mtu kasema magari ya BYD ni poor quality?
Basi wao wazungu wanasema BYD inawpaa features kibao kuliko tesla au gari za ulaya na kwa affordable price na ni reliable. Walio yanunua wanayasifu kuwa yanaaminika.
So siyo price tu, ingekuwa price wasingeyanunua mbona iPhone inauza sana na ni bei wakati kuna simu nyingine za bei cheap lakini hawazinunui?
 
Basi wao wazungu wanasema BYD inawpaa features kibao kuliko tesla au gari za ulaya na kwa affordable price na ni reliable. Walio yanunua wanayasifu kuwa yanaaminika.
So siyo price tu, ingekuwa price wasingeyanunua mbona iPhone inauza sana na ni bei wakati kuna simu nyingine za bei cheap lakini hawazinunui?
Halafu mbona nimeingia mtandaoni, naona TESLA ndio zinauza sana

Mauzo ya battery electric vehicles ya Tesla yako juu kuliko BYD licha ya TESLA kuwa expensive
Screenshot_2023-12-30-16-39-52-032_com.android.chrome.jpg


Kutoka January hadi August, Tesla Model Y ndio EV iliyonunuliwa zaidi duniani. Tesla ameuza units 772364 za Model Y pekee. Kumbuka Model Y inauzwa kuanzia $43990 ila bado wameuza nyingi utafikiri ice cream mpaka inaongoza duniani
images%20(17).jpg


Nafasi ya pili inashikiliwa na Tesla Model 3. Tesla ameuza units 364403 za Model 3 pekee. Model 3 inauzwa kwa $38000
images%20(16).jpg


Namba tatu ni BYD Atto 3/ Yuan plus. BYD wameuza units 265688 za BYD Atto 3 ya around $40,000 na hii ndio BYD iliyouza kuliko zote ambayo mauzo yake hata uzidishe mara 2 haifikii Tesla Model Y kwa mauzo
2023-BYD-Atto-3-review-HERO.jpg


Kwa hiyo ninachosema ni kwamba BYD ana EV nzuri sana sikatai ila ili auze kama Tesla inabidi atoe model nyingi sana tena za bei tofauti tofauti na za chini. Si umeona mauzo ya BYD Atto 3 yalivyo ukilinganisha na Tesla Model Y?
Hata hivyo watu wa China wana maisha ya chini ukifananisha na USA na wachina wamezaliana sana kwa hiyo BYD inawapasa watengeneze magari mengi tofauti tofauti ambayo hata soko la nyumbani linaweza afford

Tesla bado yuko juu kuliko BYD ila sikatai BYD nayo iko vizuri kwenye EV maana dunia nzima ukitoa TESLA sijaona wa kumfananisha na BYD kwenye hii sekta

List inaendelea hapa chini
Screenshot_2023-12-30-16-41-25-179_com.android.chrome.jpg
 
Back
Top Bottom